Jinsi wadukuzi walivyolamba mabilioni ya Airtel Money Uganda kupitia kampuni ya kubeti, makampuni ya Tanzania yajipange

Jinsi wadukuzi walivyolamba mabilioni ya Airtel Money Uganda kupitia kampuni ya kubeti, makampuni ya Tanzania yajipange

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Taarifa zimetoka jinsi kikundi cha udukuzi cha kofia nyeusi 'black hats' kilivyotumia tovuti ya michezo nchini Uganda kuchukua pesa kutoka kwenye mfumo wa Airtel Uganda(AMCUL)

Wakati tovuti hiyo ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ikijisifu kufata viwango vya usalama kulinda taarifa za watumiaji wake ndio iliyotumika kuingilia mfumo wa Airtel.

Baada ya kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa Airtel kukubali kila muamala unaokuja, wadukuzi walichukua karibu bilioni 8 za Uganda kwenye operesheni waliyoipanda.

Pesa kubwa zilitolewa kutoka kwenye akaunti za watumiaji wa simu 1840

Zaidi, Soma=> Wadukuzi wachota mabilioni Airtel Money
 
Taarifa zimetoka jinsi kikundi cha black hats kilivyotumia tovuti ya michezo nchini Uganda kuchukua pesa kutoka kwenye mfumo wa Airtel Uganda(AMCUL)

Wakati tovuti hiyo ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ikijisifu kufata viwango vya usalama kulinda taarifa za watumiaji wake ndio iliyotumika kuingilia mfumo wa Airtel.

Baada ya kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa Airtel kukubali kila muamala unaokuja, wadukuzi walichukua karibu bilioni 8 za Uganda kwenye operesheni waliyoipanda.

Pesa kubwa zilitolewa kutoka kwenye akaunti za watumiaji wa simu 1840

Zaidi, Soma=> Wadukuzi wachota mamilioni Airtel Money
Uganda hii ni mara ya 3 jamaa wana hack, mwaka jana walipiga tena mpunga mrefu
 
Back
Top Bottom