Jinsi wadukuzi walivyolamba mabilioni ya Airtel Money Uganda kupitia kampuni ya kubeti, makampuni ya Tanzania yajipange

Jinsi wadukuzi walivyolamba mabilioni ya Airtel Money Uganda kupitia kampuni ya kubeti, makampuni ya Tanzania yajipange

kama vp waidukue vodacom na mpesa yao sambamba na tigo na tigopesa yao.

haya makampuni ni kama yamekubaliana kuumiza watz kupitia huduma ya vifurushi vya internet.
 
Nilitamani sana kuyajua Mambo ya kuhack ila mpaka sasa hata robo sijafanikiwa.

Japo nimehangaika youtube , google ila wapi?

Ila najipa muda ikiwa bado uzima ninao basi iko siku .

Twende pamoja.
 
Nilitamani sana kuyajua Mambo ya kuhack ila mpaka sasa hata robo sijafanikiwa.

Japo nimehangaika youtube , google ila wapi?

Ila najipa muda ikiwa bado uzima ninao basi iko siku .

Twende pamoja.
Anza kuijua networking na kali Linux vzr atleast kwa miaka miwili kwanza.Ujue programming language hata tatu then anza kula msuli wa cyber.
 
Nilitamani sana kuyajua Mambo ya kuhack ila mpaka sasa hata robo sijafanikiwa.

Japo nimehangaika youtube , google ila wapi?

Ila najipa muda ikiwa bado uzima ninao basi iko siku .

Twende pamoja.
Si rahisi maana lazima ujue mambo mengi kuhusu mtandao husika ili uwaibie

Hata bank pia lazima ujue jinsi mfumo wao ufanyavyo kazi ili uwaibie

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tukiwa watatu na mimi wa 4 nipo tyr kuidukua hpa Tanzania.
Rudisha avatar picha Yako ya Tupac alivyokuwa mdogo na ndugu yake.
images (2).jpeg
 
Back
Top Bottom