dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
PekanbaruTufungue group wasap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PekanbaruTufungue group wasap
Anza kuijua networking na kali Linux vzr atleast kwa miaka miwili kwanza.Ujue programming language hata tatu then anza kula msuli wa cyber.Nilitamani sana kuyajua Mambo ya kuhack ila mpaka sasa hata robo sijafanikiwa.
Japo nimehangaika youtube , google ila wapi?
Ila najipa muda ikiwa bado uzima ninao basi iko siku .
Twende pamoja.
Si rahisi maana lazima ujue mambo mengi kuhusu mtandao husika ili uwaibieNilitamani sana kuyajua Mambo ya kuhack ila mpaka sasa hata robo sijafanikiwa.
Japo nimehangaika youtube , google ila wapi?
Ila najipa muda ikiwa bado uzima ninao basi iko siku .
Twende pamoja.
Nipite njia zipi kuyacover haya uliyoyataja ndugu.?Anza kuijua networking na kali Linux vzr atleast kwa miaka miwili kwanza.Ujue programming language hata tatu then anza kula msuli wa cyber.
Kikubwa si kuiba ndugu HIMARS ila niwe aware nijilinde na mifumo mibovu kwenye mambo yangu even my accounts.Si rahisi maana lazima ujue mambo mengi kuhusu mtandao husika ili uwaibie
Hata bank pia lazima ujue jinsi mfumo wao ufanyavyo kazi ili uwaibie
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mimi wa 9, kama John Bocco adebayo tu apa...Mimi namba 10.
BukitigiPekanbaru
Rudisha avatar picha Yako ya Tupac alivyokuwa mdogo na ndugu yake.Tukiwa watatu na mimi wa 4 nipo tyr kuidukua hpa Tanzania.
Anza kwa mganga kwanzaNipite njia zipi kuyacover haya uliyoyataja ndugu.?
Mkuu bongo watu wanapiga sema issue nyingi zinaishia chini ili kuendeleza imani iliyopo ya watejaHii kitu nimeanza kuiexperience Tanzania