Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

BAK

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2007
Posts
124,790
Reaction score
288,165
Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.

MATATA: Nikumbushe Majina yako.

SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.

MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.

SHAHIDI: Upo sahihi

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?

SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.

WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.

MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?

SHAHIDI: Sahihi kabisa

MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.

SHAHIDI: Nilikua nayo.

MATATA: Ulimweleza nani?

SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo

MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.

SHAHIDI: Ni kweli lakini?

MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.

SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.

MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?

SHAHIDI: Kimya

MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Uko wapi?

SHAHIDI: sijaja nao

MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.

MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?

SHAHIDI: kimya

MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?

SHAHIDI: wangeweza kutoroka.

JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?

SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.

MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?

SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.

MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.

SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?

SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.

MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?

SHAHIDI: Hapana.

MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.

SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.

MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?

SHAHIDI: Sahihi.

MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?

SHAHIDI: Tuliwafunga

MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.

MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!

Malisa GJ

9522265B-7B55-4BD6-8062-AB0560C32B70.jpeg
 
Mambo ya ajabu kweli wakili wa utetezi anasema makomandoo ni watu hatari lakini mahakamani hawataki polisi wengi na ullnzi uimarishwe. Siku hao makomando wakichafukwa na nyoyo hapo mahakamani tutasimuliana ya Hamza tena.
 
Hii kesi inatupa funzo kubwa sana Watanzania hasa wakati huu wa mitandao ya kijamii....huko mbele tunakoendea serikali itakuwa inaumbuka kila siku na mbaya zaidi watu wanapata habari kama zilivyo bila kuchakachuliwa.

Serikali ikitaka kudhibiti mitandao ya kijamii wazime tu internet... Kinyume na hapo watapata tabu sana.

Halafu mtu unajiuliza...Hivi polisi walitoa wapi huruma ya kumnunulia mtuhumiwa wa ugaidi tena Komandoo supu na Mo energy?
 
Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.

MATATA: Nikumbushe Majina yako.

SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.

MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.

SHAHIDI: Upo sahihi

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?

SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.

WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.

MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?

SHAHIDI: Sahihi kabisa

MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.

SHAHIDI: Nilikua nayo.

MATATA: Ulimweleza nani?

SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo

MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.

SHAHIDI: Ni kweli lakini?

MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.

SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.

MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?

SHAHIDI: Kimya

MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Uko wapi?

SHAHIDI: sijaja nao

MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.

MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?

SHAHIDI: kimya

MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?

SHAHIDI: wangeweza kutoroka.

JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?

SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.

MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?

SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.

MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.

SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?

SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.

MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?

SHAHIDI: Hapana.

MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.

SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.

MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?

SHAHIDI: Sahihi.

MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?

SHAHIDI: Tuliwafunga

MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.

MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!

Malisa GJ

View attachment 1942312

Imetulia toka kwake wakili msomi Dickson Matata.
 
Mambo ya ajabu kweli wakili wa utetezi anasema makomandoo ni watu hatari lakini mahakamani hawataki polisi wengi na ullnzi uimarishwe. Siku hao makomando wakichafukwa na nyoyo hapo mahakamani tutasimuliana ya Hamza tena.
Tumia akili kidogo tu uliyobakiwa nayo, hivi waliotangaza kuwa hao watuhumiwa ni makomandoo ni Polisi ama Wakili wa Utetezi...

Kumbuka hayo maswali yote yanatolewa kwenye maandishi yaliyoandikwa na polisi wenyewe.
 
Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.

MATATA: Nikumbushe Majina yako.

SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.

MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.

SHAHIDI: Upo sahihi

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?

SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.

WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.

MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?

SHAHIDI: Sahihi kabisa

MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.

SHAHIDI: Nilikua nayo.

MATATA: Ulimweleza nani?

SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo

MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.

SHAHIDI: Ni kweli lakini?

MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.

SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.

MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?

SHAHIDI: Kimya

MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Uko wapi?

SHAHIDI: sijaja nao

MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.

MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?

SHAHIDI: kimya

MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?

SHAHIDI: wangeweza kutoroka.

JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?

SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.

MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?

SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.

MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.

SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?

SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.

MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?

SHAHIDI: Hapana.

MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.

SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.

MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?

SHAHIDI: Sahihi.

MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?

SHAHIDI: Tuliwafunga

MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.

MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!

Malisa GJ

View attachment 1942312
Huyu jamaa noma sana
 
Tumia akili kidogo tu uliyobakiwa nayo, hivi waliotangaza kuwa hao watuhumiwa ni makomandoo ni Polisi ama Wakili wa Utetezi...

Kumbuka hayo maswali yote yanatolewa kwenye maandishi yaliyoandikwa na polisi wenyewe.

Kwa nini wanaenda na hao makomandoo kindasindasi hivyo. Ngoja siku shingo ya jaji igeuzwe hapo kizimbani ndio utanielewa kuwa natumia akili.
 
Hizo mambo Serikali inakimbizana nazo kwa kipindi hiki cha kukua kwa tehama wangeachana nayo wenzao kesi ya Zuma ipo live SABC,ETV huwezi kuzuia watu wasipate habari kwa zama hizi ambazo hata rover ikitua Sayari ya mars tunapata Picha ndio ije kutopata maswali ya Wakili Kibatala au Matata ni ngumu mno...
 
Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.

MATATA: Nikumbushe Majina yako.

SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.

MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.

SHAHIDI: Upo sahihi

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?

SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.

WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.

MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?

SHAHIDI: Sahihi kabisa

MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.

SHAHIDI: Nilikua nayo.

MATATA: Ulimweleza nani?

SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo

MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.

SHAHIDI: Ni kweli lakini?

MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.

SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.

MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?

SHAHIDI: Kimya

MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Uko wapi?

SHAHIDI: sijaja nao

MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.

MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?

SHAHIDI: kimya

MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?

SHAHIDI: wangeweza kutoroka.

JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?

SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.

MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?

SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.

MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.

SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?

SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.

MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?

SHAHIDI: Hapana.

MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.

SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.

MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?

SHAHIDI: Sahihi.

MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?

SHAHIDI: Tuliwafunga

MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.

MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!

Malisa GJ

View attachment 1942312
Kuna saa nikifwatilia hizi kesi huwa natamani ningesomaga sheria daah!

Mkuu wa polisi anapelekeshwa mpaka anaomba kwenda chooni dadeki..

NB: Kwenye hiyo timu angekuepo Lissu sijui ingekuaje..
 
Mambo ya ajabu kweli wakili wa utetezi anasema makomandoo ni watu hatari lakini mahakamani hawataki polisi wengi na ullnzi uimarishwe. Siku hao makomando wakichafukwa na nyoyo hapo mahakamani tutasimuliana ya Hamza tena.
Mbona walikua na silaha wakaambiwa wapo chini ya ulinzi wakainua mikono halafu wakaenda nao kunywa supu kama washikaji tu
 
Back
Top Bottom