Mimi tena nimeshakuwa na mipango? Hapa najaribu kutoa taadhali kwa wale wanaoona kesi nyepesi au tayali Mbowe ameshashinda kwa maswali walioulizwa hao mashahidi wawili ndio maana nawaomba wasome hivyo vitatu ili waone mtiririko wa maswali na majibu unavyokuwaMungu ni mwema !Tunajua mipango yenu miovu Lakini ,tutamshukuru Mungu Kwa tote.Ata Magufuli alitupora ushindi wetu tukamshukuru Mungu na Mungu akatujibu Kwa njia ya shukrani
Hv kweli unawez kusimamia kumushuhudia uongo mtz mwenzako ili ss upate nn? Hakika tungekuw tunaishi milele dunian tungetesana sana lkn tunapita tuJinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.
MATATA: Nikumbushe Majina yako.
SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.
MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.
SHAHIDI: Upo sahihi
MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?
SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu
MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.
WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.
MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?
SHAHIDI: Sahihi kabisa
MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.
SHAHIDI: Nilikua nayo.
MATATA: Ulimweleza nani?
SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo
MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.
SHAHIDI: Kimya.
MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.
SHAHIDI: Ni kweli lakini?
MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.
SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.
MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?
SHAHIDI: Kimya
MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Uko wapi?
SHAHIDI: sijaja nao
MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?
SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.
MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?
SHAHIDI: Lakini..
MATATA: Jibu, acha lakini.
SHAHIDI: Mbweni.
MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?
SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.
MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?
SHAHIDI: kimya
MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?
SHAHIDI: wangeweza kutoroka.
JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?
SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.
MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?
SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.
MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.
SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.
MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?
SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.
MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?
SHAHIDI: Hapana.
MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.
SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.
MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.
SHAHIDI: Kimya.
MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?
SHAHIDI: Sahihi.
MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?
SHAHIDI: Tuliwafunga
MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.
SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.
MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!
Malisa GJ
View attachment 1942312
IT oyeeeeeeeeeeee! Waache waendelee kuosha "their dirty linen in the public".Hii kesi inatupa funzo kubwa sana Watanzania hasa wakati huu wa mitandao ya kijamii....huko mbele tunakoendea serikali itakuwa inaumbuka kila siku na mbaya zaidi watu wanapata habari kama zilivyo bila kuchakachuliwa.
Serikali ikitaka kudhibiti mitandao ya kijamii wazime tu internet... Kinyume na hapo watapata tabu sana.
Halafu mtu unajiuliza...Hivi polisi walitoa wapi huruma ya kumnunulia mtuhumiwa wa ugaidi tena Komandoo supu na Mo energy?
Maswali yote ya huyu wakili ni ya kijinga kabisa tena yamepitwa na wakati na ni irrelevant kabisa hayana uhusiano wowote na fact in issue na sijajua ni kwa nini jaji alikuwa anaruhusu maswali utopolo baba wa shahidi ana uhusiano gani na ushahidi? Haya ma cross examinations wanajaza tuu fail la mahakama mapumba matupu.
Hii kesi Police wanakwenda kubakia weupe peee...waachane na hii kitu mapema.Inaumbuka vibaya sana Mkuu.
Umeenda kumkamata Osama kweli askari wa marekani amnunulie baga na energy drink? Kama mtu angekuwa ni hatari to that extent basi hata handling yake ni ya kipekee. Think big. sema huenda huna ubongo wa kuthink big na kujua why hilo swali limekujakesi ya ugaidi yanazungumziwa mambo ya supu ya mo energy.
AiseeUmeenda kumkamata Osama kweli askari wa marekani amnunulie baga na energy drink? Kama mtu angekuwa ni hatari to that extent basi hata handling yake ni ya kipekee. Think big. sema huenda huna ubongo wa kuthink big na kujua why hilo swali limekuja
Malisa-guriba kwenye mitandao hazijaweza kuwapeleka Ikulu na hazitamuokoa mboweJinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.
MATATA: Nikumbushe Majina yako.
SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.
MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.
SHAHIDI: Upo sahihi
MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?
SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu
MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.
WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.
MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?
SHAHIDI: Sahihi kabisa
MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.
SHAHIDI: Nilikua nayo.
MATATA: Ulimweleza nani?
SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo
MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.
SHAHIDI: Kimya.
MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.
SHAHIDI: Ni kweli lakini?
MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.
SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.
MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?
SHAHIDI: Kimya
MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Uko wapi?
SHAHIDI: sijaja nao
MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?
SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.
MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?
SHAHIDI: Lakini..
MATATA: Jibu, acha lakini.
SHAHIDI: Mbweni.
MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?
SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.
MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?
SHAHIDI: kimya
MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?
SHAHIDI: wangeweza kutoroka.
JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?
SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.
MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?
SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.
MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.
SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.
MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?
SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.
MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?
SHAHIDI: Hapana.
MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.
SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.
MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.
SHAHIDI: Kimya.
MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?
SHAHIDI: Sahihi.
MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?
SHAHIDI: Tuliwafunga
MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.
SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.
MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!
Malisa GJ
View attachment 1942312
Kwani tatizo lipo wapi ndg? Mtu kutoa taarifa kilichokuwa kinaendelea mahakamani ni dhambi kwako? Au hupendi na sisi tupate habari? Acha nongwaMalisa-guriba kwenye mitandao hazijaweza kuwapeleka Ikulu na hazitamuokoa mbowe
Maswali ya ,itoto maswali ya kijinga. Unapouliza wapi kuna binduki nyingi si ni kuvunja siri za usalama, halafu umpe Lawyer wa gaidi?Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.
MATATA: Nikumbushe Majina yako.
SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.
MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.
SHAHIDI: Upo sahihi
MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?
SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu
MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.
WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.
MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?
SHAHIDI: Sahihi kabisa
MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.
SHAHIDI: Nilikua nayo.
MATATA: Ulimweleza nani?
SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo
MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.
SHAHIDI: Kimya.
MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.
SHAHIDI: Ni kweli lakini?
MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.
SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.
MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?
SHAHIDI: Kimya
MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Uko wapi?
SHAHIDI: sijaja nao
MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?
SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.
MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?
SHAHIDI: Lakini..
MATATA: Jibu, acha lakini.
SHAHIDI: Mbweni.
MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?
SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.
MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?
SHAHIDI: kimya
MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?
SHAHIDI: wangeweza kutoroka.
JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?
SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.
MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?
SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.
MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.
SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.
MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?
SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.
MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?
SHAHIDI: Hapana.
MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.
SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.
MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.
SHAHIDI: Kimya.
MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?
SHAHIDI: Sahihi.
MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?
SHAHIDI: Tuliwafunga
MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.
SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.
MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!
Malisa GJ
View attachment 1942312
Dah! Mheshimiwa unaonekana ni mvivu wa kuandika! 🤔H
Hv kweli unawez kusimamia kumushuhudia uongo mtz mwenzako ili ss upate nn? Hakika tungekuw tunaishi milele dunian tungetesana sana lkn tunapita tu
Sawa POTI. Umesomeka.Maswali ya ,itoto maswali ya kijinga. Unapouliza wapi kuna binduki nyingi si ni kuvunja siri za usalama, halafu umpe Lawyer wa gaidi?
Mr. MATATA, DicksonJinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.
MATATA: Nikumbushe Majina yako.
SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.
MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.
SHAHIDI: Upo sahihi
MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?
SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu
MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.
WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.
MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?
SHAHIDI: Sahihi kabisa
MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.
SHAHIDI: Nilikua nayo.
MATATA: Ulimweleza nani?
SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo
MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.
SHAHIDI: Kimya.
MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.
SHAHIDI: Ni kweli lakini?
MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.
SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.
MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?
SHAHIDI: Kimya
MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Uko wapi?
SHAHIDI: sijaja nao
MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?
SHAHIDI: Ndio
MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?
SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.
MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?
SHAHIDI: Lakini..
MATATA: Jibu, acha lakini.
SHAHIDI: Mbweni.
MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?
SHAHIDI: Central.
MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?
SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.
MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?
SHAHIDI: kimya
MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?
SHAHIDI: wangeweza kutoroka.
JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?
SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.
MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?
SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.
MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.
SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.
MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?
SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.
MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?
SHAHIDI: Hapana.
MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.
SHAHIDI: Ndio
MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.
SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.
MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.
SHAHIDI: Kimya.
MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?
SHAHIDI: Ni kweli.
MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?
SHAHIDI: Sahihi.
MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?
SHAHIDI: Tuliwafunga
MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.
SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.
MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!
Malisa GJ
View attachment 1942312
PROFESSIONAL BIOGRAPHY