Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

Maswali yote ya huyu wakili ni ya kijinga kabisa tena yamepitwa na wakati na ni irrelevant kabisa hayana uhusiano wowote na fact in issue na sijajua ni kwa nini jaji alikuwa anaruhusu maswali utopolo baba wa shahidi ana uhusiano gani na ushahidi? Haya ma cross examinations wanajaza tuu fail la mahakama mapumba matupu.
Una level gani ya Elimu ?Ulielewa matiki ya like swali?Una hakika Jaji aliruhusu hilo kujibuwa?

Nikusaidie kwakuwa akili yako imemezwa na umalaya wa kisiasa!

"Alikuwa anawaambie Jamhuri Na ndugu yake CCM kuwa Mahita alikuwa hivyo Lakini hakufanikiwa !"Lengo lilikuwa hilo.

Mwisho nakuitia Malaya wa kisiasa wenzako .
USSR Mudawote Wakudadavuwa mama D Iboya2021
 
Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.

MATATA: Nikumbushe Majina yako.

SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.

MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.

SHAHIDI: Upo sahihi

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?

SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.

WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.

MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?

SHAHIDI: Sahihi kabisa

MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.

SHAHIDI: Nilikua nayo.

MATATA: Ulimweleza nani?

SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo

MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.

SHAHIDI: Ni kweli lakini?

MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.

SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.

MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?

SHAHIDI: Kimya

MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Uko wapi?

SHAHIDI: sijaja nao

MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.

MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?

SHAHIDI: kimya

MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?

SHAHIDI: wangeweza kutoroka.

JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?

SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.

MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?

SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.

MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.

SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?

SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.

MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?

SHAHIDI: Hapana.

MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.

SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.

MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?

SHAHIDI: Sahihi.

MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?

SHAHIDI: Tuliwafunga

MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.

MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!

Malisa GJ

View attachment 1942312
Matacle ya nguchiro 🤣🤣 yaan ni pini za kudanja raia, lazima uombe poo 😂😂😂😂
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ila hukumu ikitolewa tuwe tunashangilia hivi hivi kwa kujikumbusha zaidi naomba mkasome kitabu cha kesi ya uhaini sehemu ya 1&2 jinsi kesi ilivyoendeshwa mpaka hukumu ilivyotolewa
Mungu ni mwema !Tunajua mipango yenu miovu Lakini ,tutamshukuru Mungu Kwa tote.Ata Magufuli alitupora ushindi wetu tukamshukuru Mungu na Mungu akatujibu Kwa njia ya shukrani
 

Mimi sijui sheria lakini na uliza polisi wanapoweka mtego wa kunasa wahalifu kama majambazi ambao hutumia informers wanao kuwa sehemu ya njama za huo ujambazi ili kuzima mpango wao kabla ya kufanya uhalifu. Je hao wenye nia ovu hawawezi kufungwa kwa vile nia yao ya kufanya ujambazi haikufanikiwa? Huo mtego/mbinu ya kipolisi haviwezi kutumika kwenye kuzima nia ya kufanya ugaidi na pengine kati ya makomandoo washitakiwa yuko informer wa polisi, who knows?
 
Hii kesi inatupa funzo kubwa sana Watanzania hasa wakati huu wa mitandao ya kijamii....huko mbele tunakoendea serikali itakuwa inaumbuka kila siku na mbaya zaidi watu wanapata habari kama zilivyo bila kuchakachuliwa.

Serikali ikitaka kudhibiti mitandao ya kijamii wazime tu internet... Kinyume na hapo watapata tabu sana.

Halafu mtu unajiuliza...Hivi polisi walitoa wapi huruma ya kumnunulia mtuhumiwa wa ugaidi tena Komandoo supu na Mo energy?
Havana uwezo Wa kuzuia mitandao ya kijamii ,,HAUWEZI KUZUIA TEKNOLOJIA KWENYE TEKNOLOJIA
 
Una level gani ya Elimu ?Ulielewa matiki ya like swali?Una hakika Jaji aliruhusu hilo kujibuwa?

Nikusaidie kwakuwa akili yako imemezwa na umalaya wa kisiasa!

"Alikuwa anawaambie Jamhuri Na ndugu yake CCM kuwa Mahita alikuwa hivyo Lakini hakufanikiwa !"Lengo lilikuwa hilo.

Mwisho nakuitia Malaya wa kisiasa wenzako .
USSR Mudawote Wakudadavuwa mama D Iboya2021
Bonyokwa pimbi mkubwa. Mambo yetu ya chama yanakuhusu nini??? Tumuache Mama afanye kazi! Mbowe alitumiwa na mabeberu yakimdanganya alete fujo nchi isitawalike waje wachote mali zetu. Rostm mjanja na lema kala kona.
 
Maswali yote ya huyu wakili ni ya kijinga kabisa tena yamepitwa na wakati na ni irrelevant kabisa hayana uhusiano wowote na fact in issue na sijajua ni kwa nini jaji alikuwa anaruhusu maswali utopolo baba wa shahidi ana uhusiano gani na ushahidi? Haya ma cross examinations wanajaza tuu fail la mahakama mapumba matupu.
do you know the aim of cross examination...U have to shake credibility of the witness na unaruhusiw hat kumuuliz maswal amby una shake temper yake.sion kama wakil amekosea coz pia amemp similar precedent kama ya babake alivyowafanyia CUF
 
Una level gani ya Elimu ?Ulielewa matiki ya like swali?Una hakika Jaji aliruhusu hilo kujibuwa?

Nikusaidie kwakuwa akili yako imemezwa na umalaya wa kisiasa!

"Alikuwa anawaambie Jamhuri Na ndugu yake CCM kuwa Mahita alikuwa hivyo Lakini hakufanikiwa !"Lengo lilikuwa hilo.

Mwisho nakuitia Malaya wa kisiasa wenzako .
USSR Mudawote Wakudadavuwa mama D Iboya2021


Kumbe Malaya wenzio wa siasa huwajui kumbe!? Wale waliojiuza kwa Lowasa 2015 wakajiuza kwa kina amstadamu 2020 ndio malaya Anatomist, sawa eeeh?

Halafu usiwe unanitag ujinga
 
Huyu shahidi Mahita ameuza kesi, maelezo take yanaonyesha kila alilo fanya alipewa maelezo toka juu na hakufanya kulingana na taratibu za kipolisi.
 
do you know the aim of cross examination...U have to shake credibility of the witness na unaruhusiw hat kumuuliz maswal amby una shake temper yake.sion kama wakil amekosea coz pia amemp similar precedent kama ya babake alivyowafanyia CUF
Una shake credibility kwa relevant questions sio saa nzima unauliza habari za baba yake sijui alikuwa ajp sijui visu hovyo kabisa huyu wakili sijui kasoma chuo gani wakati anajua kabisa sheria ya ushahidi inakata maswali ya hovyo kama haya halafu limtu linafungua uzi etu maswali ya wakili msomi
 
Una shake credibility kwa relevant questions sio saa nzima unauliza habari za baba yake sijui alikuwa ajp sijui visu hovyo kabisa huyu wakili sijui kasoma chuo gani wakati anajua kabisa sheria ya ushahidi inakata maswali ya hovyo kama haya halafu limtu linafungua uzi etu maswali ya wakili msomi
Bila shaka utakuwa ngosha mzoga wenu unatoa wadudu kule chato

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Hii kesi inatupa funzo kubwa sana Watanzania hasa wakati huu wa mitandao ya kijamii....huko mbele tunakoendea serikali itakuwa inaumbuka kila siku na mbaya zaidi watu wanapata habari kama zilivyo bila kuchakachuliwa.

Serikali ikitaka kudhibiti mitandao ya kijamii wazime tu internet... Kinyume na hapo watapata tabu sana.

Halafu mtu unajiuliza...Hivi polisi walitoa wapi huruma ya kumnunulia mtuhumiwa wa ugaidi tena Komandoo supu na Mo energy?
Ni kweli usemayo ila kimsingi naona kuna tuhuma za kupigwa lakin zaidi naona serikali ilishawin kuwatoa watu kwenye harakati za katiba mpya sasa hivi watu wote kwenye kesi ya mbowe
 
Mambo ya ajabu kweli wakili wa utetezi anasema makomandoo ni watu hatari lakini mahakamani hawataki polisi wengi na ullnzi uimarishwe. Siku hao makomando wakichafukwa na nyoyo hapo mahakamani tutasimuliana ya Hamza tena.
Uzuri watalengwa mapolisi na MaCCM tu
 
Hivi wanaushaidi gani kuwa watuhumiwa ni makomandoo, ukishamjua mharifu ni komando una muarrest kwa umakini wote
 
MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

Kwakweli hatuna polisi nchi hii, hivi kwanini central isihamie Mbweni kama ndiko kwenye usalama zaidi?🤣🤣
 
Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita.

MATATA: Nikumbushe Majina yako.

SHAHIDI: Naitwa Inspector Mahita Omary Mahita.

MATATA: nitakuwa Sahihi nikisema wewe ni Mtoto wa IGP mstaafu Omary Mahita.

SHAHIDI: Upo sahihi

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP wewe Ulikuwa wapi?

SHAHIDI: Nilikuwa Chuo kikuu

MATATA: Wakati Baba yako akiwa IGP ulikuwa na akili timamu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Unakumbuka madai ya baba yako kuwakuta CUF na visu akadai wamekusudia kufanya ugaidi.

WAKILI WA JAMHURI: Objection Mheshimiwa Jaji. Naomba swali hilo liondolewe.

MATATA: Wakati mnawakamata watuhumiwa mlikuwa na Kikosi Maalum?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Kikosi chote kilitokea Arusha?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Na kikosi hicho kilikuwa chini ya RPC Kingai ambaye wakati huo alikua RCO Arusha?

SHAHIDI: Sahihi kabisa

MATATA: Unapotoka kwenye kituo unapaswa kuwa na Movement Order?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Ulipotoka Arusha kwenda Moshi hukueleza kuwa na movement order.

SHAHIDI: Nilikua nayo.

MATATA: Ulimweleza nani?

SHAHIDI: Sikueleza lakini nilikua nayo

MATATA: Maelezo yako ya awali hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Je unajua kwamba unapofika mkoa mwingine unapaswa uriporti kwanza kwa Mlmamlaka za Mkoa huo?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Katika maelezo yako hakuna popote uliposema umeripoti kwa mamlaka za polisi Moshi.

SHAHIDI: Ni kweli lakini?

MATATA: Hakuna lakini, jibu NDIYO au HAPANA.

SHAHIDI: Niliripoti lakini labda kwenye maelezo nilisahau kuandika.

MATATA: sasa kama hukuandika ulitegemea mahakama iote?

SHAHIDI: Kimya

MATATA: Una ushahidi wowote unaoonesha mliripoti mamlaka za polisi Moshi kabla ya operesheni yenu?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Uko wapi?

SHAHIDI: sijaja nao

MATATA: mlipowakamata watuhumiwa mliwasafirisha kuja Dar?

SHAHIDI: Ndio

MATATA: walipofika Dar mliwatoa central na kuwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Kwanini mliwapeleka Mbweni?

SHAHIDI: Kwa sababu ya usalama.

MATATA: Kati ya Cetral na Mbweni wapi kuna usalama zaidi?

SHAHIDI: Lakini..

MATATA: Jibu, acha lakini.

SHAHIDI: Mbweni.

MATATA: Kati ya Central na Mbweni wapi kuna askari wengi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi kuna silaha nyingi zaidi?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Kati ya central na Mbweni wapi panaweza kupatikana msaada wa haraka ikitokea dharura?

SHAHIDI: Central.

MATATA: Sasa unasemaje Mbweni kuna usalama kuliko central?

SHAHIDI: ili watuhumiwa wasiweze kutoroka.

MATATA: Umewahi kusikia pale central kuna watuhumiwa wametoroka?

SHAHIDI: kimya

MATATA: Jibu swali, umewahi kusikia watuhumiwa kutoroka central?

SHAHIDI: wangeweza kutoroka.

JAJI: Mbona swali rahisi, jibu kama umeshawahi kusikia wametoroka?

SHAHIDI: Mheshimiwa Jaji mimi sijui.

MATATA: Kwanini mliwapeleka watuhumiwa Mbweni?

SHAHIDI: Ni kwa maelekezo ya viongozi wangu.

MATATA: Nakuuliza wewe, sio viongozi wako.

SHAHIDI: Kama nilivyosema ni sababu za kiusalama.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba mlipowaleta watuhumiwa Dar hujasema mliripoti kwa nani?

SHAHIDI: Tuliripoti kwa mamlaka za polisi kanda maalumu na mkoa wa kipolisi Kinondoni.

MATATA: Kwenye taarifa yako kuna mahali umeeleza hayo?

SHAHIDI: Hapana.

MATATA: Unaelewa kabla ya kuwasachi watuhumiwa, ilibidi nyie mlisachiwe kwanza?
shahidi ni kweli sijazungumza hilo.

SHAHIDI: Ndio

MATATA: Lakini kwenye maelezo yako hujaeleza ka mlisachiwa kwanza kabla ya kuwasachi watuhumiwa.

SHAHIDI: Tulisachiwa japo sijaeleza.

MATATA: Kwa kuwa hujaeleza nitakosea nikisema hamkusachiwa.

SHAHIDI: Kimya.

MATATA: Umeeeleza kuwa watuhumiwa ni Makomandoo wa JWTZ?

SHAHIDI: Ni kweli.

MATATA: Utakubaliana na mimi kwamba Makomandoo ni watu ambao wanahitaji ulinzi zaidi?

SHAHIDI: Sahihi.

MATATA: Lakini katika maelezo yako hakuna popote umesema mliwasifirisha kwa pingu? Je utakubaliana na mimi nikisema mliwasafirisha makomandoo wa jeshi kizembe bila kuwafunga pingu?

SHAHIDI: Tuliwafunga

MATATA: Lakini maelezo yako uliyoandika hayaelezi hivyo.

SHAHIDI: Itakua nilisahau tu.

MATATA: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.!

Malisa GJ

View attachment 1942312
Kesi za namna hii ni shule (fundisho) tosha.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom