David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
Fanya hima pia nahitaji hicho kitabu...Duh! Mzee Ngoja niingie maktaba.[emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya hima pia nahitaji hicho kitabu...Duh! Mzee Ngoja niingie maktaba.[emoji120]
Kama unaijua vyema👍Sheria zipo very interesting...
Yan makuruta wa ccp wanajiamini mbele ya makomandoo watatu wa jwtz? IdiotUnless they are undercover agents in a special mission ndio maana wanajiamini.
Je, Unajua ya kwamba magaidi ambao ni makomandoo wanaweza kuwa na mtandao mkubwa sana?? Ni salama kiasi gani kwenda kunywa supu bar na magaidi? Je ni sahihi kuwa wangekua magaidi kwenda nao bar kungeweza kuleta fujo ikiwa ni magaidi??
Kuna moja ile Kibatala alisema inashangaza kuwa na mtu ambaye amekuja hajui hata kaja kufanya nini,Wakili wa Serikali akasema objection kauli inadhalilisha utu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyu jamaa ni moto wa kuotea mbali. Magaidi ambao ni makomandoo unaenda nao bar kunywa nao supu na Mo energy[emoji849] Katika dunia nzima hii inatokea Tanzania tu
[emoji28][emoji28]Wakili Matata alinifurahisha sana alivyoanza kumjaza shahidi kwa swali la kichokozi pia akasababisha ushahidi wa jamaa uonekane ni magumashi kama baba yake aliyekua anabambikia kesi cuf [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kesi hii ya kubambika imekuwa mnara wa Babeli lugha zimechanganyana. Mungu anawaumbua waongo.
Nahisi hata jaji alichekea tumboni alivyosikia hili swali la visu feki vya omary mahita
Hilo jina linamuumiza sana roho ndungai.Sasa nimeanza kuelewa kwanini Mawakili wanaitwa wasomi.[emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787]
Khaaaa zile spana zimepigwa hadi nateemeka mimi yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui Siku ndugai awekwe pale kati aanze kupigw za kama vilee mmmmh hapana aisee[emoji2960][emoji2960]Hilo jina linamuumiza sana roho ndungai.
Cha kushangaza zaidi magaidi makomandoo waliweza kulala central police ya moshi mjini ambapo hakuna ulinzi wa maana kwa siku mbili ila walihofiwa kulala central police ya Dar ambayo ina ulinzi mkali mara 5 zaidi ya central police ya moshi.Je, Unajua ya kwamba magaidi ambao ni makomandoo wanaweza kuwa na mtandao mkubwa sana?? Ni salama kiasi gani kwenda kunywa supu bar na magaidi? Je ni sahihi kuwa wangekua magaidi kwenda nao bar kungeweza kuleta fujo ikiwa ni magaidi??
Yan makuruta wa ccp wanajiamini mbele ya makomandoo watatu wa jwtz? Idiot
Alikuwa anamweleza dogo .kuwa baba yako nae alikuwa na akili za kindezi hivi hivi ila alishindwa.Wakili mjinga Sana hayo ya babake yatamsaidia nini mbowe kutolewa jera
USSR
Ni nyama choma mkuu sio supu!Hii kesi inatupa funzo kubwa sana Watanzania hasa wakati huu wa mitandao ya kijamii....huko mbele tunakoendea serikali itakuwa inaumbuka kila siku na mbaya zaidi watu wanapata habari kama zilivyo bila kuchakachuliwa.
Serikali ikitaka kudhibiti mitandao ya kijamii wazime tu internet... Kinyume na hapo watapata tabu sana.
Halafu mtu unajiuliza...Hivi polisi walitoa wapi huruma ya kumnunulia mtuhumiwa wa ugaidi tena Komandoo supu na Mo energy?