Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

Tumia akili kidogo tu uliyobakiwa nayo, hivi waliotangaza kuwa hao watuhumiwa ni makomandoo ni Polisi ama Wakili wa Utetezi...

Kumbuka hayo maswali yote yanatolewa kwenye maandishi yaliyoandikwa na polisi wenyewe.
Achana nahao wameshaambiwa kama wanataka kucheza wasubiri filimbi ipigwe♧♧♧♧♧》《
 
Hawa Police wamejiweka kwenye KESI Kama 21, ila Kuna watu watakimbia, mahakama nasema,Mawakili wa utetezi wanashule Sana jamani
 
Halafu mtu unajiuliza...Hivi polisi walitoa wapi huruma ya kumnunulia mtuhumiwa wa ugaidi tena Komandoo supu na Mo energy?
weee nae km mtoto hujui walikuwa wan mtuliza kichawi??? haya mabo na uchawi unatumika sana ndo maana wanga wngi polisi siku hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…