Jinsi Wamisri wa kale walivyogundua kuwa mwaka una siku 365

Jinsi Wamisri wa kale walivyogundua kuwa mwaka una siku 365

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Hawa wamisri wa kale ndiyo watu walioleta ustaarabu tunaouona duniani leo hii. Wagiriki walijifunza ustaarabu kutoka Misri ya kale. Moja ya mambo waliyogundua ni kuwa mwaka una siku 365. Waligundua namna hii.

Ukichunguza jua kwa mwaka mzima utaona kuwa sehemu linakichomoza na kuzama hubadilika ndani ya mwaka. Sehemu linapochomoza mwezi wa kumi na mbili ni tofauti na linapochomoza mwezi wa sita.

Sasa wamisri waliweka alama sehemu jua linapochomoza, kisha wakahesabu siku ambazo zitapita hadi jua lije kuchomoza sehemu ileile tena. Waligundua kuwa jua linachukua siku 365 kurudi kuchomoza sehemu ileile.

Hili linaweza kufanyika hata kwa kuangalia kivuli. Kivuli huwa kinabadili muelekeo ndani ya mwaka. Sasa ili kirudi kwenye muelekeo kilichopo leo kitatumia siku 365. Jamaa walikuwa wako vizuri sana upstairs.
 
Hawa wamisri wa kale ndiyo watu walioleta ustaarabu tunaouona duniani leo hii. Wagiriki walijifunza ustaarabu kutoka Misri ya kale. Moja ya mambo waliyogundua ni kuwa mwaka una siku 365. Waligundua namna hii.

Ukichunguza jua kwa mwaka mzima utaona kuwa sehemu linakichomoza na kuzama hubadilika ndani ya mwaka. Sehemu linapochomoza mwezi wa kumi na mbili ni tofauti na linapochomoza mwezi wa sita.

Sasa wamisri waliweka alama sehemu jua linapochomoza, kisha wakahesabu siku ambazo zitapita hadi jua lije kuchomoza sehemu ileile tena. Waligundua kuwa jua linachukua siku 365 kurudi kuchomoza sehemu ileile.

Hili linaweza kufanyika hata kwa kuangalia kivuli. Kivuli huwa kinabadili muelekeo ndani ya mwaka. Sasa ili kirudi kwenye muelekeo kilichopo leo kitatumia siku 365. Jamaa walikuwa wako vizuri sana upstairs.
Walikua na usaidizi na wakajisahau.

Ndio maana unawaona leo wamejichokea sana hawana hata muelekeo thabiti kama ule wa kale.
 
Hawa wamisri wa kale ndiyo watu walioleta ustaarabu tunaouona duniani leo hii. Wagiriki walijifunza ustaarabu kutoka Misri ya kale. Moja ya mambo waliyogundua ni kuwa mwaka una siku 365. Waligundua namna hii.

Ukichunguza jua kwa mwaka mzima utaona kuwa sehemu linakichomoza na kuzama hubadilika ndani ya mwaka. Sehemu linapochomoza mwezi wa kumi na mbili ni tofauti na linapochomoza mwezi wa sita.

Sasa wamisri waliweka alama sehemu jua linapochomoza, kisha wakahesabu siku ambazo zitapita hadi jua lije kuchomoza sehemu ileile tena. Waligundua kuwa jua linachukua siku 365 kurudi kuchomoza sehemu ileile.

Hili linaweza kufanyika hata kwa kuangalia kivuli. Kivuli huwa kinabadili muelekeo ndani ya mwaka. Sasa ili kirudi kwenye muelekeo kilichopo leo kitatumia siku 365. Jamaa walikuwa wako vizuri sana upstairs.
Asante kwa elimu..lakini "ustaarabu/civilization" haukuletwa na jamii moja ulimwenguni..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Sio hilo tu mkuu Afrika ndiko maarifa ya ulimwengu yalipotokea, watu wachache walidukua maarifa yetu na kutujaza matangopori vichwani na kutuaminisha kuwa 1+1= 11.
Kibaya zaidi watu hawataki kuzishughilisha bongo zao kutafuta ukweli nje ya box, wameamini walichokalilishwa tangu wadogo. Watu wa kale waliondoka na maarifa yao
Screenshot_20211123-043904.jpg
Screenshot_20211222-184109~2.jpg
Screenshot_20211222-183053~2.jpg
Screenshot_20211222-182722~2.jpg
Screenshot_20211222-183910~2.jpg
 
Walikua na usaidizi na wakajisahau.

Ndio maana unawaona leo wamejichokea sana hawana hata muelekeo thabiti kama ule wa kale.
Haaa we jamaaa ukimaanisha, akili yao imechoka tangia kale?!

Kumbuka ndio hao hao wapo kwenye mradi wetu wa bwawa la umeme rufiji huko!!!
 
Sio hilo tu mkuu Afrika ndiko maarifa ya ulimwengu yalipotokea, watu wachache walidukua maarifa yetu na kutujaza matangopori vichwani na kutuaminisha kuwa 1+1= 11.
Kibaya zaidi watu hawataki kuzishughilisha bongo zao kutafuta ukweli nje ya box, wameamini walichokalilishwa tangu wadogo. Watu wa kale waliondoka na maarifa yaoView attachment 2059510View attachment 2059511View attachment 2059512View attachment 2059513View attachment 2059517
Mkuu inaonekana uko deep kwa mujibu wa hizi habari ulizotoa hapa.

Naomba uongeze nyama kidogo nipate mwanga. Haya mambo huwa napenda kuyajua zaidi lakini taarifa zake huwa nazipatikani.

Yaani likuwaje Africans wakawa manipulated na Europeans na ni vitu vipi au mambo yapi yaliyoondolewa kwenye historia ya muafrika na kuwekwa kwenye historia ya mzungu.
 
Katika swala la mind control, truth hiding wakubwa wamejitahidi kwa kiasi kikubwa kutuhadaa
Ukisoma nakala nyingi za kale zinaonyesha ukweli mwingi sana hata juu ya Ulimwengu wetu, jua, mbingu, dunia...

Kipindi fulani nilikua nasoma Stoicism, nikawa nimemaliza vipengele vyake viwili yaani Ethics na Logic sasa nikasema ntamfungua Seneca katika Kitabu chake cha Stoic physics kiitwacho “on natural questions”.

Hapa sikubaki kama nikivyo kamwe

Gunduzi nyingi anazodaiwa Isaac Newton ambaye aliishi karne ya 17 alizingundua kama Optics, Motion na Gravitation Seneca ameziandika mwaka 40 AD( first century)
Mfano Seneca anaaandika kuhusu Concave and Convex mirrors na namna image inavyokuwa formed

Kitu kingine ni kuhusu Stability of Moving bodies
Seneca anakwambia dunia for stability lazima iwe stationary na ni kwamba Jua ndilo linazunguka Dunia Kama tuonavyo likitembea, kuchomoza na kuzama na kwamba dunia imetulia angani pamoja na sisi...

Hoja hii inamashiko kwa sababu wakati mwingine huitaji kuambiwa wakati wewe Mwenyewe unaona.

Dunia inaanzaje kuzunguka wakati una ona imetulia na Jua linaanzaje kutulia wakati tunaona kabisa in broad daylight kwamba hilo linatembea tena kwa macho yetu wenyewe!
Aaaa hapa hata Mungu anatushangaa asee!


Katika dunia ambayo watu wameaminishwa kuwa sayansi ina majibu ya maswali hayo ni bora ukanyamaza

Stoic physics haikuniacha kama nikivyokuwa kama tuu Hiyo Ethics na Logic
 
Wajuaj watakuja humu watasema kuwa kulkuwa na msaada wa alien, wengine watasema kuwa hayo mambo yaliyopita hayana maana kwakuwa mwafrika nowadays ni useless kwenye kila nyanja hapa dunian[emoji23][emoji23].

Ijulkane kuwa unapongelea misri ya kale ni sawa na kuongelea kijipati cha afrika ya weusi wa kale, ama jimbo la kifalmr ktk bara la afrika.

Si kila maajabu yalyotendeka afrika basi u atakiwa kusema ni misri, kulkuwa na mengi nje ya misri na technologies nying ambazo ndzo chanzo cha maendeleo ya hivi leo.

Kwa bahat mbaya haya mambo huwa hayafundishiw shulen, na yakifundishwa basi kwa uchache sana na anawekwa mtu mweupe ama mwarabu aonekane ndie mmisri kumbe si kweli, misri kiuhalisia ni mtu mweusi ambaye amehujumiwa historia yake na ardhi yake na hayo majitu roho mbaya ya Asia na ulaya.

Afrika ndio chanzo cha kila kitu dunian, No afrika No lives
View attachment 2059667
 
Wajuaj watakuja humu watasema kuwa kulkuwa na msaada wa alien, wengine watasema kuwa hayo mambo yaliyopita hayana maana kwakuwa mwafrika nowadays ni useless kwenye kila nyanja hapa dunian[emoji23][emoji23].

Ijulkane kuwa unapongelea misri ya kale ni sawa na kuongelea kijipati cha afrika ya weusi wa kale, ama jimbo la kifalmr ktk bara la afrika.

Si kila maajabu yalyotendeka afrika basi u atakiwa kusema ni misri, kulkuwa na mengi nje ya misri na technologies nying ambazo ndzo chanzo cha maendeleo ya hivi leo.

Kwa bahat mbaya haya mambo huwa hayafundishiw shulen, na yakifundishwa basi kwa uchache sana na anawekwa mtu mweupe ama mwarabu aonekane ndie mmisri kumbe si kweli, misri kiuhalisia ni mtu mweusi ambaye amehujumiwa historia yake na ardhi yake na hayo majitu roho mbaya ya Asia na ulaya.

Afrika ndio chanzo cha kila kitu dunian, No afrika No lives
View attachment 2059667
Bahati mbaya kuna hao"wajuaji" hawajui umuhimu wa suala hili. Hawajui kwanini mzungu alificha na kupindisha historia hii.
 
Hawa wamisri wa kale ndiyo watu walioleta ustaarabu tunaouona duniani leo hii. Wagiriki walijifunza ustaarabu kutoka Misri ya kale. Moja ya mambo waliyogundua ni kuwa mwaka una siku 365. Waligundua namna hii.

Ukichunguza jua kwa mwaka mzima utaona kuwa sehemu linakichomoza na kuzama hubadilika ndani ya mwaka. Sehemu linapochomoza mwezi wa kumi na mbili ni tofauti na linapochomoza mwezi wa sita.

Sasa wamisri waliweka alama sehemu jua linapochomoza, kisha wakahesabu siku ambazo zitapita hadi jua lije kuchomoza sehemu ileile tena. Waligundua kuwa jua linachukua siku 365 kurudi kuchomoza sehemu ileile.

Hili linaweza kufanyika hata kwa kuangalia kivuli. Kivuli huwa kinabadili muelekeo ndani ya mwaka. Sasa ili kirudi kwenye muelekeo kilichopo leo kitatumia siku 365. Jamaa walikuwa wako vizuri sana upstairs.
Thanks
 
Back
Top Bottom