Jinsi wanaume wa Nigeria wanavyotongoza

Jinsi wanaume wa Nigeria wanavyotongoza

life coach

Senior Member
Joined
Apr 11, 2017
Posts
121
Reaction score
401
Nimeona nikuletee sampuli za utongizaji za wanaume wa kinaijeria kulingana na taaluma zao.


Mwanafunzi wa kingereza.
I no sabi blow English but I fit tell you say I LOVE YOU.
MAANA:I know i dont know English ,but i can say that "I LOVE U"

Mwanafunzi wa jeographia.
My Geography na kpom kpom but I sabi sayWHERE you live; na in my HEART
Maana:Najua kuwa sijui jografia kabisa,ila najua sehemu unayoishi,na sehemu hiyo ni moyoni mwangu.

Mwanafunzi wa history.
I dey bad for History but i REMEMBER di first time i see you.
Maana: mi sio mzuri kwenye historia,ila nakumbuka siku ya kwanza kukuona.

Mwanafunzi wa kemia.
My Chemistry na zero but I can tell wetin be di REACTION when you smile.
Maana: Japo sijui kemia,ila naweza kusema reaction inayotokea pindi ukitabasamu.

Mwanafunzi wa fizikia.
I am BAD in PHYSICS but I sabi di INTENSITY of SPARK in my EYES when dey SEE you.
Maana: Japo sijui fizikia,ila naweza kujua kiwango mwanga katika mboni zangu pindi nikuonapo.

Mwanafunzi wa maarifa ya jamii.
I fit be olodo for every subject but make I tell everybody now; I go pass all subjects if di TOPIC na YOU.
Maana; japokuwa mi ni kilaza katika masomo yote,ila nataka kuwahakikishia watu kua kama topic za masomo hayo itakuwa ni wewe,basi nitafauru masomo yote.


Describe Me
A Wife asked her husband to describe her, the husband said u’re “A B C D EF G H I J K”
Hmm! Wife said, “wat does dat mean?”
“ Adorable, B eautiful, C ute, D elightful, E legant,
F airlyGorgeous and Hot
she said “oh, thats so lovely, wat about I J K ? He said, “I ‘m J ust K idding” Gbosaa!
 
Back
Top Bottom