Jinsi Watanzania tunavyoumia huku tukitanguliza Utani

Jinsi Watanzania tunavyoumia huku tukitanguliza Utani

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Moja ya vitu vinavyo wapa Watawala nguvu ni kuona utani wa wabongo, Mambo serious tuna weka utani sana mbele.

Ilitangulizwa makato ya kupokea na kutoa pesa, Utani ukawa mwingi sana Mtaani kama vile; Mbele kwa mbele, Mama anaupiga Mwingi, tuko Burundi, tunaisoma namba wote, Kazi eendelee na kadhalika, Maneno kama haya yanawapa nguvu sana watawala na baada ya kuona kumbe watu ni wazuri kwenye utani, Sasa wamekuja na Kodi ya Nyumba kwenye LUKU.

Hili nalo Mtaani na kwenye mitandao ya kijamii mijadala mingi ni utani asilimia 99, Mambo ya Mama anaupiga Mwingi, Mbele kwa mbele, tunaisoma namba na kadhalika.

Baada ya Hapa watakuja tena na Makato mengine na mengine na tutaendelea na utani kama kawaida wakati tunaangamia.

Tunao angamia ni sisi na familia zetu, Haya maumivu mtu kama Mwiguru Nchemba haya muhusu kamwe.

Ila inasikitisha tunao umia tuko bise na utani.

Hii imekuwa ni kawaida kwenye mambo memgi sana na ya muhimu kwenye nchi.

Tukiendelea na kila kitu tuna fanya Joking watawala watatukamua sana
 
Mafuta ya kuyaendeshea hayo magari ni bure! Wanakaa nyumba za bure! umeme bure! maji bure! Samani za ndani bure! mawasiliano yao ni bure! Hawakatwi kodi!

Hawa jamaa wanatuona sisi kama ng'ombe vile! Yaani hivi vyote wanavyo jianzishia, haviwahusu hata kidogo!
Hatari sn
 
Mafuta ya kuyaendeshea hayo magari ni bure! Wanakaa nyumba za bure! umeme bure! maji bure! Samani za ndani bure! mawasiliano yao ni bure! Hawakatwi kodi!

Hawa jamaa wanatuona sisi kama ng'ombe vile! Yaani hivi vyote wanavyo jianzishia, haviwahusu hata kidogo!
Hata suti wanashonewa kwa hela yetu.
 
Mafuta ya kuyaendeshea hayo magari ni bure! Wanakaa nyumba za bure! umeme bure! maji bure! Samani za ndani bure! mawasiliano yao ni bure! Hawakatwi kodi!

Hawa jamaa wanatuona sisi kama ng'ombe vile! Yaani hivi vyote wanavyo jianzishia, haviwahusu hata kidogo!
Kabisa mkuu, tena afadhali wangetuona ngombe ambaye unaweza ukapata maziwa na nyama, wanatuona sisi kama mandezi tu.
 
Bado ile ya vocha watuleteeeee tuleteeee tozo ya vocha tuleteeeeee tozo za vochaaaaa
 
Moja ya vitu vinavyo wapa Watawala nguvu ni kuona utani wa wabongo, Mambo serious tuna weka utani sana mbele.

Ilitangulizwa makato ya kupokea na kutoa pesa, Utani ukawa mwingi sana Mtaani kama vile; Mbele kwa mbele, Mama anaupiga Mwingi, tuko Burundi, tunaisoma namba wote, Kazi eendelee na kadhalika, Maneno kama haya yanawapa nguvu sana watawala na baada ya kuona kumbe watu ni wazuri kwenye utani, Sasa wamekuja na Kodi ya Nyumba kwenye LUKU.

Hili nalo Mtaani na kwenye mitandao ya kijamii mijadala mingi ni utani asilimia 99, Mambo ya Mama anaupiga Mwingi, Mbele kwa mbele, tunaisoma namba na kadhalika.

Baada ya Hapa watakuja tena na Makato mengine na mengine na tutaendelea na utani kama kawaida wakati tunaangamia.

Tunao angamia ni sisi na familia zetu, Haya maumivu mtu kama Mwiguru Nchemba haya muhusu kamwe.

Ila inasikitisha tunao umia tuko bise na utani.

Hii imekuwa ni kawaida kwenye mambo memgi sana na ya muhimu kwenye nchi.

Tukiendelea na kila kitu tuna fanya Joking watawala watatukamua sana


Wakoloni wa kizungu waliwakamua babu zetu na sasa ni zamu ya sisi kwa sisi kukamuana.

Tukubali tu kwani bila kukamuliwa miradi mikubwa iliyokwishwa anzishwa haitokamilika na mbaya zaid tulidanganywa kwamba miradi hiyo inatekelezwa kwa "FEDHA ZETU ZA NDANI"----- wewe unadhani fedha za ndani zitapatikanaje wakati wafanya biashara na wawekezaji wameshafunga virago??!!.

Tulishavuliwa nguo kwa hiyari yetu kwa ajili ya kuogeshwa maji baridi acha tuogeshwe.
 
...ganzi iendelee[emoji51]
IMG-20210821-WA0058.jpg
 
Back
Top Bottom