Jinsi Watanzania tunavyoumia huku tukitanguliza Utani

Jinsi Watanzania tunavyoumia huku tukitanguliza Utani

Kama hutaki hama nchi, ndio majibu yao hawa na unakuta mtu anaenda kanisani ama msikitini kabisaaaa, waache waendelee kuupiga mwingi ipo siku moto ukiwazidia watanzania wataamka, hakuna haki ambayo utaletewa ukiwa nyumbani kwako, pambana hakikisha uonevu unakoma na bado naskia wanajipanga na mamlaka za maji waongeze na huko yaani ukiskia kuoga mara moja kwa wiki ndio huko, Poleeeee samakii poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Bora ugali maharage kwenye amani na furaha ....

Ndio tamaduni za watanzania
Unaijua thamani ya huwo ugali marage au unaropoka tu! Na unafikiri katika hii dunia kuna binadamu hataki kuwa na amani na furaha
 
Siku tutakapoamua kuwa serious, tutaambulia makombo...
 
Back
Top Bottom