Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmh
Atakuwa yeye tu huyu
7. Mpe hela, pesa na money
Nakuja pm unipe somoWazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
Unaelekea kuwa furushi haki tena.
Bora unicheke, kwa hili [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama ulikuwa akilini mwangu.
Ebu fungua pm nikutumie pesa ya st ana ujipoze na machungu ya mbao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakuna anayemuweza auntie
Ni kweli mkuu tena tuna madushe
[emoji1][emoji1][emoji1]Nakazia mkuu tena yawe mengi
Usijali kabisa wangu si unajua kizuri kula na nduguyo [emoji28][emoji28]Ukitajiwa wakunyumba usisahau kuniforwardia I'd yake pm
Sikucheki nasubiri ofa jamaniii za jf together party...naona kimya...[emoji23] [emoji23] [emoji23] wakaka wanajifanya hawanioni ila pm zimejaa utotoo....daaamnnn!!!!Bora unicheke, kwa hili [emoji23] [emoji23]
Mie nilihamishwa lindo Mkuu, nadhani hata mm Leo naweza kuwepoMkuu upo?
Sijatokea lindoni siku kadhaa, leo nitakuwepo nahisi.
[emoji2] [emoji2] naona leo tumepewa mbinu za kivita. Fungua pm[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aaaah basi ndugu baki na pm yakoPesa zimefanyaje yaani
Sifungi pm bwanaa...kufunga PM ni kupishana na gari ya mshaharaaa!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2] [emoji2] naona leo tumepewa mbinu za kivita. Fungua pm
PM niliyowahi kuingia ni ya mods tuuu...
hivi naanzanje kuingia PM ya mtu ambaye hata simjui sura..rangi..kimo..umri...jinsia
Koment zako zote nalikeKwenye likes nimecheka sana daah!
Bebeee!!!!Pesa zimefanyaje yaani