Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

PM niliyowahi kuingia ni ya mods tuuu...

hivi naanzanje kuingia PM ya mtu ambaye hata simjui sura..rangi..kimo..umri...jinsia
 
Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!

Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz

Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.

*nafundisha kutongoza bure
Nakuja pm unipe somo
 
Back
Top Bottom