[emoji848]Nataka nianzie kwako nione kama itazaa matunda
achana naye!wengne wamedondoka toka nzega jana!...lol!anahis mapichapichaSio kila Pm zinapelekea mahusiano. ...nyingine nikuunda network kwa ajili ya mambo mengi nje ya Mahusiano...
Usiwe Mwoga sana....
Sio kila Pm zinapelekea mahusiano. ...nyingine nikuunda network kwa ajili ya mambo mengi nje ya Mahusiano...
Usiwe Mwoga sana....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yeeeees insta babe [emoji23][emoji23][emoji23]
Amigo sikutaka kabisa upite hapa unaniharibia mipango ha ha ha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ....achana naye!wengne wamedondoka toka nzega jana!...lol!anahis mapichapicha
Hahaha, kwa kweli Mkuu, mbaya zaidi nazurura sana ktk hayo ma mijiyule huwa hatumbui hapo hapo.. anakuvizia ujisahau atume watu wasiojulikana waje wakukamue
Wamefanana kweli, atuwie radhi tuAtusamehe kwakweli jamani ila wamefanana sana
word.....Sio kila Pm zinapelekea mahusiano. ...nyingine nikuunda network kwa ajili ya mambo mengi nje ya Mahusiano...
Usiwe Mwoga sana....
Kitu nilichofeli katika maisha yangu kuwa na URAFIKI na MWANAMKE... aisee labda uwe urafiki wa juu juu ule wa mambo vipi? shwar? baas.. ila sio kutembeleana hadi nyumbani lazima nikuwekeSio kila Pm zinapelekea mahusiano. ...nyingine nikuunda network kwa ajili ya mambo mengi nje ya Mahusiano...
Usiwe Mwoga sana....
Sijaelewa, unaweza kunifafanulia pm au nianze na likes kwanzaEvelyn Salt naona unasepa na kijiji kama efm
na umekazia kwelikweli aisee πππ nikastuka ...nikasema insta babe ana niniiiiii ππHahhahha
Nikakazia kabisa afurahi na roho yake
Mie lindo watu walipita na baiskeli ,nikahamishwaMimi juzi juzi nimepata deiwaka ya ubodigadi, ndo maana sikuwa lindo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Okay bro hongera kwa kugombaniwa, hata panzi akianguka chini sisismizi wanamgombania.
Ipo wazi wap wakati naona kuna bonge la solexIpo wazi jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ....
Kweli aisee...Mapenzi ya kupenda. Avatar na madume jike na majike dume tusiyoyaona.