Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
sas unatumiwa mtoto mkali anajileta PM unajiona umeokota dodo katika mnazi.. kumbe umeokotwa wewe na jiwe.. tena sahiv yupo huko kanda ya ziwa... watakukuta ndugu zako unaelea katika viroba, ZIWA victoriaHahaha, kwa kweli Mkuu, mbaya zaidi nazurura sana ktk hayo ma miji
I like the way you think...wengine wana flirt tu hapa JF,wakifunga computer zao ni baba/mama/mume/mke wa mtu...likes zisikuhadae ..mtu anaweza akakukubali kwa points zako na hivyo kukupa likes bila kuwa na maana nyingine Zaidi ya hio like tu...
Duh!Ni kweli mkuu tena tuna madushe
Mie lindo watu walipita na baiskeli ,nikahamishwa
Ilo tu wala usiwaze shunie maana najua pesa ndo tiba yakoUsisahau kuja na kwangu Antonio uje na mahela lakini
Sikujua kuna watu wanaogopa PM.....[emoji38][emoji38][emoji38]Nakazia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] habari ndo hyooooMfyuuuuuuuuuuu
That's a friend like au friendship nalipia nusu ya lovers hahahahahahNaona watu wako makini na wameutendea haki ushauri kwa kumwaga likes za kutosha [emoji848][emoji848][emoji848]....sawa mje bas na kwangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kyakyayaa haya bana mbavu sasaWazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
Sikujua kuna watu wanaogopa PM.....[emoji38][emoji38][emoji38]
good thing kuhusu wew mdada upo so social naiman hukosi life support kipindi cha shida upo muwazi......jamaa alisahau kusifia kuwa unaweza msifia mtajwa hata kama hajacommentSijaelewa, unaweza kunifafanulia pm au nianze na likes kwanza
Ndio hivyo hivyo Mkuu ,yaani nimehamishwa lindo,na kamshahara wananikata kaa ,bado deni /mkopo wa ndani/mkopo wa nssf ,aargh acha tu tulindePole sana mkuu, wakati mwingine ni figisu za mabosi, wakiona unaona mengi wanakuwa na wasiwasi utakuja kusema.
[emoji15] asee ndio maana huwa nacheka tu ,nikiona kitusas unatumiwa mtoto mkali anajileta PM unajiona umeokota dodo katika mnazi.. kumbe umeokotwa wewe na jiwe.. tena sahiv yupo huko kanda ya ziwa... watakukuta ndugu zako unaelea katika viroba, ZIWA victoria
ww jamaa kiboko ππππ nimeshawahi kupoteza rafiki wa kike mzuri ambaye tulikuwa tunasaidiana kwenye mambo mbalimbali baada tu yakusikiliza ushauri wa washkaji (utamwachaje mtoto mzuri vile) nikafanya yangu tukaingia kwenye mahusianoKitu nilichofeli katika maisha yangu kuwa na URAFIKI na MWANAMKE... aisee labda uwe urafiki wa juu juu ule wa mambo vipi? shwar? baas.. ila sio kutembeleana hadi nyumbani lazima nikuweke
Mzee wa VAR ,unahisi itakuaje siku hySiku Virus akishambulia JF na PM zote zikawa PUBLIC ni IDs chache sana za zamani zitabaki humu.
Wamefanana kweli, atuwie radhi tu
Sawa
Nimelike, jiandae mzee babagood thing kuhusu wew mdada upo so social naiman hukosi life support kipindi cha shida upo muwazi......jamaa alisahau kusifia kuwa unaweza msifia mtajwa hata kama hajacomment
na umekazia kwelikweli aisee [emoji23][emoji23][emoji23] nikastuka ...nikasema insta babe ana niniiiiii [emoji23][emoji23]