Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Mkuu na wewe Mr Romantic unatanguliza 100,000/-?
Hapana mkuu, sijawahi kua mtaalam wa haya mambo!

Mimi ni mwendo wa salamu tu. Mambo? Niambie! Umeamkaje? Umekula? Unafanya nini? Na mengineyo..

Sasa mtu hataki kujuliwa hali anataka nini kingine?

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Kidding....
 
Hapana mkuu, sijawahi kua mtaalam wa haya mambo!

Mimi ni mwendo wa salamu tu. Mambo? Niambie! Umeamkaje? Umekula? Unafanya nini? Na mengineyo..

Sasa mtu hataki kujuliwa hali anataka nini kingine?

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Kidding....
Ha ha. Ha ha wewe ndio wale salamu kama dozi,asubuhi mchana jioni?! Ila nakuaminia hutumii nguvu wanakuja wenyewe tu.
 
nilitumia hizi mbinu zote haka ka-bibi kizee carbamazepine kakanichomolea kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani umeamua kuniita bibi kisa hii picha yangu?
Nakuendea kwa mshana haki tena[emoji23]
tapatalk_1534521197076.jpeg
 
Anakusalimia sana yaani sana soon utamuona nampaga salaam zako sana anasema eti nikulinde nitaweza kweli mm
Shemeji zima taa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]
Mwambie asiwe na wasi, nimefungia na kufuli funguo nikatupa mto msimbazi.
 
Nimemtumia screenshot anasema mwambie Eli wangu nitakuja kumlike mpaka basi mwambie nammiss sana
Shemeji zima taa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]
Mwambie asiwe na wasi, nimefungia na kufuli funguo nikatupa mto msimbazi.
 
Back
Top Bottom