Jinsi watu wanavyotongozana JF

Mkuu na wewe Mr Romantic unatanguliza 100,000/-?
Hapana mkuu, sijawahi kua mtaalam wa haya mambo!

Mimi ni mwendo wa salamu tu. Mambo? Niambie! Umeamkaje? Umekula? Unafanya nini? Na mengineyo..

Sasa mtu hataki kujuliwa hali anataka nini kingine?

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Kidding....
 
Ha ha. Ha ha wewe ndio wale salamu kama dozi,asubuhi mchana jioni?! Ila nakuaminia hutumii nguvu wanakuja wenyewe tu.
 
Anakusalimia sana yaani sana soon utamuona nampaga salaam zako sana anasema eti nikulinde nitaweza kweli mm
Shemeji zima taa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]
Mwambie asiwe na wasi, nimefungia na kufuli funguo nikatupa mto msimbazi.
 
Nimemtumia screenshot anasema mwambie Eli wangu nitakuja kumlike mpaka basi mwambie nammiss sana
Shemeji zima taa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]
Mwambie asiwe na wasi, nimefungia na kufuli funguo nikatupa mto msimbazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…