Handsome?
Unataka kunikopa?
Wapi huko?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka mpaka nimekaa
Kuna sehemu nakuonaga nasema mr handsome huyo ila upunguzage ubishi
Mkuu na wewe Mr Romantic unatanguliza 100,000/-?Wapi huko?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wapi huko?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hakuna sehemu inabeba siri Kama pm. Siku nikidate huku lazima niombe pm ya bby maana kule mengi yanaendelea mkija jukwaani unadanganywa uko mwenyewe kumbe mmepangwa
Hapana mkuu, sijawahi kua mtaalam wa haya mambo!Mkuu na wewe Mr Romantic unatanguliza 100,000/-?
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]He he siri yangu yaani huwa nakuchora tu mimi
Ha ha. Ha ha wewe ndio wale salamu kama dozi,asubuhi mchana jioni?! Ila nakuaminia hutumii nguvu wanakuja wenyewe tu.Hapana mkuu, sijawahi kua mtaalam wa haya mambo!
Mimi ni mwendo wa salamu tu. Mambo? Niambie! Umeamkaje? Umekula? Unafanya nini? Na mengineyo..
Sasa mtu hataki kujuliwa hali anataka nini kingine?
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Kidding....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani umeamua kuniita bibi kisa hii picha yangu?nilitumia hizi mbinu zote haka ka-bibi kizee carbamazepine kakanichomolea kabisa
Wanakuja vipi wakati wanasema hawataki salamu?Ha ha. Ha ha wewe ndio wale salamu kama dozi,asubuhi mchana jioni?! Ila nakuaminia hutumii nguvu wanakuja wenyewe tu.
Weka ya demu wako kwanza tuone[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Coz sura zao mbovu[emoji3][emoji3][emoji3]
Nashukuru mkwe...!!!Embu tuone ya demu wako Kama nzuri halafu ndo useme zetu mbovu. Hatuna sura nzuri ila sio mbovu mkuu tutake radhi au utuwekee sura ya demu wako
Waweza kuta huyo demu wake anasura nzito kama uji wa mtama,shepu haieweki kiuno kiko wapi wala tako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka ya demu wako kwanza tuone[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Anakusalimia sana yaani sana soon utamuona nampaga salaam zako sana anasema eti nikulinde nitaweza kweli mmNilimlaiki Sakayo hadi nikampenda, ajabu ameniacha porini peke yangu, bora basi angeingia huko pm tuonane.....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wazigua, wabondei, wasambaa wengi maji ya kunde, wazuri sana. Tatizo la watu wa Tanga bwana, aaaah!!!!Embu tuone ya demu wako Kama nzuri halafu ndo useme zetu mbovu. Hatuna sura nzuri ila sio mbovu mkuu tutake radhi au utuwekee sura ya demu wako
Nishakujua, I did ask you the other day, nimekufatilia hadi "nikakujua".[emoji16][emoji16][emoji16]🙂🙂 bwana wee!hapa wadada waliamua kufunguka tu wanavoeleza approach nzuri ni ipi!mengne ni yako!maana mmepewa maujuz bureee!
Shemeji zima taa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]Anakusalimia sana yaani sana soon utamuona nampaga salaam zako sana anasema eti nikulinde nitaweza kweli mm
Shemeji zima taa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]
Mwambie asiwe na wasi, nimefungia na kufuli funguo nikatupa mto msimbazi.