Tafuta experience kupitia kwangu basiiii🤣mm mgeni na wapare.. ila hua naskia wabahili
Kumbe huwa unasikia. Nikajua yamekukuta ya kubahiliwa.mm mgeni na wapare.. ila hua naskia wabahili
Ukiona hutongozwi unajitongozesha tu.Mbona mimi sitongozwi humu
hahahahahahahUkiona hutongozwi unajitongozesha tu.
Unafurahi mwenyewe...!hahahahahahah
Hapa ndipo huwa tunaposhindwana na wewe. Kunichanganyia habari.
Sina ulimbukeni huo na sijawahi waza kutongoza humu kwanza naanza kutongoza mwanamke mitandaoni kiufupi ni ushamba + ulimbukeniUkiona hutongozwi unajitongozesha tu.
kama nimefika kilele cha mlima k'najroUnafurahi mwenyewe...!
Umesema ukweli kaka mkubwa. Tuko pamoja.Sina ulimbukeni huo na sijawahi waza kutongoza humu kwanza naanza kutongoza mwanamke mitandaoni kiufupi ni ushamba + ulimbukeni
Nichunge kondoo wa bwana sio? Ndio nianze na wewe! [emoji3] PM yako haifikiki, nilikuwa njiani tayari nabisha hodi ujuwe..haha😛😛😛😛 linda kondoo wa bwana
Hapa ndipo huwa tunaposhindwana na wewe. Kunichanganyia habari.
Wee,unanikumbusha mbali sana. Hapa naona si mahala pake.kama nimefika kilele cha mlima k'najro
😉😉😉😉😉Nichunge kondoo wa bwana sio? Ndio nianze na wewe! [emoji3] PM yako haifikiki, nilikuwa njiani tayari nabisha hodi ujuwe..haha
Naendelea kujifunza nisiy yajua humu.furaha tu
sorryWee,unanikumbusha mbali sana. Hapa naona si mahala pake.
Humu ni kwambia muhusika tu ukweli,akikaza unakula hamsini zako.Sina ulimbukeni huo na sijawahi waza kutongoza humu kwanza naanza kutongoza mwanamke mitandaoni kiufupi ni ushamba + ulimbukeni
Unaonekana muelewa sana...!sorry
😉Unaonekana muelewa sana...!