Jinsi watu wanavyotongozana JF

Humu ni kwambia muhusika tu ukweli,akikaza unakula hamsini zako.

Wanasema akunyimae kunde amekupunguzia mashuzi.
Wala sijawahi kuliwaza hilo mara nyingi baada ya kazi huwa naingia humu kujua dunia inaenda je? Lakini kuwa kuifuatilia profile ya mtu sijui kaweka picha ya paja lake sijawahi mfuata binti/Mdada yeyote na siwezi.
 
Wala sijawahi kuliwaza hilo mara nyingi baada ya kazi huwa naingia humu kujua dunia inaenda je? Lakini kuwa kuifuatilia profile ya mtu sijui kaweka picha ya paja lake sijawahi mfuata binti/Mdada yeyote na siwezi.
Endelea hivyo hivyo bro. Humu sanaa nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…