Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
hahaha wadada wa siku hizi hamuaminiki kbs!arghhhHizo ngonjera za karudi baba mmoja na uzee huu wapi na wapi!!!
hahaha wadada wa siku hizi hamuaminiki kbs!arghhh
natureSio sisi ni dunia.
nature
Unazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha
"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"
Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!
Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
Hata mimi ni wa huko huko nadumisha mira!hhhahahahaah majina ya watu wa musoma hayo !lol
Hako ka Lugha kwanza hapo juu itabidi niombe msaada ,It doesnt work that way. Its a long process mpaka kukubaliana kuonana mshafahamiana vizuri. Ukikurupuka ndio mtakimbiana.
Inaanzia kwenye thread>PM>Simu(Wsap)>Picha>Kuonana live>whatever u decide.
Duh! Yaani kwa umri nisiyajue mapenzi labda haya ya mitandaoni ndiyo siyajui, niliishachomwa na mishale mpaka Mikuki ndiyo maana siyashobokei kihivyoSio ushamba mkuu..huyajui vizuri mapenzi wewe
Mpaka hapa nilipo ni mama yangu tu! Ndiyo mwanamke pekee anaeweza niomba hela na niampa bila kujiuliza hawa wengine hawana jipya walishaga tafuna mihela yangu kibao na mpaka sasa sijui walipo hata salamu hakuna kwanini? Niendelee kutumika kwa hasara nilishasema inatosha labda wanipe wao.Utumwa wa mapenzi huo, kuna watu huwa hawawez hata kumtumia mama yake pesa ila wee kwa madem anafungua benki,
Ni kweli kabisa!Kunaweza kuwa na ukweli hapa
Kwa Disciplinary Committee[emoji41]Utanisemea kwa nani?
Hata mimi ni wa huko huko nadumisha mira!
Hahahahaha hatarYeah wanaofanya hivi wanakuaga wanaume flani matured, wenye tabia za kiume,yani ni real men....
Mbarikiwe sana real men kokote mliko, muongezewe zaidi mnapotoa.
(Basi vikware hapa vitanyapia baadae vipige uturn pm vijifanye navyo ni vi real men)
Hahahahaha Pole kwa vibutNgoja nitulie hapa,labda nitapata mbinu, niepuke na vibuti vya humu
Acha niwe unreal men, ila kuchezea wallet kwa hooker is not my steez, wapo road wanajianika why should i hustle for yours while you have same objectives.Hahahahaha hatar
Kwa road wapo Ndio but Co wote wanafaa kuwa wapenzi wako hasa ukiwa na malengo nayeAcha niwe unreal men, ila kuchezea wallet kwa hooker is not my steez, wapo road wanajianika why should i hustle for yours while you have same objectives.