Jinsi watu wanavyotongozana JF

Tatizo so hizo step tatizo jina la huyo mtu unaweza kuta jina zuriiiiiiii ukajua hapa nimepta siku unakuja kujua kumbe mwanaume mwenzio ai mwanamke mwenzio hapo ndo utajua umuhimu wa tako maishan
 

hahahaha
 
Kuna watu hata uwaombe vipi namba hawatoi..Mungu anawaona
 
It doesnt work that way. Its a long process mpaka kukubaliana kuonana mshafahamiana vizuri. Ukikurupuka ndio mtakimbiana.
Inaanzia kwenye thread>PM>Simu(Wsap)>Picha>Kuonana live>whatever u decide.
Hako ka Lugha kwanza hapo juu itabidi niombe msaada ,
 
Utumwa wa mapenzi huo, kuna watu huwa hawawez hata kumtumia mama yake pesa ila wee kwa madem anafungua benki,
Mpaka hapa nilipo ni mama yangu tu! Ndiyo mwanamke pekee anaeweza niomba hela na niampa bila kujiuliza hawa wengine hawana jipya walishaga tafuna mihela yangu kibao na mpaka sasa sijui walipo hata salamu hakuna kwanini? Niendelee kutumika kwa hasara nilishasema inatosha labda wanipe wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…