Jinsi watu wanavyotongozana JF

Shida Zote za Nini? Kitaa Mademu wamejaa mpaka tunawakwepa!
 
Yaani tabu yote hiyo tu ili uwe karibu N mtu ambae hata humjui alivyo mwisho wa siku upoteze muda wako pale mtakapokutana na asikuvutie
 
We inaonekana ulikuwa mjanja tangu enzi za kuvunja beseni, hupendi kona nyingi kama za kitonga, au za korogwe
 
"Ukiwa na pesa utasifiwa kitambii
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu, video snapchaat.
Kumbe hana maana hadi Mangii anamwita sweetheart
Kisa anakesha gym, kutafuta six packs

Unaiibiiwa
Unaibiiiwa

Unaibiiwa
Unaibiiwa"
 
Mbn km umeandik upimb zaid mkuu
 

Hii mbinu naielewa.
 

Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…