carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Unayo?Hutaki laki wewe mrembo? ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unayo?Hutaki laki wewe mrembo? ???
hhahahahahaha nkemaaaa!Mtego ukitiki wine moja kwangu
Make hapo unapata mbebs kwa hisani ya Es (dalali).
Zipo nyingi tu changamkia Fursa kama viph fungua mlangoUnayo?
nilienda kuchukua kituPm kwa ev unatafuta nini?
njia za maveterani hazielezekiHebu nikumbushe njia ulotumia.
Mlango mbona uko wazi?Zipo nyingi tu changamkia Fursa kama viph fungua mlango
We inaonekana ulikuwa mjanja tangu enzi za kuvunja beseni, hupendi kona nyingi kama za kitonga, au za korogweUnazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha
"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"
Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!
Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
Es, (Supper agent ) nina special gifts for you, ushauri wako unahitajika jinsi itakavyokufikia.
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Mlango mbona uko wazi?
We njoo tu
Mbn km umeandik upimb zaid mkuuWazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
Yaani bora hata mbwa wanguwa KijerumaniMbuz ya kisasa ila ..
Sio kama wewe mfagiz wa banda langu
So lets say someone caught your eye humu, lakini hujui uanzie wapi. Un
Strategy nyingine ni kutafuta influencer au mtu popular humu ndani na kuwa friends nae. And here comes the wonderful thing about human psychology, watu wakikuona uko friends na mtu fulani ambae ni popular, they will always want to associate with you too. So inakuwa ni rahisi sana na wewe kuzoeana na wengine, hata hupati tabu.
So go forth and prosper friends!
Hilo unalotumia sio jina ?Duuh tusio Na majina Kazi tunayo
Unazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha
"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"
Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!
Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
njia za maveterani hazielezeki
nilienda kuchukua kitu
mtu mwenyewe hanijibu achana nae