Acha nijibane na wewe. ...[emoji6]Hii mbinu naielewa.
Kwahiyo pesa ndio kila kitu? [emoji23] [emoji23] [emoji23]"Ukiwa na pesa utasifiwa kitambii
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu, video snapchaat.
Kumbe hana maana hadi Mangii anamwita sweetheart
Kisa anakesha gym, kutafuta six packs
Unaiibiiwa
Unaibiiiwa
Unaibiiwa
Unaibiiwa"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hadi unatamani kumwambia atume salamu kupitia RTD(kwa sauti ya eve)
Hapana. Unaweza kuwa na pesa ukaibiwa na mwenye six packs hana pesa.Kwahiyo pesa ndio kila kitu? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo ni mpenzi msalimiaji
Dah kuna siku na utu uzima wangu huu niling'ata vidole kisa hii technique na hapa ni keyboard ndo imeongea, angekua live je ningechimba vishimo na kuchuma majani ya miti, bwana niokoeeeee
kweli si unajua siwezi kukudanganya weweUnachukua kitu pm!!! Realyyyyy!
Duuh.. Nafikiri wanafunzi wakielewa hili somo wakufwate inbox tuWazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
Dgo juzi bili geti kankopa buku mbil amnunulie mbwa wake mazwa we endelea kunchukulia simpoYaani bora hata mbwa wanguwa Kijerumani
Yaani wewe mbuzi tu
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Acha nijibane na wewe. ...[emoji6]
Hata nilikuwa sijakushtukizia. ..Unajua kwa nini huwa nakukwepa?
kweli si unajua siwezi kukudanganya wewe
huyo dgo tumwajir ... Awe anatutypia txt .... Buku moja inamtoshaHilo unalotumia sio jina ?
Dogo inaonekana una njas hadi unasahau jina lako
Mama angu nimecheka mbona umesahau na wazee wa salaam kila akiingia salaam na maswali umekula niniUnazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha
"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"
Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!
Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
hahhahha eve leo nakugawa rasmi.... xmas nilitumiwa wine 3 dadeq!kwa njia hyo hyo!jimiminia weeeee!dadeq!
siku nyingne katokea jamaa ...nikamwambia sijafika job usafiri leo sina!why mamy!nikamwambia ah bima imeisha!naogopa trafk...hela ya bima hyoooo!ila hz technique waanweza wale wakaka age fulan!safiiiii!
Anko wangu mm huyo mwingine nimesingiziwahujawahi kuniangusha
yaani hata unipige mtama sianguki
nakupenda sanaaa
japo hunijibu pm zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wadada wa watu masikini hadi wamefunga pm zao