Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

"Ukiwa na pesa utasifiwa kitambii
Baby me I like that
Nakukupamba kwenye simu, video snapchaat.
Kumbe hana maana hadi Mangii anamwita sweetheart
Kisa anakesha gym, kutafuta six packs

Unaiibiiwa
Unaibiiiwa

Unaibiiwa
Unaibiiwa"
Kwahiyo pesa ndio kila kitu? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwahiyo pesa ndio kila kitu? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana. Unaweza kuwa na pesa ukaibiwa na mwenye six packs hana pesa.

Baba muhifadhi Nyerere kasema utu wa mtu kazi, pesa ni matokeo.

Chidumule kaimba "Usitumie peesa, kama fimbo baba. Mambo ya pesa hutaka makubaliano, hapo ndipo pesa huwa na thamani ee".
 
Hahahaaa!!
Dah kuna siku na utu uzima wangu huu niling'ata vidole kisa hii technique na hapa ni keyboard ndo imeongea, angekua live je ningechimba vishimo na kuchuma majani ya miti, bwana niokoeeeee
 
Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!

Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz

Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.

*nafundisha kutongoza bure
Duuh.. Nafikiri wanafunzi wakielewa hili somo wakufwate inbox tu
 
Mkuu usipate tabu.. Humu jf kuna wadada kibao wanakwambia pesa mbele mengine yatafuata.. Kwahyo we anzisha uzi then attach video ukiwa unachezea mihela (kama ile video ilomfanya maua sama na soudy Brown wako ndan) then hao warembo watakuja wenyewe tu
 
Unazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha

"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"

Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!

Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
Mama angu nimecheka mbona umesahau na wazee wa salaam kila akiingia salaam na maswali umekula nini

Mana hizo anaona ndio swagger
 
Nakufananisha na shoga angu mbebez wa beira
hahhahha eve leo nakugawa rasmi.... xmas nilitumiwa wine 3 dadeq!kwa njia hyo hyo!jimiminia weeeee!dadeq!

siku nyingne katokea jamaa ...nikamwambia sijafika job usafiri leo sina!why mamy!nikamwambia ah bima imeisha!naogopa trafk...hela ya bima hyoooo!ila hz technique waanweza wale wakaka age fulan!safiiiii!
 
Back
Top Bottom