Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hahhahahah
Ndio mana nakupenda mm
Ndio mana nakupenda mm
aaaa sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaaa sana tu
Tudiscuss siasa za vyama vya upnzanKuongea nn vipi tena
Marahabaaa auntie, unamtusi kimoyomoyo tu na haujibu.
Huyu uncle wako kuna muda ananichosha basi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe nawewe umeona eehNakufananisha na shoga angu mbebez wa beira
Yaan uende tu jukwaa la siasaTudiscuss siasa za vyama vya upnzan
Kwangu sina neno maana mim sio mtongozaji wanakuja wenyewe kwa kugombaniaWazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
Yaan mama angu kila nikimsoma ni mulemule jamani yaani nilimmiss shoga angu kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23] Kumbe nawewe umeona eeh
hivyo tunapendana sanaaaHahhahahah
Ndio mana nakupenda mm
Tudiscuss pesa basiYaan uende tu jukwaa la siasa
Yani nkimtaja tu hapa pm yake itakua bize kama bodabodaNiunganishie kwa huyo mkaka aisee nna shida na laki [emoji23][emoji23][emoji23]
Atakuwa yeye tu huyuYaan mama angu kila nikimsoma ni mulemule jamani yaani nilimmiss shoga angu kwakweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa si umwage mchele kwny kuku tudonyoeYani nkimtaja tu hapa pm yake itakua bize kama bodaboda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa si umwage mchele kwny kuku tudonyoeYani nkimtaja tu hapa pm yake itakua bize kama bodaboda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio mzigo wako huo auntie yangu
Nakufananisha na shoga angu mbebez wa beira
Unataka kusema hakuna lililokugusa hata?kumbe!!
Mama maeeeeee!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] hail to the queen of best comment ever in jf!!!!!Unazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha
"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"
Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!
Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
Hapa kuna ukweli. ...mfikirishe mtu. ...sio siku ya kwanza ushamlisha kila kitu. ...kesho mnabaki mnatazama.Evelyn Salt ameongea kitu ambacho tuliteseka nacho zamani ila kwa sasa kimerahisishwa na hii mitandao.
Research, information availability. Back then ulikuwa huwezi kujua mtu unayetaka kumuapproach ni mtu wa namna gani, anapendelea nini, michezo, siasa, udaku, urembo etc mpaka akwambie mwenyewe. Humu kwenye mitandao taarifa zipo, msome mwelewe...
Unapomfata unakuwa unataarifa kamili juu yake, mistari inakuwa direct to point, hata mkichat siku nzima hamchoshani, tengeneza mazingira ya mtu kuisubiri reply yako kwa hamu, akitaka kujua umeandika nini.
Be interesting, learn how to listen what she wants you to hear, na uwe na kumbukumbu ya details ndogo kulingana na ulivyomsoma.