Nimetembelea mabucha mengi sana hapo Dar Mwenge na Kariakoo ndio vinara wa wizi wakifuatiwa na wa Shekilango, Mabibo, Goba Mwisho, Africa sana (mabucha ya nyama na samaki lao moja)
Ukienda kununua nyama kuna zile mizani ambazo ni digital ukinunua nyama kuanzia kilo moja na kuendelea lazima wakuibie. wanachofanya - kuna mabeseni ya kama aina tatu fauti dogo lina gram 225g, la kati lina gram 362gm na kubwa lina 825gm
Ukienda kununua nyama kama ni nyama nyingi zaidi ya kilo 3 wanatumia lile beseni kubwa nyama inawekwa kwenye besini ambalo halipo kwenye mizani, kisha mizani anaiset 00 mteja utaridhika ni 00 hapo tayari kakuibia nyama au samaki gm nyingi kulingana na besini alilotumia.
kumbuka mizani inapaswa kuwa 00 wakati beseni likiwa juu ya mizani bila nyama kisha aweke nyama mpaka kiwango kile unachopaswa kununua na si vinginevyo.
OMBI: Usikubali kupimiwa nyama na besini kama hilo beseni halikuwekwa juu ya mezani bila nyama na kulireset 00 ndipo nyama iwekwe juu yake.
watu wa mamlaka ya vipimo tembeleeni mabucha hasa siku za mwisho wa week na sikukuu ndio hali huwa mbaya zaidi. Unapogundua udhaifu kwenye bucha usiogope kuwajulisha wote waliopo buchani hapo ili wajui
Ukienda kununua nyama kuna zile mizani ambazo ni digital ukinunua nyama kuanzia kilo moja na kuendelea lazima wakuibie. wanachofanya - kuna mabeseni ya kama aina tatu fauti dogo lina gram 225g, la kati lina gram 362gm na kubwa lina 825gm
Ukienda kununua nyama kama ni nyama nyingi zaidi ya kilo 3 wanatumia lile beseni kubwa nyama inawekwa kwenye besini ambalo halipo kwenye mizani, kisha mizani anaiset 00 mteja utaridhika ni 00 hapo tayari kakuibia nyama au samaki gm nyingi kulingana na besini alilotumia.
kumbuka mizani inapaswa kuwa 00 wakati beseni likiwa juu ya mizani bila nyama kisha aweke nyama mpaka kiwango kile unachopaswa kununua na si vinginevyo.
OMBI: Usikubali kupimiwa nyama na besini kama hilo beseni halikuwekwa juu ya mezani bila nyama na kulireset 00 ndipo nyama iwekwe juu yake.
watu wa mamlaka ya vipimo tembeleeni mabucha hasa siku za mwisho wa week na sikukuu ndio hali huwa mbaya zaidi. Unapogundua udhaifu kwenye bucha usiogope kuwajulisha wote waliopo buchani hapo ili wajui