Jinsi ya ku calculate gharama za kodi pindi unapoagiza nje ya nchi

PAMILA

Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
34
Reaction score
22
Wakuu naomba mnisaidie namna ya kupata gharama halisi za kodi pindi ninapoagiza gari kutoka nje ya nchi. Pia je, tz unaweza kuingiza gari yenye miaka mingapi? Natanguliza shukrani
 
Nenda kwny Website ya TRA kuna Calculator Yao ukiingia utajaza Particulars za gari husika Kama vile aina ya gari, Mwaka iliotengenezwa, CC zake, Nchi iliyo tengenezwa then Ina calculate automatic na kukupa total figure in Tshs.
Mbali ya figure hiyo ongeza Kama dola 150 kwa maana ya Agency fee na Storage Bandari ambazo haizidi laki 3!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…