JINSI YA KU CUT CIRCLE NA WATU WANAO KUONA HAUFANYI KITU KATIKA MAISHA

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Habari za mda huu Kuna watu tunajuana nao kwenye maisha ambao ni Bora tusingewafahamu Kuna watu ambao wanapenda kuwapangia wenzao jinsi ya kuishi mara Fanya ivi mara Fanya ivi na hapo wewe hauwapangii maisha yao

They call you when they need you only mbinu ipi ya kuwa epuka Hawa watu?
 
Ukishaweza kuignore maneno ya watu,utaweza kuwa huru,utakuta mtu una hofu na wasi wasi huku unawaza watu watakuonaje? Ukitaka kuwa huru ni lazima uwe na uamuzi wako binafsi usiotegemea watu wanaokuzunguka.
 
Waite na wao uwapangie maisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…