Jinsi ya Ku fund brokerage account iliyopo overseas!

Duu mkuu ya Kweli hayo Na Vipi Hiyo Kesi anayosema kiongozi apo ya Spread kuwa Kubwa....???
spread kupanda usiku ni kwel ila mim natrade mchana na asubuh spread ikiwa lit Jion Nadraw Profit yangu kwa Mpesa Urahisi wao upo kwenye kutoa pesa mkuu within a 30Min hela yangu ipo kwa Mpesa Unatak nin tena mkuuu
 
spread kupanda usiku ni kwel ila mim natrade mchana na asubuh spread ikiwa lit Jion Nadraw Profit yangu kwa Mpesa Urahisi wao upo kwenye kutoa pesa mkuu within a 30Min hela yangu ipo kwa Mpesa Unatak nin tena mkuuu
Lakini mkuu huwezi kufunga trade zako jioni kila siku labda uwe scalper wa kichukua hadi profit ya $0.20, tunaita njiti/ pre mature.
Mara nyingi sio tunapenda kulaza trade but huwa tunalazimika ku hold hadi faida itokee.

Hii dhana ya watu kutumia broker kwa kigezo cha kutoa pesa papo hapo sio uwekezaji wa faida.
Hui ni umachinga
 
mkuuu kila mtu na plan zake kwang mim naita financial freedom any timenatak pesa yang napata alaf Premature profits bcoz zinanisababisha nikuze akaunt bila shida.....Hiyo ni Laki na 160,000 ndani ya Dakika Kadhaaa I Love Premature Profits 😡😡😡😡
 
Hatimaye Tickmill nao wametukumbuka Watanzania.

Sasa tuta deposit/withdrawal kwa
M pesa
Airtel money
Tigo pesa.
 
Hatimaye Tickmill nao wametukumbuka Watanzania.

Sasa tuta deposit/withdrawal kwa
M pesa
Airtel money
Tigo pesa.
Safi sana sema bado ina kamchakato flani japo waliodeposit wanasema ilichukuwa lisaa tu
 
Safi sana sema bado ina kamchakato flani japo waliodeposit wanasema ilichukuwa lisaa tu
Leo ilikuwa majaribio, wanaanda dawati husika litakaloshughulikia DUSUPAY
 
Hatimaye Tickmill nao wametukumbuka Watanzania.

Sasa tuta deposit/withdrawal kwa
M pesa
Airtel money
Tigo pesa.
Mchakato Wa kudeposit bado haujawa rafik waboreshe, waweke km ule Wa templer
 
Hiki kitu nikekutana nacho tickmill, hawajaverify account yangu wiki ya pili sasa, niandike namba ya nyumba sijui ipi sasa maana mara ya kwanza nilijaza kila kitu, nashindwa hata kuedit, embu nisaidie kwa hili.
 
Hiki kitu templerfx wananikera sana, usiku spread ni kubwa niliopt kuwahama but broker wengine depositing huwa ni simple withdrawal ndoa kizungu mkuti
 
Mkuu kuhusu neteller nawezaje kuverify account yangu naweza ku2mia kitambulisho cha kura cz ndo ambacho ninacho sina passport lesen ya udeleva wala cha taifa.naomba kujua mkuu
 
Tickmill wana chaji 0.5 kwa kila position utakayo fungua... ila wana balance... kati ya sell na buy position... yaani hakuna gap kubwa kama ktk platform zingine... hasa templer wana interval kubwa sana kati ya buy/sell position....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…