Pamoja na kufoka koteeeeee umesema nini? Idiot.Ww hutakiwi kujiita at ulikuwa mvutaji sana wa sigara ww bado mwanafunzi kwanza unajua idadi kwa cku,Na hao ni madaktari wa kitanzania tuuu hawana uwezo wa kutafiti,et maji yanatibu huu ni uvivu wa kufikiri,Imo sana mtaani utasikia Nimeshauriwa na dk ninywe maji mengi et sita pata homa ovyo uwongo mtupu, tatizo la madaktar wetu hawatki kuumza kichwa kufikiria zaidi,Wasomi wengi wa kitanzania ni wavivu nashangaa hata hizo lenki za elimu sijui vigezo gani vinatumika,pumbavuuuuuuu
nimekuwa mvutaji mzuri wa sigara kwa muda wa miaka 8,nilikuwa navuta 5 mpaka 6 kwa siku. nilianza kama utani baada ya kuathiriwa na moshi wa wavutaji nami nikasema ngoja nijaribu, baadaye nikafanya kweli na kuwa mvutaji mzuri kuliko hata walionifundisha. sasa nina wilki 3 sijavuta na wala sitaki kunusa hata moshi wake.
nimekwenda hospitali kuangalia afya nimekuta nina afya nzuri pia nimeshauliwa niwe nakunywa maji ya uvugu vugu zaidi ya lita nne kwa siku.
na wewe kama ni mvutaji nakushauri kuanzia sasa acha.
vinavyokatazwa ndivyo vinavyopendwa.
uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako kama unavuta alafu huli chakula kinachoeleweka.
nimekuwa mvutaji mzuri wa sigara kwa muda wa miaka 8,nilikuwa navuta 5 mpaka 6 kwa siku. nilianza kama utani baada ya kuathiriwa na moshi wa wavutaji nami nikasema ngoja nijaribu, baadaye nikafanya kweli na kuwa mvutaji mzuri kuliko hata walionifundisha. sasa nina wilki 3 sijavuta na wala sitaki kunusa hata moshi wake.
nimekwenda hospitali kuangalia afya nimekuta nina afya nzuri pia nimeshauliwa niwe nakunywa maji ya uvugu vugu zaidi ya lita nne kwa siku.
na wewe kama ni mvutaji nakushauri kuanzia sasa acha.
vinavyokatazwa ndivyo vinavyopendwa.
uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako kama unavuta alafu huli chakula kinachoeleweka.
Kwa maana mioyo ya watu hawa imepumbaa, Na masikio yao ni mazito ya kusikia, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Na kusikia kwa masikio yao, Na kufahamu kwa mioyo yao, Na kubadili nia zao, nikawaponya.Bora umwambie huyo anadhan everything is done under Natural forces. ......I was bounded by a certain habit for 7 years nilijitahid kuacha Lakin wapi!!! But nilipoomba aaah Everything was done
Acha mambo ya ki**nge kama huipendi haya bana! Afu nashangaa huyo sholi anaona leo harufu ya mufeleWakuu nina zaidi ya miaka navuta sigara, nimejaribu kuacha lakini dah inaniwia ngumu mno, kibaya zaidi hadi ndoa haina raha kwa sababu ya masigara, natamani kuacha lakini nikiiona sm moyo unanilipuka naomba ushauri kwa waliofanikiwa kuacha walitumia mbinu gani? Manake ki ukweli nachukia kuvuta sigara lakini nashindwa.