Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. kata lips zako sinazo shikilia sigara, hivo hautaweza kuvuta kwa urahisi..Wapendwa Za Mchana.
Mwenzenu kijana wangu amejiingiza kwenye uraibu wa sigara. Kwanza nilikuwa nahisi baadae nimekuja kujua ni kweli. Tafadhali mwenye kujua dawa ili aache anifahamishe.
Ahsanteni
mkuu masikhara hayo,1. kata lips zako sinazo shikilia sigara, hivo hautaweza kuvuta kwa urahisi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Penda kunywa Chai ya rangi ya majani ya lebo ya kijani kila uhisipo kiu ya sigara wsiku 4-7 hutatamanivtena sigaraWapendwa Za Mchana.
Mwenzenu kijana wangu amejiingiza kwenye uraibu wa sigara. Kwanza nilikuwa nahisi baadae nimekuja kujua ni kweli. Tafadhali mwenye kujua dawa ili aache anifahamishe.
Ahsanteni
Acha kunikejeli Mkuu hii ni dunia leo kwangu kesho kwako.1. kata lips zako sinazo shikilia sigara, hivo hautaweza kuvuta kwa urahisi..
Sent using Jamii Forums mobile app
kwan kipindi unaanza kuvuta, yale maandish yaliyoandikwa tena kwa maandishi makubwa "UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO" hukuyaona!!?Acha kunikejeli Mkuu hii ni dunia leo kwangu kesho kwako.
kama aliivyo anza kiuzembe uzembe ndivyo ataacha hivyo hivyo kuvuta!!Wavuta sigara wakinyeshewa na mvua wananuka kama gari la taka.
Kama sigara tu unajishauri kuacha je unaweza kuacha punyeto?
Amekwambia kijana wake ndo anavuta1. kata lips zako sinazo shikilia sigara, hivo hautaweza kuvuta kwa urahisi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ni dhamira yake binafsi.Wapendwa Za Mchana.
Mwenzenu kijana wangu amejiingiza kwenye uraibu wa sigara. Kwanza nilikuwa nahisi baadae nimekuja kujua ni kweli.
Tafadhali mwenye kujua dawa ili aache anifahamishe.
Ahsanteni
Vijana wa siku hizi hatuelewi wala kusikia hadi majanga yatutokee, na hata kama mzee wa watu utajishughulisha kutafta tiba bado atendelea kuvuta, ila siku yakimkuta ndipo atataka tiba, subiri kwanza anyooke..Wapendwa Za Mchana.
Mwenzenu kijana wangu amejiingiza kwenye uraibu wa sigara. Kwanza nilikuwa nahisi baadae nimekuja kujua ni kweli.
Tafadhali mwenye kujua dawa ili aache anifahamishe.
Ahsanteni
Ni maombi tu.ndiy dawa toshaWapendwa Za Mchana.
Mwenzenu kijana wangu amejiingiza kwenye uraibu wa sigara. Kwanza nilikuwa nahisi baadae nimekuja kujua ni kweli.
Tafadhali mwenye kujua dawa ili aache anifahamishe.
Ahsanteni
Muelimishe madhara ya sigara ukiambatanisha na picha za madhara waliyopata wavuta sigara kama..saratani yakoo...saratani ya mapafu...wagonjwa wa kifua kikuu...nk... hapo atakuelewa...lakini kama ni wewe ndo unavuta alafu unasema mwanao...ujumbe utakuwa umekufikia
[emoji23] [emoji23]kama aliivyo anza kiuzembe uzembe ndivyo ataacha hivyo hivyo kuvuta!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakate tiketi ya "Fly Emirates" ukajilie burudani Paris Ufaransa leo hii hii maana umenikosha sana kwa hoja zako za nguvu Chifu.Wavuta sigara wakinyeshewa na mvua wananuka kama gari la taka.
Kama sigara tu unajishauri kuacha je unaweza kuacha punyeto?