Jinsi ya kuagiza bidhaa Ali Express

Jinsi ya kuagiza bidhaa Ali Express

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Nimeona simu nzuri AliExpress za Xiaomi wanauza nimevutiwa kuzinunua maana bei ni rhisi kiasi naomba mwenye uelewa wa jinsi ya kuzinunua na kuzipata nikiwa Tanzania.
Je vipi ubora wake?

Je zinafika salama au unaweza kubadilishiwa na kuwekewa mzigo feki?
 
Je vipi ubora wake?
Kuhusu ubora pitia huu mjadala hapa:
> XIAOMI PHONE: Watumiaji na wapenzi wa simu aina ya xiaomi njoeni hapa xiaomi zote zipo hapa zinauzwa mpyaaa sealed
> Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Je zinafika salama
Ndio zinafika salama.

Wengi wameagiza kupitia huu uzi: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
1576313493997.png

Moja kati ya order nyingi za Xiaomi
....kuzipata nikiwa Tanzania.
Iwapo upo Dar utakuja kuchukua ofisini, na iwapo upo mkoani utatumiwa kwa EMS - Gharama ya ems ni TZS. 20,000 na utapokea simu ndani ya siku 2 mahala popote Tanzania
unaweza kubadilishiwa na kuwekewa mzigo feki?
Hapana, hakuna huu mchezo.
Pia kumbuka una siku 180 za kudai fidia iwapo bidhaa uliyotumiwa hailingani na bidhaa uliyopokea. Zipo taratibu za kumlinda mteja.
Hivyo kuwa huru kufanya order, na bidhaa yako itakufikia.
 
Nenda kweny uzi wa xiaomi mkuu utajua kila kitu kuanzia ubora wa simu hadi jinsi ya kuagiza mwenyew


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu ubora pitia huu mjadala hapa:
> XIAOMI PHONE: Watumiaji na wapenzi wa simu aina ya xiaomi njoeni hapa xiaomi zote zipo hapa zinauzwa mpyaaa sealed
> Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja


Ndio zinafika salama.

Wengi wameagiza kupitia huu uzi: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
View attachment 1292071
Moja kati ya order nyingi za Xiaomi

Iwapo upo Dar utakuja kuchukua ofisini, na iwapo upo mkoani utatumiwa kwa EMS - Gharama ya ems ni TZS. 20,000 na utapokea simu ndani ya siku 2 mahala popote Tanzania

Hapana, hakuna huu mchezo.
Pia kumbuka una siku 180 za kudai fidia iwapo bidhaa uliyotumiwa hailingani na bidhaa uliyopokea. Zipo taratibu za kumlinda mteja.
Hivyo kuwa huru kufanya order, na bidhaa yako itakufikia.
Nashkuru sana mkuu uzi huu umenipa mwanga sana!
 
xiaomi inakuta unainunua Aliexpress inakuja bongo inakuwa locked.. ad tena ununue pin zao
 
Back
Top Bottom