Jinsi ya kuagiza bidhaa kutoka nje.

Joined
Feb 20, 2018
Posts
28
Reaction score
14
Wakuu natumaini nyinyi yote mpo salama. Nahitaji kujua je nikiagiza bidhaa kwa kutumia kampuni ya aliexpress nitazipata wapi bidhaa zangu kwa hapa tanzania na vipi kuhusu kodi!? . ningeomba mtu ambaye ashawahi kufanya anisaidie kwa mfano dhahiri tafadhali.
 
muone mwl RCT ndio mtaalamu, na anaeaminika humu JF, mimi mwenyewe ashanisaidia sana
 
Una arrange Na kampuni yako ya logistics wao watafanya shughuli zote za kuhakikisha mzigo unasafiri hadi unakufikia
 
ningeomba mtu ambaye ashawahi kufanya anisaidie kwa mfano dhahiri tafadhali.
Thread husika ni hii: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Nahitaji kujua je nikiagiza bidhaa kwa kutumia kampuni ya aliexpress nitazipata wapi bidhaa zangu kwa hapa tanzania
  • (a) Utapoke kupitia anwani uliyoweka kabla ya kufanya manunuzi.
  • (b) Utaletewa au utatumiwa mahala ulipo iwapo utatumia huduma yangu ya BUY4ME

vipi kuhusu kodi!?
Sio kila bidhaa ina kodi. Hivyo swala la kodi/ vat hutegemea ni
- Ni bidhaa gani umagiza
- Ukubwa wa huo mzigo ulio agiza
- Njia ya usafirishaji iliyotumika

whatsapp: 0784 496 856, JF Thread: www.bit.ly/101buy4me

Karibu
 
Asante. Ila mkuu unamaanisha nini unaposema post unayoweka wakati ukichagua bidhaa unamaanisha ni sehemu au eneo unapotaka mzigo ushukie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…