Wadamu mnaomiliki mikoko hii ni muhimu.
Wiki iliyopita nilipita zangu kariakoo nikatafuta maegesho weee nikakosa mitaa yote ya shimoni. kwa bahati nikabahatisha private paking moja hivi nikawasha hazadi nikaegesha nikaingia dukani chini ya dakika tano nikawanimeshalipia ninachotaka nikapata na kutoka.
Kufika nje tu nikakutana na msichana mmoja mrembo amevalia kikoti cha njano na mistari ya kung'aa anaskani plate namba za gari yangu.
Nikamuacha amalize kazi yake, kisha nika muuliza ninalipaje sasa?
Akaniambia tafuta control namba ukalipe kabla ya siku saba.
Nikashangaa nikatafute wapi? nikamuomba aniprintie ili nilipe akasema "netweki" inazingua, kwa hiyo nijiongeze kwababu ameshaingiza gari langu kwenye mfumo wa TARURA. Na nisipolipa mapema itaongezeka mpaka 30,000/=.
Ikabidi nimuulize vizuri jinsi ya kuangalia.
Akaniambia niingie kwenye simu yangu nipige nambatarura - *152*00# kisha 4
Wiki iliyopita nilipita zangu kariakoo nikatafuta maegesho weee nikakosa mitaa yote ya shimoni. kwa bahati nikabahatisha private paking moja hivi nikawasha hazadi nikaegesha nikaingia dukani chini ya dakika tano nikawanimeshalipia ninachotaka nikapata na kutoka.
Kufika nje tu nikakutana na msichana mmoja mrembo amevalia kikoti cha njano na mistari ya kung'aa anaskani plate namba za gari yangu.
Nikamuacha amalize kazi yake, kisha nika muuliza ninalipaje sasa?
Akaniambia tafuta control namba ukalipe kabla ya siku saba.
Nikashangaa nikatafute wapi? nikamuomba aniprintie ili nilipe akasema "netweki" inazingua, kwa hiyo nijiongeze kwababu ameshaingiza gari langu kwenye mfumo wa TARURA. Na nisipolipa mapema itaongezeka mpaka 30,000/=.
Ikabidi nimuulize vizuri jinsi ya kuangalia.
Akaniambia niingie kwenye simu yangu nipige nambatarura - *152*00# kisha 4