Jinsi ya kuanzisha Zahanati

Jinsi ya kuanzisha Zahanati

Northpal

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
329
Reaction score
295
Habari jamani? Mimi naomba kujuzwa na yeyote anayejua ni vigezo gani na hatua za kupitia ili kuanzisha Zahanati au kituo cha afya.

Asanteni.
 
Kwanza uwe na jengo, kwa dispensary vyumba visiwe chini ya NANE, na kituo cha afya si chini ya 15. Liwe painted vizuri ndani na nje. Uwe na incinerator, maji umeme. Kwa maelezo Zaid ni pm nikutumie mwongozo nahisi ninao soft copy. Ila hard copy ninao pia
 
Kwanza uwe na jengo, kwa dispensary vyumba visiwe chini ya NANE, na kituo cha afya si chini ya 15. Liwe painted vizuri ndani na nje. Uwe na incinerator, maji umeme. Kwa maelezo Zaid ni pm nikutumie mwongozo nahisi ninao soft copy. Ila hard copy ninao pia
Mi nataka mkuu naomba unitumie
 
Kwanza uwe na jengo, kwa dispensary vyumba visiwe chini ya NANE, na kituo cha afya si chini ya 15. Liwe painted vizuri ndani na nje. Uwe na incinerator, maji umeme. Kwa maelezo Zaid ni pm nikutumie mwongozo nahisi ninao soft copy. Ila hard copy ninao pia
Mkuu nimeku PM. Nami naomba huo muongozo.
 
Kwanza uwe na jengo, kwa dispensary vyumba visiwe chini ya NANE, na kituo cha afya si chini ya 15. Liwe painted vizuri ndani na nje. Uwe na incinerator, maji umeme. Kwa maelezo Zaid ni pm nikutumie mwongozo nahisi ninao soft copy. Ila hard copy ninao pia
Mkuu naomba soft copy
 
Msaada; anayefahamu au aliye na muongozo wa namna ya kufungua/kuanzisha zahanati(dispensary) anisaidie tafadhali.
 
Kwanza uwe na jengo, kwa dispensary vyumba visiwe chini ya NANE, na kituo cha afya si chini ya 15. Liwe painted vizuri ndani na nje. Uwe na incinerator, maji umeme. Kwa maelezo Zaid ni pm nikutumie mwongozo nahisi ninao soft copy. Ila hard copy ninao pia
Habari kaka, mzima wewe...samahan naomba mwongozo wa kfungua dispensary kama unao asantr.
0752061196
 
Kwanza uwe na jengo, kwa dispensary vyumba visiwe chini ya NANE, na kituo cha afya si chini ya 15. Liwe painted vizuri ndani na nje. Uwe na incinerator, maji umeme. Kwa maelezo Zaid ni pm nikutumie mwongozo nahisi ninao soft copy. Ila hard copy ninao pia
Mkuu naweza kuipata softcopy kupitia Barua pepe?
 
Kwanza uwe na jengo, kwa dispensary vyumba visiwe chini ya NANE, na kituo cha afya si chini ya 15. Liwe painted vizuri ndani na nje. Uwe na incinerator, maji umeme. Kwa maelezo Zaid ni pm nikutumie mwongozo nahisi ninao soft copy. Ila hard copy ninao pia
Habari mkuu naomba huo mwongozo unisaidie maana nauhitaji sana.nitumie kwenye no:0753917140 whatssap
 
Back
Top Bottom