Jinsi ya kubana matumizi kwenye budget ya chakula

Mgahawani utakula useless rubbish, nilifanya hilo kosa some years back kwa miaka 2, sitamshauri mtu kufanya upuuzi kama wangu. Pika mwenyewe
 
Ukifika kunabaki na kesho kununua unakula hapo hapo
 
Likija swala la chakula napenda pika mwenyewe na hata anayepika lazima tu nitampa standard zangu maana wadada wa kazi wengi wachafu. Anaweza toka chooni hanawi mikono.
Hata nikibaki mwenyewe huwa napendelea kupika kuliko kununua na swala zima ni usafi wa chakula.

Vyombo huwa natumia hadi viishe vyote ndo naviosha
 
Bana matumizi kote ila sio kwenye kula (kama unakula kwa afya na sio starehe), kwa upande wa gharama hata kama uko peke yako maisha standard ya jiko la gas, rice cooker na kitchen appliances nyingine kama hizo, kujipikia ni nafuu kuliko kununua mgahawani. Hapo nimetumia uzoefu wangu mwenyewe kuna mwezi sikupika hata mara moja nilitumia gharama kubwa nikilinganisha na mwezi ambao nilikuea napika pika japo sio kila siku. Ila kama unavifaa kama Oven au vingine vya kisasa vya umeme utaona kupika ni gharama kuliko kununua nje.

Pia inategemea unapika mara ngapi kwa siku, mfano mimi sijawahi pika zaidi ya mara moja kwa siku, na kama ni siku ambayo nitashida home basi huwa napika chakula cha kula hata mara 2 au siku nzima (nikupasha tu).
Ila kama mtu unapika mara 2 au 3 kwa siku , gharama yake ni kubwa kuliko kula mgahawani.

Angalia usiutese mwili kisa gharama, hakuna sababu ya kutafuta hela kama hauzitumii ipasavyo kwenye kula vizuri.
 
Pika mkuu...
 
Mkuuu mbona una Swagga za Kihaya saaaana au Nduggu yake KidukuLiii
 
According to my experience kupika inaweza kuwa ni gharama zaidi au gharama sawa na kula mgahawani japo inategemeana na mahala husika kwa mfano kwa mkoa wa Mbeya kula mgahawani no gharama nafuu Mara mbili zaidi ya kupika wali maharage buku,wali nyama,samaki buku jero chips 700,800 mpaka 1000 wali wa buku kwa mtoto was dar lonya lonya unawez kubakisha
 
Mbeya sehem gani ndugu yangu maana mhhhhh ulicho kiandika sio Kweli
 
Kupika mwenyewe inapunguza gharama.Kama unayo fridge na microwave unaweza kuwa unapika chakula cha siku 3 mpaka wiki moja,unaweka kwenye fridge unabakia kupasha tu.
 
Mimi huwa sijali napoteza pesa kiasi gani niliaacha kupika kitambo sana baada ya kuona napoteza muda, muda huo wa kuanza kupika ningefanya mishe ngapi za muhimu zaidi ya kupika.
Kwasasa jukumu la kupika nimewaachia wenye migahawa nakula nitakacho kwa muda wowote nitakao siitaji themosi wala hotpot pia na kuoshaosha vyombo.

Kama ni wewe ni ME achana habari za kupikapika labda kwa dharula sana sikuhiyo upo home umepumzika.

Ukipika mwenyewe bila kujinana sana itakosti kwa wastani sh.2000 kwa siku jumlisha muda uliopoteza.
Ukinunua chakula kwa siku itagharimu sh.4500 bila upotevu wa muda.
 
Wewe ni foodie au ni food monger πŸ˜‚πŸƒ
 
Una open plan living room? Still AC haiwezi kusumbuliwa na jiko. Kibongobongo jiko na living room ni vyumba viwili tofauti. Kuna hood inanyonya harufu na ukungu utokanayo na kupika,inafungwa juu ya jiko.
 
Una open plan living room? Still AC haiwezi kusumbuliwa na jiko. Kibongobongo jiko na living room no vyumba viwili tofauti. Kuna hood inanyonya harufu na ukungu utokanayo na kupika,inafungwa juu ya jiko.
Ningekuwa nimejenga yes, but hapa kwa mwenye nyumba I have to use what is in my disposal. I just have a big living room.
 
Una open plan living room? Still AC haiwezi kusumbuliwa na jiko. Kibongobongo jiko na living room no vyumba viwili tofauti. Kuna hood inanyonya harufu na ukungu utokanayo na kupika,inafungwa juu ya jiko.


Midlif Krisis wewe unajua kupika?

Shamooo hehehheheee.
 

Basi tubadilishe, achana na mabungo na sanvita...

Nataka kuonja pishi lako tafadhali, na midlif krisis itaisha eehehehee. Ila isiwe chai tafadhali maana si mpenzi wa chai hata, nikiinywa ujue ni detox.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…