Jinsi ya kubana matumizi kwenye budget ya chakula

Jinsi ya kubana matumizi kwenye budget ya chakula

Alright, it's just an advice.....Umenisikitisha tu uliposifia ubonge wako kama vile ni fahari kwako...but i've no bad intention.
Unsolicited advice. Ndo maana nikakuuliza what your problem is. Kama hamna, please relax.

Haina tofauti na kukuta mtu anafurahia kula ugali
maharagwe wake we unazuka huko from no where kusema tafuta hela acha kujisifia kula vyakula vya kimaskini.

Unahisi we ndo wa kwanza? Save your energy.
 
Unsolicited advice. Ndo maana nikakuuliza what your problem is. Kama hamna, please relax.

Haina tofauti na kukuta mtu anafurahia kula ugali
maharagwe wake we unazuka huko from no where kusema tafuta hela acha kujisifia kula vyakula vya kimaskini.

Unahisi we ndo wa kwanza? Save your energy.
Alright! I've got u big man.
 
Binafsi sijawahi kufikiria kubana matumizi kwenye kula...huwa nina kamsemo kangu

Kama kula nako nabana matumizi nafanya nini sasa inamaana kuna tatizo mahali[haina maana ninapata kingi] .....nilipokuwa naishi mwenyewe nikipatacho kwa mwezi naingia shopping nanunua hadi bajeti yangu ya chakula inakamilika.

Baada ya hapo ndiyo naanza mambo mengine... cha ajabu sio kibonge wala.
Mkuu usijali. Kwa style hiyo utakuwa tu bonge, Amen. [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Wakuu habari zenu.Nimekuwa nikijiuliza na kupiga mahesabu ya kubana matumizi hususan katika suala la chakula kutokana na hali ya uchumi ya sasa ilivyo.Ningependa kufahamu kutoka kwa wale wenzangu na mimi ambao wapo single.Hivi kati ya kununua vyakula migahawani (wastani sahani 2000/=) au kujipikia mwenyewe kipi ni bora?
Ungana nami jikoni, hutojuta kujipimia utakavyo

 
It depends. Hakuna lililo bora.

Mi ni bachelor. Self employed. Nafanya kazi from home na inapobidi naenda site kwa client. Ila muda mwingi niko nyumbani.

Kwangu hakuna jiko hata la kuchemshia maji. Hizi ni sababu zangu, na zinaweza zisifanane na zako.

1. Nina kazi nyingi za kufanya. Kuandaa, kupika, post clean up itanichukua si chini ya masaa 6 kwa siku. Time better spent working.

2. Kuweka jiko, store ya vyakula na viungo kutaharibu the overall aesthetic ya my place. Kumbuka ni home office - air conditioned, electronics kibao. Upepo wa mzungu hauendani na harufu ya vitunguu

3. Vyakula ninavyopendelea kula sio optimal kupikia nyumbani. Nyamachoma, uta grill kila siku?

4. Sina hobby ya kupika. Sina hii talanta, siko creative jikoni. Najua kupika just the basics for survival.

5. Kula nje kunanipa variety. Naweza kula hata vitu nisivyoweza kupika. Najiuliza tu leo nile nini kisha natafuta sehemu kinapouzwa.

6. Nina usafiri binafsi unaoniwezesha kwenda kula popote haraka sana. Siko locked to a single provider. Always nabadilisha sehemu ninapokula ili kubadilisha ladha na kutafuta the best.

Kwa upande wa gharama nadhani what you want to eat matters more kuliko whether you cook or buy. Mimi ni foodie. My expenses za msosi zinarange katiya 200k - 350k a month.
yaan we jamaa nimekuelewa sana ...nashangaa mtu anaesema kupika ni kuokoa gharama huwa sielewi kabisa labda kama una familia

mm binafsi hata kukata kata nyanya sjui vtunguu spend kabisa yaan nkishaanza kugusa gusa vyombo na masufuria mood huwa inabadilika kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shukrani..jitahidi uwaze saana waza ndoto kubwa usizoweza kuzitimiza, tafuta mwanamke unayempenda ila yeye hakupendi fanya mazoezi.

Hapo week mbili nyingi utashuka kama gunia la cement site.
 
Wakuu habari zenu.Nimekuwa nikijiuliza na kupiga mahesabu ya kubana matumizi hususan katika suala la chakula kutokana na hali ya uchumi ya sasa ilivyo.Ningependa kufahamu kutoka kwa wale wenzangu na mimi ambao wapo single.Hivi kati ya kununua vyakula migahawani (wastani sahani 2000/=) au kujipikia mwenyewe kipi ni bora?
ukishindwa kubalance vizuri kwenye chakula your will die poor
 
Tuko sawa kote kasoro hapo kwenye ubonge.
Mimi ni bonge haswa. Nyinyi mnaoweza kula bila kunenepa hongereni.
. Ubonge ni zao la kula sana na kutofanya kazi za nguvu au mazoezi. Matokeo ya mbele ni presha, kisukari nk.
 
Vibonge karibu wote ukiwaambia umenenepa kweli huwa wanajibu mwili mwepesi...nimetoka kumuuliza mshkaji wangu juzi. Naogopa kuunyemelea uzee na ubonge that' s all.

But, at the end of the day if you feel comfortable with your body, good for you men..
huwa tunatafuta comfort zone lakini tusikudanganye ingekuwa tunaenda sehemu tunapungua mara moja tena bila mateso haraka tungekimbilia.
huu mwili ni mziko kwa kweli ushukuru MWENYEZI MUNGU akuepushe na magonjwa vinginevyo ni shida mno.
 
Alright, it's just an advice.....Umenisikitisha tu uliposifia ubonge wako kama vile ni fahari kwako...but i've no bad intention.
hajakasirika ndugu uliongea vizuri wala usihofu. watu wanene hawana hasira ila wanahitaji lugha kama hizo ziwatie hasira ya kuondoa mafuta mwilini mwao.
 
Binafsi sijawahi kufikiria kubana matumizi kwenye kula...huwa nina kamsemo kangu

Kama kula nako nabana matumizi nafanya nini sasa inamaana kuna tatizo mahali[haina maana ninapata kingi] .....nilipokuwa naishi mwenyewe nikipatacho kwa mwezi naingia shopping nanunua hadi bajeti yangu ya chakula inakamilika.

Baada ya hapo ndiyo naanza mambo mengine... cha ajabu sio kibonge wala.
Mwili hauna shukrani huo
 
huwa tunatafuta comfort zone lakini tusikudanganye ingekuwa tunaenda sehemu tunapungua mara moja tena bila mateso haraka tungekimbilia.
huu mwili ni mziko kwa kweli ushukuru MWENYEZI MUNGU akuepushe na magonjwa vinginevyo ni shida mno.
Haswa.
 
Back
Top Bottom