Jinsi ya kuchagua machungwa

Jinsi ya kuchagua machungwa

Mcqueenen

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,843
Reaction score
11,702
Leo ngoja nikupe hii siri.
Maana inakera pale umeshachagua chungwa lako tena la kudumu nalo halafu baada ya kulimenya unakuta halina maji, kavu au sio tamu yani ladhaless.

Ukitaka kupata chungwa tamu.
Usiangalie kwa nje lenye sura nzuri.
Angalia lile chungwa bayabaya ambalo kama lina mabaka mabaka yani kuna sehemu lina weusi na kuna sehemu la njano.(weusi halisia/natural sio ule wa kuoza)
We hakikisha halijaoza na angalia kama limeiva vizuri.

Yale machungwa mabaya mabaya kwa muonekano wa nje huwa matamu sana.
 
Leo ngoja nikupe hii siri.
Maana inakera pale umeshachagua chungwa lako tena la kudumu nalo halafu baada ya kulimenya unakuta halina maji, kavu au sio tamu yani ladhaless.

Ukitaka kupata chungwa tamu.
Usiangalie kwa nje lenye sura nzuri.
Angalia lile chungwa bayabaya ambalo kama lina mabaka mabaka yani kuna sehemu lina weusi na kuna sehemu la njano.(weusi halisia/natural sio ule wa kuoza)
We hakikisha halijaoza na angalia kama limeiva vizuri.

Yale machungwa mabaya mabaya kwa muonekano wa nje huwa matamu sana.
🤔🤔🤔 hata ndizi ukikuta zile za njano achana nazo chagua zile ambazo nyeusi nyeusi kabisa
 
Hakuna chungwa ambalo ni Zuri Sana kwa nje alafu ndani unakuta nako tamu haswaaa?

Mleta uzi hujawahi kutana chungwa La hivi?
Machache sanaaa...kwahyo kuwa safe tembea na hiyo kanuni
 
Najua sitakuwa mwenyewe nilieanza kuwaza na kutafsiri chungwa kama mwanamke kabla sijamaliza kusoma uzi [emoji23]

Hata mwanamke mwenye sura mbayambaya ni wanakua watamu sana kitandani, wale wazuri usithubutu wanakua wavivu na hawana ladha kabisa na wametumika mno
 
Raha ya chungwa liwe la kijani sana usidanganywe la njano ndio tamu shauri yako!
 
Nilipoona tu chungwa la kudumu nikashtuka tena la kudumu wakati yanaliwa😃😃
 
Back
Top Bottom