Jinsi ya kuchagua machungwa

Jinsi ya kuchagua machungwa

Leo ngoja nikupe hii siri.
Maana inakera pale umeshachagua chungwa lako tena la kudumu nalo halafu baada ya kulimenya unakuta halina maji, kavu au sio tamu yani ladhaless.

Ukitaka kupata chungwa tamu.
Usiangalie kwa nje lenye sura nzuri.
Angalia lile chungwa bayabaya ambalo kama lina mabaka mabaka yani kuna sehemu lina weusi na kuna sehemu la njano.(weusi halisia/natural sio ule wa kuoza)
We hakikisha halijaoza na angalia kama limeiva vizuri.

Yale machungwa mabaya mabaya kwa muonekano wa nje huwa matamu sana.
Wafanyabiashara wanafanya ulaghai sanaa machungwa wanayapiga moto siku hizi kma ndizi
Mzee alienda sokoni akaona machungwa mazurii akanunua heheheeee kumbe bhna chungwa kali hilo ndo akanambia hiyo siri ya wauza machungwa wa siku hizi

Saivi tunasubiri machungwa yakomae shambani kwetu tukachume huko kuliko kuuziwa machungwa machanga yalopigwa moto
 
Kumbe chungwa kalimenya utadhani chenza,mi binafsi napenda chenza [emoji16][emoji38]
 
Kiswahili ni pijini iliyokomaa[emoji28]
Chungwa km chungwa!
 
Uzi mzuri sana wenye madini ya kutosha

Tunaomba next threads utupe elimu ya kuchagua parachichi lisilooza
Baada ya parachichi lisiloooza embe lenye funza ndani tafwadhari..
 
Back
Top Bottom