Jinsi ya kuenjoy JF

umaarufu hautafutwi unakujaga auto kulingana na kazi yako, nakuhakikishia MziziMkavu akipost uzi wake mmoja thamani yake ni sawa na thread zako za mwezi mzima kijana
Nimekwambia nahitaji umaarufu ? Mimi underground sijafikia levo hizo...Mimi nipo km Mimi na sihitaji "kubebwa" wala kulinganishwa na mtu
 
Heee...hivi mtu kabisa anauwaza/ kupenda kuwa supastar JF?!? halafu eti unakuta bichwa hiloo mi hata "the so called" bongo cerebrities nawaonaga uchwara tu!.....sembuse JF!
 
Heee...hivi mtu kabisa anauwaza/ kupenda kuwa supastar JF?!? halafu eti unakuta bichwa hiloo mi hata "the so called" bongo cerebrities nawaonaga uchwara tu!.....sembuse JF!
Hujaelewa ujumbe......umekurupuka kuleta rundo la maneno !!!
Sio kosa lako kaoge kwanza ndo utaweza kuelewa....
 
Yaani kuifurahia JF kwa kuishi vizuri/kuwa peace na kila member ili kuepuka kupata stress zisizo na ulazima !!!!!!
Sasa kusipokuwa na mitifuano ya hapa na pale cpatakua kama church.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…