Dokta Chriss
Senior Member
- Dec 27, 2014
- 104
- 82
Haswaaa[emoji108] [emoji108]Ndo maana sijawahi pigwa BAN
Wengi wao ni wageni....kwahiyo usiwalaumu ht me nilianzaga hivyo kwa kukosea jukwaaNa wale wa kutojua utofauti imekaaje mfano mtu anaandika uzi unaohusu vichekesho katika jukwaa la lugha/siasa
Sawa Mkuu ila pia elimu ichukue nafasi yake juu yaoWengi wao ni wageni....kwahiyo usiwalaumu ht me nilianzaga hivyo kwa kukosea jukwaa
ila kuna kundi la wanaofanya kusudi sababu wanajua watapata views nyingi kabla uzi haujahamishwa mfano wengi huweka habari na hoja mchanganyiko au MMU badala ya chit chat....kwahiyo ni mbinu tu
Ni akina miss chagga labda!kumbe kuna member maarufu huku ?
Basi sawaNi akina miss chagga labda!