Jinsi ya kuepuka mwanamke asipate ujauzito

Huwa wanaogopa illegularities,
 
Elim y uzaz w mpango inabidi ihusike jamaniii
Watu wa afya wanafanya kazi gani?
Raia wanaogopa kwamba mimba zinaweza kuja kukataa badae. Yani mwili ukishazoe binafsi nataka nimtie njiti wakwangu, naskia ikogi poa!
 
Kavu tamu lakini jiandae Tu kuwa baba ila kuna wanawake wanajua kuzihesabu yani anakwambia mwaga Tu ndani kama huwez vaa Tu condom
 
Yani nyie wanaume hamna Huruma, hutaki kumuoa ila papuchi unataka. Ukija kwenye suala la uzazi wa mpango kijiti hata wanaume wanaweza kuiweka, kaweke wewe mwenye shida
 
Yani nyie wanaume hamna Huruma, hutaki kumuoa ila papuchi unataka. Ukija kwenye suala la uzazi wa mpango kijiti hata wanaume wanaweza kuiweka, kaweke wewe mwenye shida
[emoji23] [emoji23] sex ingekua ni uzima wa milele wanaume wengi wangeupata huo uzima....
 
Yani nyie wanaume hamna Huruma, hutaki kumuoa ila papuchi unataka. Ukija kwenye suala la uzazi wa mpango kijiti hata wanaume wanaweza kuiweka, kaweke wewe mwenye shida
Ukiona hataki kukuoa achana nae nyie munaokaa na jamaa zenu 5 yrs kukuoa hakuoi nikija kuleta barua unakataaa katu katu je tusemeje?
 
Tatizo uzazi wa mpango una madhara

Na inashauriwa zitumike njia za uzazi wa mpango baada ya kuwa tayari una watoto na unahitaji kufanya spacing kwa miaka kadhaa mfano miaka mitano n.k.

Ila sio Kabla kuwa na motto japo mmoja.
 
Yani nyie wanaume hamna Huruma, hutaki kumuoa ila papuchi unataka. Ukija kwenye suala la uzazi wa mpango kijiti hata wanaume wanaweza kuiweka, kaweke wewe mwenye shida
Hata kwa mtutu siwez weka kijiti.
 
Raia wanaogopa kwamba mimba zinaweza kuja kukataa badae. Yani mwili ukishazoe binafsi nataka nimtie njiti wakwangu, naskia ikogi poa!
hichi kijiti kilivyomfanya shosti yangu sina hamu nacho,
alikua ananenepa tumbo tu,
mara akaanza kupata period zisizoeleweka.
Mwisho akaenda kutoa,
sasa hivi ni mzima na kitambi kimepungua.
 
hichi kijiti kilivyomfanya shosti yangu sina hamu nacho,
alikua ananenepa tumbo tu,
mara akaanza kupata period zisizoeleweka.
Mwisho akaenda kutoa,
sasa hivi ni mzima na kitambi kimepungua.
Duh kwa hiyo hicho nacho ni majanga eeh
 
Hahahahahha broo hii hatari aiseeeeeee dooh
 
Mkuu ulichoelezea ndo kilichomtokea demu wangu. Mpaka sasa haniamini anasema nilimwaga ndani wakati mi ni king wa withdraw. Najaribu kumuelezea haelewi aseee though miaka mingi huwa tunatumia njia hii na anakua safe.
Na offcourse yupo na papuchi ndogo sana hadi raha yaani.
 
Acha uasharati kijana oa. Au mlete nimfunge dawa ya kimasai kiunoni, ana vaa kama shanga wakati wa tendo , mkisha maliza anaweza vua tu.
Ni njia salama Zaidi.
 
Acha uasharati kijana oa. Au mlete nimfunge dawa ya kimasai kiunoni, ana vaa kama shanga wakati wa tendo , mkisha maliza anaweza vua tu.
Ni njia salama Zaidi.
Unapatikana wapi nimlete?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…