Jinsi ya kuepuka mwanamke asipate ujauzito

Jinsi ya kuepuka mwanamke asipate ujauzito

Ndugu wana JF Doctor amani na iwe kwenu, mimi ni kijina mwenye umri wa miaka 27, nina tatizo moja, nikitumia condom katika mambo yetu, jamaa angu anakuwa weak na kukosa hamu kabisa na kulala usiku kucha. Binti nimepima naye tupo safi ila sasa anaogopa kugegedwa hivo hivo kwa kuhofia kubeba ujauzito,
na mazingira yanakuwa yanatukutanisha akiwa siku za hatari, je,,, nikifanya nae bila kutumia kinga na akawa kwenye siku hatari, tutafanyaje ili fertilization istake place? Je kuna dawa ya kuzuia mimba isitungishwe tofauti na uzazi wa mpango?
Naombeni kusaidiwa, kwa alienielewa anisaidie tafadhali....!!
anza kuhesabu siku ya tisa baada ya hedhi stop kukojolea ndani mwiko kama unaweza kumwaga nje sawa hadi siku ya 17 unaendelea tena hadi ukiona wageni
 
anza kuhesabu siku ya tisa baada ya hedhi stop kukojolea ndani mwiko kama unaweza kumwaga nje sawa hadi siku ya 17 unaendelea tena hadi ukiona wageni
Je ikitokea nmekojolea siku ya 14 na ikatakiwa vimezwe vidonge vya dhalula vya kuzuia mimba isitungwe panawezekana? If yes, ni dawa gani hizo.?
 
Fanya withdrawal mkuu, ni njia ilio safe kuliko zote pia haina madhara ingawa itahitaji uwe na nidhamu ya hali ya juu na kumasta mzunguko wako vyema!
Hahaaaa!!!! Hiyo inaitwa coitus interruption,ina hatari pia,cause ukisha ejaculate lazima kuna sperms zitabaki kwenye penis hata kama ulimwagia nje,so zile sperms zitaingia tu kwenye uzazi wa mwanamke pasipo wew kujua,pale utakapokua unatafuta bao jingine na hii ni rahisi zaid kwa wanawake wenye uke mdogo ambao utasababisha zile sperms ziwe squeezed
 
Kila baada ya tendo, binti anywe maji ya baridi lita moja, hivyo kabla ya tendo hakikisha una lita moja ya maji bariidi, baada tu ya kumaliza tendo, binti aanze kunywa maji! Mimba utazisikia radioni, hii ni njia ambayo nilifundishwa na mtaalamu wa tiba asili, jaribu harafu utuletee mrejesho.
kwa mawazo ya chap chap ni wawe na show karibu na deepfrizer au waweke chupa ya maji lita moja igande ndo waanze show hatari sana.. ntaifanya hyo mkuu
 
Kuna mmoja nimewahi kumuona anameza panaldo baada ya sex ili kuzuia mimba, sijawahi kujua kama inasaidia kweli labda wataalamu watueleweshe.
Yaa inasaidia lakini itabid unywe dose kubwa soon after sex
 
Hahaaaa!!!! Hiyo inaitwa coitus interruption,ina hatari pia,cause ukisha ejaculate lazima kuna sperms zitabaki kwenye penis hata kama ulimwagia nje,so zile sperms zitaingia tu kwenye uzazi wa mwanamke pasipo wew kujua,pale utakapokua unatafuta bao jingine na hii ni rahisi zaid kwa wanawake wenye uke mdogo ambao utasababisha zile sperms ziwe squeezed
sina uhakika kuna mtu aliniambia hivi ukiwa unapga show b4 unakata lina moja ya maji ukipga bao kwa sababu ya purukushani ukipumzika hata dakika mbili kojo litakubana au ujitahidi ukishapga bao ukojoe unazisafisha zile mbegu zilizobakia then unaendeleza party two kama cd za bongo movies
 
Hamtokuwa na hofu ya mimba wala haja ya condom
Sio dawa hii. Hata kwenye ndoa kuna nyakati huwa tunahangaika kukwepa utungaji wa mimba!😀😀😀

Jirani yangu ilifika mahala mpaka wazee wake ikabidi wamweke kitako....maana alikuwa anafyatua watoto utadhani katumwa na JPM! Nahisi kuna watoto walikuwa wanapishana miezi kumi au kumi na moja. Hatari sana!
 
KAMWE USITUMIE MADAWA NI MABAYA SANA,IPO NJIA MOJA TU YA KUZUIA MIMBA UNAPOTAKA KUPGA BAO UJITOE LIMWAGIKIE NJE HIYO NDIYO NJIA SAFI NA SALAMA
 
Hahaaaa!!!! Hiyo inaitwa coitus interruption,ina hatari pia,cause ukisha ejaculate lazima kuna sperms zitabaki kwenye penis hata kama ulimwagia nje,so zile sperms zitaingia tu kwenye uzazi wa mwanamke pasipo wew kujua,pale utakapokua unatafuta bao jingine na hii ni rahisi zaid kwa wanawake wenye uke mdogo ambao utasababisha zile sperms ziwe squeezed
Hahahahah but hilo lina trick yake mkuu, huwa tunatakiwa tutafte mkojo kwa namna yeyote ile kabla ya kuendeleza libeneke. Ile husaidia kuondoa mabaki yaliopo katika njia.
 
If you think withdrawal works, ask my five month pregnant girlfriend. In the end of the day mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa katika haya mambo... Ukienda peku anaweza akakutegeshea mimba bila ridhaa yako...
Hahahahah pole mkuu, haikuwa zali labda.
 
Postinor sio njia ya kudumu ya ku control mimba. Itafanya kazi kwa muda ila ikishazoea mwili huwa inatabia ya kukataa. Na pia inavuruga mzunguko wa mtoto wa kike vibaya mno, anaweza akae hata mwezi tena asipate Periods. Nilikuwa naitumia pia ila mwisho wa siku ikadunda nilipata shida kweli mpaka leo natumia withdrawal tu ndio njia safe maana condom zimenishindaga.
Halafu P2 unatakiw utumie mara moja tu kwa mwezi, ina effect zake unawez ukatapika na kuharisha at once dunia ukaiona chungu sina ham nayo mmi ilinitenda niliimeza mara moja ilichonifanya looo
Daw y huyo mtu atumie uza w mpango kwn anachoogopa nini?ttzo Wa TZ wengi tuna elimu za mtaani dhidi ya hizi kinga z uzaz w mpango.
 
Tumia njia ya kalenda ndio nzuri, iko hivi, akiingia period hesabu siku 5 ukianzia na ya siku ya kwanza kuona perid, katika siku hizi hamtakiwi kukutana sababu ya damu. Siku 5 zinazofuata ni salama, gegeda uwezavyo. Baada ya hizo 5 za kugegeda zinafuata siku nyingine 8, katika siku hizi hamtakiwi kugegedana kwani ni siku za hatari ambapo siku ya 14 tokea hedhi ianze yai hupevuka na likiguswa tuu na mbegu mimba!! Baada ya hizi siku 8 kuisha, unaweka shida chini mikono juu, unagegeda mpaka utakapoona hedhi.Baadae mzunguko unaanza kama hapo mwanzo. Pia awe makini kwani yai linapokaribia kupevuka kuelekea siku ya 14 mwanamke huwa katika heat na anakuwa na hamu sana ya kugegedwa. Fuatilia mchoro huu wa kalenda kwa msaada zaiView attachment 421362di.
Umeambiwa kila wanapokutana anakuwa katika danger zone, maana yake siku kumi za mwanzo toka breed kuanza zinakuwa tayari zimekwisha! It means within the 8 days you have mentioned! Si kwamba hajui kalenda anajua, yawezekana time jamaa anajisikia kupasua mtaro ndo kipind cha danger zone, sasa swali lake ndo afanyeje katika hiki kipindi ambacho ndo HATARIIIIII?
 
If you think withdrawal works, ask my five month pregnant girlfriend. In the end of the day mwanamke sio mtu wa kumuamini kabisa katika haya mambo... Ukienda peku anaweza akakutegeshea mimba bila ridhaa yako...
Akikutegeshea maana yake atakudanganya kalenda yake na hapo si kosa lako atajioa mwenyewe maana haikuwa ridhaa yako! Lakin kama ww umeambiwa ni hatari days na ukazingatia "WITH-CASH" i.e withdraw hawezi kudaka na hautokuwa tayari kukubaliana na kumuoa kama una unauhakika kuwa ulimwagia maji ya nazi kwenye CHUCHU ZAKE AU KIFUAINI wakati dushee linatema lisasi za moto! Kumuoa binti kwa kigezo cha kukutegeshea mimba ni uzembe wa KUTONGOZA MPYA! (KWANZA KAKAIDI MAKUBALIANO, WA NIN SASA ATAKUSUMBUA HATA KTIK NDOA KWA UONGO WAKE HATA MAMBO MENGINE).
 
Hahaaaa!!!! Hiyo inaitwa coitus interruption,ina hatari pia,cause ukisha ejaculate lazima kuna sperms zitabaki kwenye penis hata kama ulimwagia nje,so zile sperms zitaingia tu kwenye uzazi wa mwanamke pasipo wew kujua,pale utakapokua unatafuta bao jingine na hii ni rahisi zaid kwa wanawake wenye uke mdogo ambao utasababisha zile sperms ziwe squeezed
Ukiwidraw mkubwa jiachiee kwa raha zote litiririshe hizo mali kwa mwili wake na kwa msaada wa joto lake zitaedelea kumiminika hadi utasikia linasema "Sichangi" then safisha dusheee lako kwa kitambaa safi, ndo uendelee na mchakato wa maandalizi mapya ya next mechi!
 
Hahahahah but hilo lina trick yake mkuu, huwa tunatakiwa tutafte mkojo kwa namna yeyote ile kabla ya kuendeleza libeneke. Ile husaidia kuondoa mabaki yaliopo katika njia.
Hahaaaa!!!! Nilikua sijaijua hiyo
 
Umeambiwa kila wanapokutana anakuwa katika danger zone, maana yake siku kumi za mwanzo toka breed kuanza zinakuwa tayari zimekwisha! It means within the 8 days you have mentioned! Si kwamba hajui kalenda anajua, yawezekana time jamaa anajisikia kupasua mtaro ndo kipind cha danger zone, sasa swali lake ndo afanyeje katika hiki kipindi ambacho ndo HATARIIIIII?
Kabisa mkuu, wewe umenielewa vyema, kalenda tunaijua vzr ndio maana tukajua kuna siku zipi ambazo ni za hatari. Sasa kwakuwa siishi nae, huenda yupo hostel, nakuwa na uhakika wa kukutana nae siku za outing day, na siku hzo wanazoruhusiwa kutoka, ndizo huwa ni siku mbaya kwake, unakuta nataka kukutana nae nisitumie kinga, maana kinga nikivaa uume hauwi na nguvu..... Swali ni je, kuna vidonge hata vya dhalula vya kuzuia mimba kama wanavyopewa wale waliobakwa ili wasipate ujauzito? If yes, vinaitwaje? Na vinasaidia?
 
Back
Top Bottom