Jinsi ya kufanya ili ulimwengu ukusikilize

Jinsi ya kufanya ili ulimwengu ukusikilize

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
618
Reaction score
1,440
1736185747720.jpg
Imeandaliwa na kuandikwa na Dogoli kinyamkela

💞UMSIKILIAYE NDIYE AKUSIKILIZAYE

🗣️Kuna vitu katika jamii vikifanyika vinachukuliwa Kama uchawi au kiini macho, Siyo kwamba kiini macho hakuna, vipo na vinafanyika kila siku pasipo wengi wetu kuvitambua Kama Ni viini macho.

✍️Ulimwengu wote unaouona hauna tofauti, yaani Ni kitu kimoja Ila katika matoleo(version) tofauti tofauti. Na hapa ndipo tunakuja kupata ulimwengu mkubwa na ulimwengu mdogo, lakini yote kwa yote ulimwengu Ni mmoja tu nao Ni One-Verse badala ya Universe.

🤔Tuachane na hiyo mada maana nitakuja kuilezea siku nyingine kwa upana zaidi, Ila leo nataka niwaambie je tunawezaje kuusikiliza ulimwengu nao ukatusikiliza!!!

👌 Kwanza inabidi uelewe kwamba karibia elements zote ambazo hazionekani kwa macho ya damu na nyama Basi zinapatikana ndani ya mwili wa mwanadamu,ambazo hizo elements tukizichanganya changanganya ndiyo tunakuja kupata zile element nne za msingi.

🗣️Kwa mantiki hiyo Basi huu mwili wa damu na nyama Ni udhihilisho halisi wa vile vyote visivyoonekana.

🤝Hakuna mtu ambaye hawezi kumsikiliza rafiki yake kipenzi, Na hakuna mtu ambaye hawezi kumsikikiza ndugu yake, kwa nini kwa sababu mnasikilizana na kuelewana.

👊Sasa Kama sisi tunasikilizana marafiki kwa ndugu vipi kwa zile element ambazo ndiyo sisi wenyewe!!!

👉Katika SoMo lijalo Kuna kitu nitashea nanyi ambacho Ni maswali niliyoulizwa na watoto kutoka shule Fulani, na mengine niliulizwa na wazazi kutoka kwenye shule hiyo hiyo tukiwa kwenye moja ya semina za maadhimisho ya Uhuru.

🗣️Huu ulimwengu unaoonekana kwa macho ya damu na nyama Ni udhihilisho tu wa uleeee ulimwengu usioonekana kwa macho ya damu na nyama, na ulimwengu usioonekana ndiyo umeuumba ulimwengu unaoonekana.

🤔Katika SoMo lijalo nitaliezea hili kwa kina Sana, Sasa turudi kwenye mada yetu ya Leo, Kuna wengi sana ambao wamekuwa wakipenda Sana wasikilizwe na ulimwengu lakini hawajui wanasikilizwa vipi.

🗣️Labda nikudokeze tu kidogo kwamba wewe kuusikiliza ulimwengu hiyo Ni Sanaa Kama Sanaa zingine lakini ulimwengu kukusikiliza wewe hayo ndiyo MAAJABU Sasa.

✍️Ulimwengu unaongea na sisi kwa Njia nyingi Sana na tofauti tofauti, ulimwengu unaongea na sisi kupitia maumbo, muziki, michoro, Namba zinazojirudia, ndoto,nk.

✍️Kupitia hivyo vitu nilivyoviorozesha hapo Basi unaweza kung'amua jumbe ambazo ulimwengu unataka wewe uelewe.

🤔Kwenye maumbo na baadhi ya michoro Kuna Siri nyingi Sana za ulimwengu Ni kazi kwako kuweza kuzigundua hizo siri.

🎶Kwenye miziki tunayoisikiliza Kuna jumbe nyingi Sana za Siri ambazo ulimwengu unataka tuzifahamu hivyo Ni kazi kwetu kuzigundua hizo siri.

♾️Kwenye namba zinazojirudia na kwenye ndoto pia Kuna jumbe nyingi Sana za Siri ambazo ulimwengu unajaribu kuongea nasi na Ni jukumu letu kuzielewa Ila kila siku kila saa kila dakika ulimwengu unazungumzia na sisi.

🗣️Katika kuelewa ulimwengu unazungumza Nini hii Ni Sanaa lakini kubwaa zaidi Ni wewe kuuambia ulimwengu ukitakacho na ulimwengu ukatusikiliza na haya ndiyo MAAJABU yenyewe.

✍️Ulimwengu unahitaji uzifuate kanuni pia ili uweze kupokea maekelezo kutoka kwako, Lakini kitu kingine ili ulimwengu ukusikilize, ulimwengu unataka utambue kwamba wewe Ni ulimwengu pia.

😳Ulimwengu hautaki ujitofautishe nao maana ulimwengu unachukulia kwamba kila kitu Ni Ulimwengu.

⚛️Hivyo ukitaka ulimwengu uanze kukutii inabidi uondoe utofauti uliokuwepo Kati yako na vyote vilivyo ulimwenguni na ujione wewe Ni sehemu ya vyote yaani ujione wewe Ni vyote na vyote Ni wewe.

☯️Chochote utakachokitendea kitendee jinsi vile wewe unavyotaka kutendewa maana vyote Ni wewe na wewe Ni vyote.

🗣️Mfano unapouona mti chukulia kwamba umejiona wewe maana ndani ya mti Kuna Siri zako, unayaona maji chukulia Kama umejiona wewe maana kwenye maji Kuna Siri zako mule ambazo unatembea nazo kila siku.

✍️Unapoyaona madini chukulia Kama umejiona wewe maana madini Ni sehemu yako pia, Unapowaona wanyama na wadudu chukulia Kama umejiona wewe maana wewe Ni vyote.

✍️Hewa ilipo Basi jua Ni wewe maana wewe Ni vyote na vyote Ni wewe, Baada ya kujiona wewe kwenye vyote Sasa Kuna nishati ambayo itaanza kimiminika kuelekea kwenye kila kiumbe na kuanza kutambua kwamba Sasa wewe umekuwa mmoja wa wamiliki wa vyote kwa maana umetambua kuwa wewe Ni vyote.

🗣️Kila kiumbe kitaanzaa kukutii na mwishowee ulimwengu wote utakutii, Hapo utakuwa na uwezo wa kusema chochote nao ulimwengu wote ukakusikiliza, lakini zingatia katika Yale utakayoyataka Basi yawe ya heri kwenye mzunguko wa maisha haya ya kawaida maana Ikiwa na athari mbaya Basi ulimwengu utakutii na mwisho wa siku utakuadhibu pia.

Ulikuwa nami mwalimu wako Dogoli kinyamkela
🙏🙏🙏🧘🧘🧘🙏🙏🙏
 
JINSI YA KUFANYA ILI ULIMWENGU UKUSIKILIZE
View attachment 3194405
Imeandaliwa na kuandikwa na Dogoli kinyamkela

💞UMSIKILIAYE NDIYE AKUSIKILIZAYE

🗣️Kuna vitu katika jamii vikifanyika vinachukuliwa Kama uchawi au kiini macho, Siyo kwamba kiini macho hakuna, vipo na vinafanyika kila siku pasipo wengi wetu kuvitambua Kama Ni viini macho.

✍️Ulimwengu wote unaouona hauna tofauti, yaani Ni kitu kimoja Ila katika matoleo(version) tofauti tofauti. Na hapa ndipo tunakuja kupata ulimwengu mkubwa na ulimwengu mdogo, lakini yote kwa yote ulimwengu Ni mmoja tu nao Ni One-Verse badala ya Universe.

🤔Tuachane na hiyo mada maana nitakuja kuilezea siku nyingine kwa upana zaidi, Ila leo nataka niwaambie je tunawezaje kuusikiliza ulimwengu nao ukatusikiliza!!!

👌 Kwanza inabidi uelewe kwamba karibia elements zote ambazo hazionekani kwa macho ya damu na nyama Basi zinapatikana ndani ya mwili wa mwanadamu,ambazo hizo elements tukizichanganya changanganya ndiyo tunakuja kupata zile element nne za msingi.

🗣️Kwa mantiki hiyo Basi huu mwili wa damu na nyama Ni udhihilisho halisi wa vile vyote visivyoonekana.

🤝Hakuna mtu ambaye hawezi kumsikiliza rafiki yake kipenzi, Na hakuna mtu ambaye hawezi kumsikikiza ndugu yake, kwa nini kwa sababu mnasikilizana na kuelewana.

👊Sasa Kama sisi tunasikilizana marafiki kwa ndugu vipi kwa zile element ambazo ndiyo sisi wenyewe!!!

👉Katika SoMo lijalo Kuna kitu nitashea nanyi ambacho Ni maswali niliyoulizwa na watoto kutoka shule Fulani, na mengine niliulizwa na wazazi kutoka kwenye shule hiyo hiyo tukiwa kwenye moja ya semina za maadhimisho ya Uhuru.

🗣️Huu ulimwengu unaoonekana kwa macho ya damu na nyama Ni udhihilisho tu wa uleeee ulimwengu usioonekana kwa macho ya damu na nyama, na ulimwengu usioonekana ndiyo umeuumba ulimwengu unaoonekana.

🤔Katika SoMo lijalo nitaliezea hili kwa kina Sana, Sasa turudi kwenye mada yetu ya Leo, Kuna wengi sana ambao wamekuwa wakipenda Sana wasikilizwe na ulimwengu lakini hawajui wanasikilizwa vipi.

🗣️Labda nikudokeze tu kidogo kwamba wewe kuusikiliza ulimwengu hiyo Ni Sanaa Kama Sanaa zingine lakini ulimwengu kukusikiliza wewe hayo ndiyo MAAJABU Sasa.

✍️Ulimwengu unaongea na sisi kwa Njia nyingi Sana na tofauti tofauti, ulimwengu unaongea na sisi kupitia maumbo, muziki, michoro, Namba zinazojirudia, ndoto,nk.

✍️Kupitia hivyo vitu nilivyoviorozesha hapo Basi unaweza kung'amua jumbe ambazo ulimwengu unataka wewe uelewe.

🤔Kwenye maumbo na baadhi ya michoro Kuna Siri nyingi Sana za ulimwengu Ni kazi kwako kuweza kuzigundua hizo siri.

🎶Kwenye miziki tunayoisikiliza Kuna jumbe nyingi Sana za Siri ambazo ulimwengu unataka tuzifahamu hivyo Ni kazi kwetu kuzigundua hizo siri.

♾️Kwenye namba zinazojirudia na kwenye ndoto pia Kuna jumbe nyingi Sana za Siri ambazo ulimwengu unajaribu kuongea nasi na Ni jukumu letu kuzielewa Ila kila siku kila saa kila dakika ulimwengu unazungumzia na sisi.

🗣️Katika kuelewa ulimwengu unazungumza Nini hii Ni Sanaa lakini kubwaa zaidi Ni wewe kuuambia ulimwengu ukitakacho na ulimwengu ukatusikiliza na haya ndiyo MAAJABU yenyewe.

✍️Ulimwengu unahitaji uzifuate kanuni pia ili uweze kupokea maekelezo kutoka kwako, Lakini kitu kingine ili ulimwengu ukusikilize, ulimwengu unataka utambue kwamba wewe Ni ulimwengu pia.

😳Ulimwengu hautaki ujitofautishe nao maana ulimwengu unachukulia kwamba kila kitu Ni Ulimwengu.

⚛️Hivyo ukitaka ulimwengu uanze kukutii inabidi uondoe utofauti uliokuwepo Kati yako na vyote vilivyo ulimwenguni na ujione wewe Ni sehemu ya vyote yaani ujione wewe Ni vyote na vyote Ni wewe.

☯️Chochote utakachokitendea kitendee jinsi vile wewe unavyotaka kutendewa maana vyote Ni wewe na wewe Ni vyote.

🗣️Mfano unapouona mti chukulia kwamba umejiona wewe maana ndani ya mti Kuna Siri zako, unayaona maji chukulia Kama umejiona wewe maana kwenye maji Kuna Siri zako mule ambazo unatembea nazo kila siku.

✍️Unapoyaona madini chukulia Kama umejiona wewe maana madini Ni sehemu yako pia, Unapowaona wanyama na wadudu chukulia Kama umejiona wewe maana wewe Ni vyote.

✍️Hewa ilipo Basi jua Ni wewe maana wewe Ni vyote na vyote Ni wewe, Baada ya kujiona wewe kwenye vyote Sasa Kuna nishati ambayo itaanza kimiminika kuelekea kwenye kila kiumbe na kuanza kutambua kwamba Sasa wewe umekuwa mmoja wa wamiliki wa vyote kwa maana umetambua kuwa wewe Ni vyote.

🗣️Kila kiumbe kitaanzaa kukutii na mwishowee ulimwengu wote utakutii, Hapo utakuwa na uwezo wa kusema chochote nao ulimwengu wote ukakusikiliza, lakini zingatia katika Yale utakayoyataka Basi yawe ya heri kwenye mzunguko wa maisha haya ya kawaida maana Ikiwa na athari mbaya Basi ulimwengu utakutii na mwisho wa siku utakuadhibu pia.

Ulikuwa nami mwalimu wako Dogoli kinyamkela
🙏🙏🙏🧘🧘🧘🙏🙏🙏
Umekula lakin au Ulimwengu kashakulisha??




...Ni Hayo Tu!!
 
Duuh! Nikajua nitaambiwa nile mavi ya nguruwe ndiyo ulimwengu utanisikiliza kimbe imekuwa tofauti kabisa na nilivyotarajia

Heko, Leo hujahusisha remed yoyote ile zaidi ya kusambaza love kwa kila alichokiumba Mungu
 
Back
Top Bottom