Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

wiki inayoanza kesho. Ninafanya maandalizi yake.


kwanza kabisa nashukuru kwa mafundisho kama haya ambayo yanatuelimisha juu ya misingi ya dunia na ni nini kinaendelea.

Jitahidi mkuu nasi tutoke kwenye giza hili.(reference ni vizuri zaidi kama kwenye uzi wa dunia(

nawakilisha mkuu
 
I believe in meditation but only in the world of God!
Meditation in the world of God brings revelation. This is the grace of God in our souls.
 

Ulizaa uelezewe kwann maajabu mengi yanatikea na mungu yupo kimyaa sio unaropoka kwamba mungu hayupo.et kisa umeona dunia ina maovu
 
mkuu anael heshima kwako nilikuwa naogopa kufanya meditation lakini nikajuliza kama kitu kipo duniani kipo kwa ajiri ya nini ndo nikapata uamuzi wa kutenda jamani nina experience ya wiki moja tu lakini nawathibitishia kwa mpango huu watanzania wenzangu wakiuelewa nchi itatajirika kwa kasi tutapunguza import kwa hali ya juu jamani jaribuni mjione mlivyo sio wa kuchezea
 

Naanza kuamini kwa kuona feedback yako.

Tuambie njia ulizopitia maana mm nimejaribu hii kitu nikaishia kuwa mtu wa kuota ndoto za mfululizo na kutokwa na kajipu kidogo kwenye jicho la kuume lakini hakaumi.
Natanguliza shukrani.
 
ndg mnatupa wakati mgumu tuliolelewa kanisani... iweje niskie leo kua 1.hamna uzima wa milele kwa mtenda mema na kuzimu kwa movu 2. ntaamini vp kua dunia ilidanganyika kwa uongo kiasi hiki ilihali walikuepo wengi wenye busara..3.hizi nguvu naamini hata mungu anatupa lakn za kujitaftia naona cnzr
 
Naanza kuamini kwa kuona feedback yako.

Tuambie njia ulizopitia maana mm nimejaribu hii kitu nikaishia kuwa mtu wa kuota ndoto za mfululizo na kutokwa na kajipu kidogo kwenye jicho la kuume lakini hakaumi.
Natanguliza shukrani.

mkuu mimi huwa naanza mida ya saa tano usiku pakiwa tulivu basi huwa nakaa kwenye zuria na kuifunga milango yangu ya faham na kutulia tulii (kataa mawazo yoyote yatayo kuijia concentrate kwenye pumzi) mwanzo nilikuwa natumia karibu dakika 14 lakini kwa sasa huwa ni ndani ya dakika 4,5na 6. utaanza kuona rangi zinabadilika badilika kisha inakuja rangi moja inatulia kisha unakuwa hujioni tena kama umekaa.mkuu nashindwa kueleza yote,ila baada ya kuwa umefanya hayo ndani ya siku mbili tu hutahitaji tena kusikia maneno ya kudhania dhania utapendezwa na mambo yaliyo ya kweli tu (kuona ndio kuamini).utakuwa na uwezo wa kuona jambo haraka na ama kuzuia,kulikwepesha au kulifanyia kazi. nashindwa kueleza yote mkuu. hilo swala la kipele kwakweli sijakutana nalo labda tu kichwa kuuma tena siku za mwanzoni
 

Asante kwa mrejesho...hebu nambie jinsi au jambo ambalo unaamini ni kutokana na med umeweza kulifanyia kazi au kulikwepa kwa maana umeona lina madhara nk....yaan mfano wa kihalisia....tafadhali
 

Mungu sio dicteta maana katupa uhuru wa kuchagua na kupenda chochote ilimradi usimkwaze mwingine.
 
Asante kwa mrejesho...hebu nambie jinsi au jambo ambalo unaamini ni kutokana na med umeweza kulifanyia kazi au kulikwepa kwa maana umeona lina madhara nk....yaan mfano wa kihalisia....tafadhali

sina uwezo wa kueeleza kilakitu na mpaka sasa naona kabisa kuwa nimekosea kuwaelezea watu ambao bado hamjaanza kuona
 

Dah! Yaani mimi nikianza tu huwa dakika ya kwanza hadi ya pili naishilia usingizini.
Nisaidieni jinsi ya kukwepa usingizi.
 
Dah! Yaani mimi nikianza tu huwa dakika ya kwanza hadi ya pili naishilia usingizini.
Nisaidieni jinsi ya kukwepa usingizi.

Nadhan huwa unafanya kama kitu cha mwisho kabla hujalala....ni vema ukafanya ama baada ya kupumzika au yaan umelala kidogo kisha ukiamka ndo ufanye...lah ufanye asubuhi ile alfajiri....ila usifanye ukiwa umelala kitandani.....jaribu
 
Nadhan huwa unafanya kama kitu cha mwisho kabla hujalala....ni vema ukafanya ama baada ya kupumzika au yaan umelala kidogo kisha ukiamka ndo ufanye...lah ufanye asubuhi ile alfajiri....ila usifanye ukiwa umelala kitandani.....jaribu

Poa, lakini hata hii ninayofanya kidogo kidogo nimeona mabadiliko.
Mfano kwa sasa nasikia macho yote yanavibret alafu naota ndoto mfululizo kana kwamba mimi nikilala tu naingia ulimwengu wa ndoto mpaka asubuh,
Pia kuna kajipu kidogo kalinitokea nilipoanza kufanya meditation lakini hakaumi.
 

Basi unaenda vyema...karibu utatoboa....mie bado najikongoja....sijatoboa bado....ama kuhusu kijip....sidhan kama vina uhusiano na med. Pengine ni jambo la kitabibu zaidi...maana hakuna ambaye ameshareport kadhia ya aina hyo...au at least kuihusisha na med.
 

Asante kwa ushauri wako mkuu, ngoja nijitahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…