Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Kwa mujibu wa practical, near death experiences. Meditation ni moja wapo ya njia ya kugundua hivyo vitu

Huoni kwamba ingekua bora zaidi ukaja moja kwa moja na hizo practical (kama unazo) moja kwa moja badala ya hii njia uliyokuja nao mkuu?

Lete hizo practical tuzipime ila hiyo near death experince hata usijaribu kudanganya watu wote walioexperince hiyo kitu wamekufa hawapo, kwa hiyo sitegemei kupata maelezo sahihi kutoka kwako.
 
Unajua kama alivyosema Mashaxizo, huwezi ukaelimisha watu kwa kunukuu kitabu ambacho haukiamini mambo yake kufikisha ujumbe wako huku ukidai hicho kitabu hakipo sahihi.

Biblia hiyo hiyo inaelezea tumetoka wapi, kwa nini tuko hapa, na tunakwenda wapi baada ya haya maisha ya hapa duniani. Mleta mada anaongeleaje upande wa pili wa hayo mafundisho ya Biblia?

Biblia ni moja wa vitabu vya tamaduni za kale. Kuna vitabu vingi sana. Sikatazwi kukisoma kwaajili ya kuunganisha habari zangu nilizogundua kutoka kwenye vitabu vya tamaduni zingine. Mtu aliyeandika biblia alikuwa unconscious ndio maana utakuta kitabu hicho hicho kinajipinga chenyewe.

Mambo ambayo yapo kwenye tamaduni zingine na yapo kwenye biblia inabidi tuyafanyie uchunguzi na tujue ukweli wake.

Kwa mfano kuhusu meditation ipo kwenye torah, quruan na kwenye vitabu vya tamaduni za kihindi, kichina. Na tamaduni za kiafrica "misri". Japo kuwa tamaduni zingine hazijatoa vitabu lakini kuna mafundisho ya kitamaduni tunaweza yapata. Hatimaye tumajua ukweli.
 
Nakuomba usubiri ninaleta vitu vyote na ninaviandaa vizuri ili watu waweze kusoma

Mkuu umeshaahidi mengi na tofauti ya kuyaelezea huko.

Nahisi maswali mengine ungejibu hapa ili kuepusha mseto kwa hiyo thread nyengine coz naamini hata hiyo thread itazaa vitu vipya vingi tu, so ukiendelea kusema kila swali ujibie thread nyengine nahisi ni kupoteza tu mda na kukwepa maswali.
 
Huoni kwamba ingekua bora zaidi ukaja moja kwa moja na hizo practical (kama unazo) moja kwa moja badala ya hii njia uliyokuja nao mkuu?

Lete hizo practical tuzipime ila hiyo near death experince hata usijaribu kudanganya watu wote walioexperince hiyo kitu wamekufa hawapo, kwa hiyo sitegemei kupata maelezo sahihi kutoka kwako.

Ninadhani hujui unachoongelea hapa. Umeniuliza mimi nimepata wapi hayo maelezo. Hapa nimekueleza kama mimi. Mbona unasahau ulicho uliza? Na sijasema mtu afanye practical ya near death. Kwa huwezi ukaifanya huwa inatokea tu.

Kwa mfano mtu anaweza akaumwa sana na akawa amekufa kabisa na mkajua amekufa hata kwa mda wa 24h baadaye akawa amerudi.
 
Mkuu umeshaahidi mengi na tofauti ya kuyaelezea huko.

Nahisi maswali mengine ungejibu hapa ili kuepusha mseto kwa hiyo thread nyengine coz naamini hata hiyo thread itazaa vitu vipya vingi tu, so ukiendelea kusema kila swali ujibie thread nyengine nahisi ni kupoteza tu mda na kukwepa maswali.

Baadhi ya maswali nimeanza kuyajibu hapa. Kwa kifupi sana.
 
Biblia ni moja wa vitabu vya tamaduni za kale. Kuna vitabu vingi sana. Sikatazwi kukisoma kwaajili ya kuunganisha habari zangu nilizogundua kutoka kwenye vitabu vya tamaduni zingine. Mtu aliyeandika biblia alikuwa unconscious ndio maana utakuta kitabu hicho hicho kinajipinga chenyewe.

Mambo ambayo yapo kwenye tamaduni zingine na yapo kwenye biblia inabidi tuyafanyie uchunguzi na tujue ukweli wake.

Kwa mfano kuhusu meditation ipo kwenye torah, quruan na kwenye vitabu vya tamaduni za kihindi, kichina. Na tamaduni za kiafrica "misri". Japo kuwa tamaduni zingine hazijatoa vitabu lakini kuna mafundisho ya kitamaduni tunaweza yapata. Hatimaye tumajua ukweli.

Kwa mantiki hiyo, kimsingi ni kwamba utakubaliana na majibu au hoja zitakazofuata kutoka kwa wachangiaji watakaokuja na nukuu kutoka vitabu vingine ikiwamo Biblia na Quran (Samahani kama nimekosea kuandika).

Ningeshauri utumie neno kutokuamini kuhusu yaliyomo kwenye Biblia kwa sababu najua hauna uelewa wa kutosha kujua iliandikwa vipi mchakato ulikuaje na ndio maana unasema mwandishi, ila kwa lengo la huu mjadala hayo tuyaweke pembeni tujikite kwenye uzi wako.

Utakubali nukuu za Biblia zinazoelezea tumetoka wapi, kwa nini tuko hapa na tunakwenda wapi baada ya hapa?
 
Ninadhani hujui unachoongelea hapa. Umeniuliza mimi nimepata wapi hayo maelezo. Hapa nimekueleza kama mimi. Mbona unasahau ulicho uliza? Na sijasema mtu afanye practical ya near death. Kwa huwezi ukaifanya huwa inatokea tu.

Kwa mfano mtu anaweza akaumwa sana na akawa amekufa kabisa na mkajua amekufa hata kwa mda wa 24h baadaye akawa amerudi.

Ati sijui nnachokiongea? sasa huyo si hajafa? Kwani tafsiri ya kifo ni nini?

Sijasahau nilichokuuliza, nilikuuliza hayo maelezo ni kwa mujibu wa nani? ukasema practical na near death experiences, kuhusu practicals umesema unajipanga utakuja na somo kamili, nikakwambia usigusie near death experiences! sijaelewa nini hapo?
 
Baadhi ya maswali nimeanza kuyajibu hapa. Kwa kifupi sana.

Ni bora ukajipange ukija ukiwa kamili, vinginevyo utakua unatumia hiyo kama excuse ya kutokutoa majibu kamili kwa kisingizio cha kuja na somo lingine jipya.
 
Kwa mantiki hiyo, kimsingi ni kwamba utakubaliana na majibu au hoja zitakazofuata kutoka kwa wachangiaji watakaokuja na nukuu kutoka vitabu vingine ikiwamo Biblia na Quran (Samahani kama nimekosea kuandika).

Ningeshauri utumie neno kutokuamini kuhusu yaliyomo kwenye Biblia kwa sababu najua hauna uelewa wa kutosha kujua iliandikwa vipi mchakato ulikuaje na ndio maana unasema mwandishi, ila kwa lengo la huu mjadala hayo tuyaweke pembeni tujikite kwenye uzi wako.

Utakubali nukuu za Biblia zinazoelezea tumetoka wapi, kwa nini tuko hapa na tunakwenda wapi baada ya hapa?

Tukianza kuongelea bibilia kwa mujibu tutoka wapi utajikuta biblia inapoteza ukweli kwa mantic kwamba aliyepewa soul ni mmoja tu yaani adam. Na wengine wote hawana soul au wanarith soul. Kwa namna hiyo biblia imakuwa na uwanja mdogo sana wa kuelezea soul.

Vile vile mafundisho ya doctrin za kibiblia inaeleza mtu yupo katika sehemu tatu yaani mwili nafsi na roho. Mtu akifa roho pekee yake ndiyo inayoenda mbinguni na mwili unarudi mavumbini. Je nafsi inaluwa imepotelea wapi?

Ndio pale sasa inatubidi kwenda zaidi ya hapo.
Samahani kwa kusema mwandishi. Nilikuwa namaanisha waandishi.
 
Ati sijui nnachokiongea? sasa huyo si hajafa? Kwani tafsiri ya kifo ni nini?

Sijasahau nilichokuuliza, nilikuuliza hayo maelezo ni kwa mujibu wa nani? ukasema practical na near death experiences, kuhusu practicals umesema unajipanga utakuja na somo kamili, nikakwambia usigusie near death experiences! sijaelewa nini hapo?

Ninaposema mtu amekufaa ninamaanisha physical body not functioning. Yaan mwili unakuwa kama maiti. Katika hiyo state hapa duniani katika ulimwemgu wa damu na nyama tunaona huyu mtu kafa. Na vipimo vyote vinaweza onesha huyu mtu kafa. Nilikuwa ninaongelea katika hali hiyo.
 
Imeandikwa......Kipofu kamwe hawezi kumuongoza kipofu mwenzie...kwani wote watatumbukia shimboni.....
 
Ninaposema mtu amekufaa ninamaanisha physical body not functioning. Yaan mwili unakuwa kama maiti. Katika hiyo state hapa duniani katika ulimwemgu wa damu na nyama tunaona huyu mtu kafa. Na vipimo vyote vinaweza onesha huyu mtu kafa. Nilikuwa ninaongelea katika hali hiyo.

Nafikiri hapa kila mtu anajua tunapoongelea mtu amekufa tunajua tunaongelea kitu gani ndio maana nikakwambia hakuna mtu aliyewahi kufa akaja kukupa huo ushahidi wa mfumo mzima wa kifo kuanzia maandalizi yake, kifo chenyewe na nini kinatokea baada ya hapo hayupo.
 
Nafikiri hapa kila mtu anajua tunapoongelea mtu amekufa tunajua tunaongelea kitu gani ndio maana nikakwambia hakuna mtu aliyewahi kufa akaja kukupa huo ushahidi wa mfumo mzima wa kifo kuanzia maandalizi yake, kifo chenyewe na nini kinatokea baada ya hapo hayupo.

Sema kwamba hujawahi kumuona wewe. Lakini unaposema hayupo basi nitakuja kwenye upande wa imani yako kusema mungu hayupo.
 
Sema kwamba hujawahi kumuona wewe. Lakini unaposema hayupo basi nitakuja kwenye upande wa imani yako kusema mungu hayupo.

Naomba turahisishe mambo, lete hizo practical na near death experinces mkuu. Hapo tunaweza kujadili hii topic kwa mapana yake.
 
[FONT=Arial,Helvetica]"Waacheni wenyewe! Wao ni vipofu, viongozi wa vipofu; na kipofu akimwongoza kipofu, wote wawili hutumbukia shimoni."

Mathayo ​15:14[FONT=Arial,Helvetica][/FONT][FONT=Arial,Helvetica][/FONT]
15:14
[/FONT]
[FONT=Arial,Helvetica]15:14
[/FONT]

Unapoongelea agano jipya ni moja ya vitabu kwenye biblia quality yake ni ya chini sana. Maana kati ya kitabu cha injili na kitabu kingine stori moja unaongelewa tofauti kabisa.
Hebu jaribu kufuatilia kuzaliwa kwa yesu kwenye mathayo na luka ni stori tofauti kabisa.
 
Mkuu nataka kutoa explanation kidogo kuhusu hayo ulioandika
Kwanza sikuwahi kusikia juu ya degree 13
Pili meditation zipo aina nyingi but mainly is insight meditation na outside meditation
Out sight ni Kwa ajili ya visualization na insight Ni Kwa ajili ya kuongeza ufahamu wako. Hapo ndipo ufahamu kuhusu wewe unapokua na pia energy yako inaongezeka
Uchawi Ni Sanaa inayotumia vitu physically kuhamisha energy kutoka sehemu moja kwenda nyingine na hausiani kabisa na meditation
Meditation depends on nothing but meditation but uchawi unadepends on vitu

Mie siulizi aina za meditation au faida zake. Labda niulize kidogokidogo, mfano mnaposema kuwa tuna nguvu ambazo wengi hawajijui,sasa mie nachotaka kujua chanzo cha hizo nguvu imetoka wapi?
 
Naomba turahisishe mambo, lete hizo practical na near death experinces mkuu. Hapo tunaweza kujadili hii topic kwa mapana yake.

Near death experience ni yangu mimi. Lakini practical inafanyika through meditation.

Nimesema near death huwa inatokea automatically huwezi ukaifanya.
 
Mie siulizi aina za meditation au faida zake. Labda niulize kidogokidogo, mfano mnaposema kuwa tuna nguvu ambazo wengi hawajijui,sasa mie nachotaka kujua chanzo cha hizo nguvu imetoka wapi?

Chanzo chake ni cosmic energy
 
Unapoongelea agano jipya ni moja ya vitabu kwenye biblia quality yake ni ya chini sana. Maana kati ya kitabu cha injili na kitabu kingine stori moja unaongelewa tofauti kabisa.
Hebu jaribu kufuatilia kuzaliwa kwa yesu kwenye mathayo na luka ni stori tofauti kabisa.

Nilifikiri nimeliweka sawa hilo la uandishi wa Biblia, litatutoa kwenye huu uzi, ndio maana nililiweka pale lilipo husikakuonyesha yanapopatikana maandiko.

Nasubiria hilo somo kamili ili nione qualities za hivyo vyanzo vyako nje ya Biblia ambayo tayari umeshaleta mistari yake kadhaa kwenye hili somo. Karibu!
 
Back
Top Bottom