Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Annael hebu endelea na mada maana maswali mengi hayahusiani na mada hivyo achana nayo.

Japo sikuungi mkono kwamba hakuna Mungu ila naamini kwamba tuna nguvu nyingi na kila kitu ndani yetu,yaani sisi kama spirits hatuna mipaka. Hii imo kwenye biblia kwani Mungu alituumba kwa sura yake na mfano wake.
 
Near death experience ni yangu mimi. Lakini practical inafanyika through meditation.

Nimesema near death huwa inatokea automatically huwezi ukaifanya.

hii near death experience ni hatari sana watu wengi huwatokea lakini cha kushangaza doctors wana conclude kwamba mgonjwa amefariki wakati ukweli ni kwamba hajafa matokeo yake anaenda kufia mochwari kwenye friji tuwe makini jamani.
 
Mkuu nimedowload hiko kitabu but ni kikubwa na kinamazonge, ikiwa wewe wewe umekisoma na kukielewa just weka sababu kwanini uislamu sio njia mzuri ya kufuata huku ukiambatanisha na reference (hope kutoka ktk Quran) then tutajadili.

Nipo kusikiliza hoja zako...

Mdau, huvi vitabu havisemi kwamba uislam au ukristo si njia nzuri ya kumuendea Mungu bali..vinaonesha jinsi gan mafunzo tuliyonayo leo yamekutwisted sana from the original...teachings za founding fathers...vinaonesha falacy nyingi sana ambazo zimekuwa added in the due course of history...waandishi ninmaprofesa wa historia na theology...wanachofanya ni kukuexpose kwenye issues of substances...some u have never thought to have been copied from other cultures and scholar opinions..conclusion zao zinakuweka wewe katika hali ya tafakuri kubwa sana...na utatamani watu waelewe mambo flan flan...ila hutaweza kuwaelewesha....bse majority hawakubali kusikiliza wala kujua behind the scene...!! I suggest read the two books or tafta lectures zao kwenye youtube....zipo!!
 
MUNGU siamini kabisaaaa..kabisaaaa kama yuko....i hv concrete scientific and social reasons.....before niliaminishwa yuko...but after i acquired, BRAIN POWER, A REAL KNOW HOW....nilikuja jua SIAMINI MUNGU YUKO....na usiwaze au kuona dhambi kukwambia Mungu hayuko...hukuna dhambi wala nn....acha hizo hisia za kujazwa na kudanganywa...!!

I hv reasons, na za wazii waziii....usije nipa stories za BIBLE or QURAN..!!!!

Mungu kama yuko hawezi IACHA DUNIA ITEKETEE KAMA TUONAVYO LEO.....HAIWEZEKANI WATU WABAYA WANAUA WATU WEMA KILA KUKICHA....

Haiwezekani Viongozi wauaji wawe hai, na Mungu anawaacha wanaua watu wake kwa njia mbali mbali...

Haiwezekani majanga makubwa makubwa duniani yanamaliza watu, huku Mungu yuko...

Haiwezekani Mungu ashindwe kutoa Neema kwa watu wenye laana ya UKOO wakipukutika, kizazi hadi kizazi...

Haiwezekani Mungu awe ktk kiti cha ENZI huku Duniani watu wake wanateseka huku anaona, ana kila kitu na ni watoto wake...ana kila nguvu, haiwezekani...

Mungu, kwangu is JUST FEAR OF UNKNOWNS....!!!!

Tumeaminishwa hivyo tu.....ILA UKITAKA KUJUA NASEMA KWELI.....ww TENDA MEMA, usichoke, jaribu kuwa mtu wa hekima, busara na BIDIII YA PEKEE kwa kila kitu, usichoke kujifunza ELIMU & UKWELI....jifunze kujitegemea sana....pambana na maisha yako yawe bora kwa njia njema...DUNIA ITAKULIPA VYOOOTE mema na UTAKUWA MTU TOFAUTI....!!!!

Ila KAA KANISANI AU MISIKITINI...ukeshe ukiomba, hutapata kitu, MM NAAMINI HIVI.....INGEKUWA MUNGU YUKO...DUNIA INGEBAKIA KAMA BUSTANI YA EDENI ambayo nayo ni ya kufikirika ktk biblia....

Haitakiwi mm au ww TUPATE TAABU HIVI KAMA MUNGU YUKO....haiwezekani...ndio maana mm nasali kwa meditation tu.....AU NI MKRISTO MFU TU.....nina jina na mkristo sbb wazazi wangu wametoka huko...!!!
Kanisani naenda kwa miaka mara kadhaaa hv sasa siendi kabisa...

DINI nachukulia ni ULEVI FULANI TU...Mungu huyu kama yuko HAWEZI KUACHAA KABISA KABISAA sisi wanadamu alietuumba kwa mfano na sura yake ASEMAVYO KTK VITABU VYAKE TUTESEKE....kwnn niteseka kama ANATUPENDAAA...!!?

I am a NO NOSENSE MAN...a no NOSENSE HUMAN BEING...MUNGU KAMA ANATUPENDA SANA KAMA WATOTO WAKE, HAIWEZEKANI TUTESEKE HV....sikubali hiyooo...ULISHAFIKA HOSPITALINI...au sehemu zenye majangaa..!?

SIKUBALI na haiingii akilini MUNGU KAMA YUKO, mwenye kila kituuu... ATUPENDE alafu ATUACHE KTK MATESO MAKALI HAYA YA DUNIA HII...

NAAMINI KABISA KABISAA...MUNGU HAYUKO...NA SITENDI dhambi kusema haya kwa mtu au HATA kwa HUYO MUNGU KAMA ANANISIKIA....

Haiwezekani WATU WATUMIE NGUVU ZA GIZA...huku wakijiita WACHUNGAJI...MITUME...NABII...huku wameshika biblia MUNGU ASIWAADHIBU pale pale, ili watu wake WASIPOTEE...

MM nimetembea mabara karibu yote, NORTH AMERICA, SOUTH AMERICA, ASIA, EUROPE...african countires nyingi nimeenda...CJAWAHI ONA KUNA KILEMA AU MTU KAPONYWA....au kiziwi kasikia kama HAWA WACHUNGAJI MATAPELI NA WENYE KUTUMIA NGUVU ZA GIZA wanavyodanganya watu..tena kwa kutumia maneno ya Biblia...ILA UKIANGALIAAAAA KWA AKILI NDOGO TU...KUMBE NI WATAFUTA FEDHAAAAA.....wooote ni wafanya biashara...maisha yao ni ya FAHARI KUTISHA...MUNGU angekuwepo angewamaliza hawa..sbb wanawapoteza watu wake....

Unajua UBONGO WAKO ni kitu cha ajabu sana, usipoujua huu ubongo utapata shida sana, sbb ndio unakupa data zote na fikira....ILA HIZO DATA ZINATOKA WAPI . !!? NI hv...ukiwa unasaliiiiii sanaaaa, ubongo wako unajaaa salaaaa, hizo ndio DATA...utaota sana tu UNAMUONA YESU AU MTUME MUHAMAD kila muda au UNAKEMEA MAPEPO NA YANATII AMRI...sb ndio DATA ZAKO ULIZO JAZA HUKOO....sasa kwa kutoelewa UTAANZA HADITHIA wenzako, ulivyotokewa na YESU ktk ndoto, ulivyokemea mapepo ktk ndoto...yoooote sbb HUUJUI UBONGO UNAOKUONGOZA....likewise UKIWA UNAWAZAAAA sana sanaa jambo, mfano umefiwa na mpendwa wako au mama, UTAMUOTA KILA MARA NA KUMUONA KTK NDOTO ZAKO....sbb ndio memory iliyo nyingi ktk ubongo wako, ila SIO KWELI KUWA UMEONGEA NA MAMA AU MPENDWA WAKO ALIYEKUFA....tht is brain memory inaji retrive itself...!!!

So, Ukijaza au ukijazwa ubongo UJINGA UTAKUWA MJINGA NA KUWAZA UJINGA TU na hata kutenda ujinga kabisa, ukiwaza sex sanaaa, utaota unafanya mapenzi ktk ndoto au unampendaaaaa msichana fulani kakujaa ubongoni...utamuota sana na hata sometimes unaota unafanya nae sex, au umemuoa au kakukataa au mtu mwingine kamchukua....yoooote haya ni UBONGO WAKO.....!!! Hata ukiwa unasoma sanaaa kwa kuogopa mitihani, unaota mitihani au umefeli au umefaulu au smthng associated na hayo ya masomo mara nyingi...!!!

Kuna vitu vingine unaweza kuota vya kawaida tu..tht is normal mode of BRAIN....!!!

Sasa tunajifunza nn, UKIAMINISHWA KITU, KITAANZA KUKAA KTK UBONGO WAKO....kitakua na kukua ktk ubongo wako wakati huna USHAHIDI KABISA WA KILE UNACHOAMINI wala hukijui kabisa.....so utabaki kutoa USHUHUDA wa KUOTA NDOTO uotazo, kumbe ndicho kilicho ktk ubongo wako BILA KUKIJUA....

CHUNGA SANA MAISHA YAKO...JIJUE, USIFUNGWE KAMBA, UTAKUWA MTUMWA DUNIANI....

Mungu ni WW MWENYEWE...na SHETANI NI WW MWENYEWE...SIKU NJEMA...!!

naona umeongelea mabaya tuu vipi kuhusu yale mema yaliyotendwa japa duniani ambayo ni mengi kuliko hayo mabaya??

halafu huo ubongo ambao ni a very special organ kuliko zote unadhani ulitoka wapi ?
 
haya mambo ni watu wachache sana wanayaelewa, na hao wanaoyaelewa wengine wanayaelewa kwa mtindo tofauti, na ambao hawayajui kabisa lazima wapate shida sana kukuelewa ila mwisho wa siku tutafikia lengo, mleta mada yuko sahihi kabisa japo inawezekana kuna mengine anaweza asiwe sahihi kwa kiwango flani
 
Mdau, huvi vitabu havisemi kwamba uislam au ukristo si njia nzuri ya kumuendea Mungu bali..vinaonesha jinsi gan mafunzo tuliyonayo leo yamekutwisted sana from the original...teachings za founding fathers...vinaonesha falacy nyingi sana ambazo zimekuwa added in the due course of history...waandishi ninmaprofesa wa historia na theology...wanachofanya ni kukuexpose kwenye issues of substances...some u have never thought to have been copied from other cultures and scholar opinions..conclusion zao zinakuweka wewe katika hali ya tafakuri kubwa sana...na utatamani watu waelewe mambo flan flan...ila hutaweza kuwaelewesha....bse majority hawakubali kusikiliza wala kujua behind the scene...!! I suggest read the two books or tafta lectures zao kwenye youtube....zipo!!

Hope nawe huamini uwepo wa Mungu, Jee naweza kukuuliza kitu?

Cc: Annael
 
Last edited by a moderator:
Hope nawe huamini uwepo wa Mungu, Jee naweza kukuuliza kitu?

Cc: Annael

Naamini uwepo wa Mungu...ila siamini mambo mengi sana tunayofundishwa kuhusu hiz imani zetu kuu huku africa mashariki...yaan uislam na ukristu....hebu uliza swali lako...huenda nina jibu au lah... kikubwa...mie niko tayari sana kusikiliza kwa makini sana mtu mwenye hoja inayopangua kimantiki imani yangu...si kishabiki...logic and evidence
 
Last edited by a moderator:
Metaphysics na cosmology nimejifunza mtaani.

Vizuri, endelea na mada ikiwezekana shusha ile sredi uliyosema achana na wafia dini hapa tunazungumzia the hidden power ambayo kila mtu anayo stick to the point wengine wanajua haya maujanja ila wanajifanya hawajui ili kuwapoteza wenzao na wale wasioamini ndio wale wafia dini wafuata mkumbo.
 
Hahahahahaaaaaaa! :tape:

So unataka kusema wakiristo ni tatizo ila biblia iko sahihi?

Na ikiwa biblia ndio chanzo cha hayo matatizo kwanini unaitumia kama reference kusapoti madai yako????

Ivi unaichukuliaje biblia?

Reference = rejea
 
Mkuu hapo kwenye red panahitajika kuamini tu(kama zilivyo imani zengine ambazo tunaambiwa wamemezeshwa) ili ndiyo tuweze kwenda sawa.

Sijaiona red
But hiyo nguvu haihitaji Imani
Uamini au usiamini ipo tu na ukifanya yanayohitajika ili kuitape utaipata tu
 
Sijaiona red
But hiyo nguvu haihitaji Imani
Uamini au usiamini ipo tu na ukifanya yanayohitajika ili kuitape utaipata tu

Tatizo si kusema kufanya yanayohitajika ili kuipata hiyo nguvu ila tatizo ni kinachoelezwa kuhusu chanzo cha hiyo nguvu je ni kweli?

Maana wapo pia wenye kufanya miujiza kwa nguvu ya uchawi na kusema ni nguvu ya mungu na watu wakaamini hivyo.
 
woga tu wa maisha unakusumbua wewe baki na imani yako uliyo kariri hulazimishwi kuibadilisha ila lazima ukubali kupelekwa kama gari bovu!

Hivi kwanini unasema wanaoamini mungu ni waoga wa maisha? Kwani maisha yanaogopesha?
 
Kama Yesu na/au Mohamad wa/asingekuja duniani Imani ya uwepo wa Mungu Mmoja ingekuwa ndogo mno, hawa wote wamekuja na kuudhihirishia ulimwengu kwamba Mungu yupo na ametupa uhuru wa kuchagua kuishi kwa matendo mema ama mabaya na kutuelezea matokeo ya kuishi kwa hayo matendo.

wafia dini mnachekesha sana yesu atakuja lini tena?

alivyokuja mara ya mwisho ulimuona?
BTW, yesu as mwalimu wa imani anazungumzia the same thing kuwa binadamu wamelala (hawajitambui)
 
Back
Top Bottom