Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Naamini uwepo wa Mungu...ila siamini mambo mengi sana tunayofundishwa kuhusu hiz imani zetu kuu huku africa mashariki...yaan uislam na ukristu....
Well, Actualy we belong on same path but in different houses, hapo underline kwangu ni baadhi ya mambo, also Im Muslim.

hebu uliza swali lako...huenda nina jibu au lah... kikubwa...mie niko tayari sana kusikiliza kwa makini sana mtu mwenye hoja inayopangua kimantiki imani yangu...si kishabiki...logic and evidence

Hata mimi napenda kujadili kwa hoja na uthahidi na sipendi ushabiki.

Hope swali lielekee kwa Annael coz yeye haamini kabisa uwepo wa Mungu anaeongelewa kwenye dini, but si vibaya hata nawe ukijibu.

Ktk vitabu [Quran and Bible] kuna visa vingi na tofauti ambavyo vinashawishi uwepo wa Mungu kimatiki, kwa mfano kisa cha Faraoh [Firauni] Ikiwa si nguvu za Mungu zilizotumika kuuhifadhi (kuufanya usioze) ule mwili wake kwa karne nyingi (hope si chini ya miaka 2500)

SWALI
Ni nini kilichofanya ule mwili uwepo hadi leo?????

Nb:
Ikumbukwe ule mwili ulishafanyiwa jitihada nyingi za kuupoteza kabla ya kuwepo pale ulipohifadhiwa leo.

Ikumbukwe zamani hakukuwa na utaalamu wowote wa kuhifadhi mwili kama inavyowezekana katika ulimwengu wa leo.

Na ikumbukwe kuna aya tofauti ktk vitabu zinazosema ile ni ahadi ya Mungu kumuadhiri yule mtu kwa makosa yake ya kujita mungu na kuadhibu watu wengi wasio na hatia. Pia uwepo wa ule mwili ni ahadi ya Mungu kumueka yule mtu aonekane na vizazi vyote vijavyo.

(naweza kueka reference kwa kila angalizo hapo)

Natumai kupata majibu toka kwa wote wasioamini uwepo wa Mungu akiwemo Annael
 
Last edited by a moderator:
Continuation of satanism in another way ah ah hizi siku za mwisho hakika
 
Huu ni upotoshaji wa hali ya juu.
Hii ni kinyume kabisa na amri kumi ,kusema sisi ni miungu,ni kama unaabudu miungu mingine,wakati tumeambiwa tusiambudu miungu mingine.Sina wasiwasi najua this is satan at work na kwa amabao hawajui watajiingiza huku,meditation ni njia mojawapo ya kuingia kwenye ulimwengu wa kiroho ambao kuna roho chafu,nia yao ni kukufanya uwe negative kwenye maisha yako,uwe mwenye hofu.kwa njia nyingi za udanganyifu,kumbuka yule nyoka alikua ni mjanja sana,na ana mbinu nyingi za kuwapotosha watu.Na huyu jamaa anatumia bible kuwalaghai ,just like the way satan alitumia bible kumjaribu yesu.Medidation itakupeleka ulimwengu wa kiroho ambao kuna roho wachafu ,narudia tena,roho wachafu.Tafuteni kumjua mungu zaidi,na sio kumjua shetani!

uki meditate deeply uta unlock your personal power, mental power hizo power zipo mbili nzuri na mbaya uamuzi ni wako utumie ipi.
 
Well, Actualy we belong on same path but in different houses, hapo underline kwangu ni baadhi ya mambo, also Im Muslim.



Hata mimi napenda kujadili kwa hoja na uthahidi na sipendi ushabiki.

Hope swali lielekee kwa Annael coz yeye haamini kabisa uwepo wa Mungu anaeongelewa kwenye dini, but si vibaya hata nawe ukijibu.

Ktk vitabu [Quran and Bible] kuna visa vingi na tofauti ambavyo vinashawishi uwepo wa Mungu kimatiki, kwa mfano kisa cha Faraoh [Firauni] Ikiwa si nguvu za Mungu zilizotumika kuuhifadhi (kuufanya usioze) ule mwili wake kwa karne nyingi (hope si chini ya miaka 2500)

SWALI
Ni nini kilichofanya ule mwili uwepo hadi leo?????

Nb:
Ikumbukwe ule mwili ulishafanyiwa jitihada nyingi za kuupoteza kabla ya kuwepo pale ulipohifadhiwa leo.

Ikumbukwe zamani hakukuwa na utaalamu wowote wa kuhifadhi mwili kama inavyowezekana katika ulimwengu wa leo.

Na ikumbukwe kuna aya tofauti ktk vitabu zinazosema ile ni ahadi ya Mungu kumuadhiri yule mtu kwa makosa yake ya kujita mungu na kuadhibu watu wengi wasio na hatia. Pia uwepo wa ule mwili ni ahadi ya Mungu kumueka yule mtu aonekane na vizazi vyote vijavyo.

(naweza kueka reference kwa kila angalizo hapo)

Natumai kupata majibu toka kwa wote wasioamini uwepo wa Mungu akiwemo Annael

Haya nayo ndio niliyoyafikiria baada ya kusoma post/maswali/hoja zako hasa humo kwenye blue mkuu,..

1.Sidhani kama ni kweli kwamba zaman hawakua na utalaamu wa kuhifadhi maiti-Wamisri walikua na hii taaluma toka enzi na enzi kipindi cha mafarao wa kale....wajuvi watatujuvya zaidi,

2.Hata hizo ahadi za mungu nazo kuhusu huyo farao zinazua maswali mengi kumhusu i.e kwanini amuache farao afanye ubaya wa kuwaua na kuwatesa/kuwatumikisha watu wa mungu bila kosa then aje na ahadi badala ya kuzuia maafa mkuu.

Anyway,...sijui kitu so far
 
MUNGU siamini kabisaaaa..kabisaaaa kama yuko....i hv concrete scientific and social reasons.....before niliaminishwa yuko...but after i acquired, BRAIN POWER, A REAL KNOW HOW....nilikuja jua SIAMINI MUNGU YUKO....na usiwaze au kuona dhambi kukwambia Mungu hayuko...hukuna dhambi wala nn....acha hizo hisia za kujazwa na kudanganywa...!!

I hv reasons, na za wazii waziii....usije nipa stories za BIBLE or QURAN..!!!!

Mungu kama yuko hawezi IACHA DUNIA ITEKETEE KAMA TUONAVYO LEO.....HAIWEZEKANI WATU WABAYA WANAUA WATU WEMA KILA KUKICHA....

Haiwezekani Viongozi wauaji wawe hai, na Mungu anawaacha wanaua watu wake kwa njia mbali mbali...

Haiwezekani majanga makubwa makubwa duniani yanamaliza watu, huku Mungu yuko...

Haiwezekani Mungu ashindwe kutoa Neema kwa watu wenye laana ya UKOO wakipukutika, kizazi hadi kizazi...

Haiwezekani Mungu awe ktk kiti cha ENZI huku Duniani watu wake wanateseka huku anaona, ana kila kitu na ni watoto wake...ana kila nguvu, haiwezekani...

Mungu, kwangu is JUST FEAR OF UNKNOWNS....!!!!

Tumeaminishwa hivyo tu.....ILA UKITAKA KUJUA NASEMA KWELI.....ww TENDA MEMA, usichoke, jaribu kuwa mtu wa hekima, busara na BIDIII YA PEKEE kwa kila kitu, usichoke kujifunza ELIMU & UKWELI....jifunze kujitegemea sana....pambana na maisha yako yawe bora kwa njia njema...DUNIA ITAKULIPA VYOOOTE mema na UTAKUWA MTU TOFAUTI....!!!!

Ila KAA KANISANI AU MISIKITINI...ukeshe ukiomba, hutapata kitu, MM NAAMINI HIVI.....INGEKUWA MUNGU YUKO...DUNIA INGEBAKIA KAMA BUSTANI YA EDENI ambayo nayo ni ya kufikirika ktk biblia....

Haitakiwi mm au ww TUPATE TAABU HIVI KAMA MUNGU YUKO....haiwezekani...ndio maana mm nasali kwa meditation tu.....AU NI MKRISTO MFU TU.....nina jina na mkristo sbb wazazi wangu wametoka huko...!!!
Kanisani naenda kwa miaka mara kadhaaa hv sasa siendi kabisa...

DINI nachukulia ni ULEVI FULANI TU...Mungu huyu kama yuko HAWEZI KUACHAA KABISA KABISAA sisi wanadamu alietuumba kwa mfano na sura yake ASEMAVYO KTK VITABU VYAKE TUTESEKE....kwnn niteseka kama ANATUPENDAAA...!!?

I am a NO NOSENSE MAN...a no NOSENSE HUMAN BEING...MUNGU KAMA ANATUPENDA SANA KAMA WATOTO WAKE, HAIWEZEKANI TUTESEKE HV....sikubali hiyooo...ULISHAFIKA HOSPITALINI...au sehemu zenye majangaa..!?

SIKUBALI na haiingii akilini MUNGU KAMA YUKO, mwenye kila kituuu... ATUPENDE alafu ATUACHE KTK MATESO MAKALI HAYA YA DUNIA HII...

NAAMINI KABISA KABISAA...MUNGU HAYUKO...NA SITENDI dhambi kusema haya kwa mtu au HATA kwa HUYO MUNGU KAMA ANANISIKIA....

Haiwezekani WATU WATUMIE NGUVU ZA GIZA...huku wakijiita WACHUNGAJI...MITUME...NABII...huku wameshika biblia MUNGU ASIWAADHIBU pale pale, ili watu wake WASIPOTEE...

MM nimetembea mabara karibu yote, NORTH AMERICA, SOUTH AMERICA, ASIA, EUROPE...african countires nyingi nimeenda...CJAWAHI ONA KUNA KILEMA AU MTU KAPONYWA....au kiziwi kasikia kama HAWA WACHUNGAJI MATAPELI NA WENYE KUTUMIA NGUVU ZA GIZA wanavyodanganya watu..tena kwa kutumia maneno ya Biblia...ILA UKIANGALIAAAAA KWA AKILI NDOGO TU...KUMBE NI WATAFUTA FEDHAAAAA.....wooote ni wafanya biashara...maisha yao ni ya FAHARI KUTISHA...MUNGU angekuwepo angewamaliza hawa..sbb wanawapoteza watu wake....

Unajua UBONGO WAKO ni kitu cha ajabu sana, usipoujua huu ubongo utapata shida sana, sbb ndio unakupa data zote na fikira....ILA HIZO DATA ZINATOKA WAPI . !!? NI hv...ukiwa unasaliiiiii sanaaaa, ubongo wako unajaaa salaaaa, hizo ndio DATA...utaota sana tu UNAMUONA YESU AU MTUME MUHAMAD kila muda au UNAKEMEA MAPEPO NA YANATII AMRI...sb ndio DATA ZAKO ULIZO JAZA HUKOO....sasa kwa kutoelewa UTAANZA HADITHIA wenzako, ulivyotokewa na YESU ktk ndoto, ulivyokemea mapepo ktk ndoto...yoooote sbb HUUJUI UBONGO UNAOKUONGOZA....likewise UKIWA UNAWAZAAAA sana sanaa jambo, mfano umefiwa na mpendwa wako au mama, UTAMUOTA KILA MARA NA KUMUONA KTK NDOTO ZAKO....sbb ndio memory iliyo nyingi ktk ubongo wako, ila SIO KWELI KUWA UMEONGEA NA MAMA AU MPENDWA WAKO ALIYEKUFA....tht is brain memory inaji retrive itself...!!!

So, Ukijaza au ukijazwa ubongo UJINGA UTAKUWA MJINGA NA KUWAZA UJINGA TU na hata kutenda ujinga kabisa, ukiwaza sex sanaaa, utaota unafanya mapenzi ktk ndoto au unampendaaaaa msichana fulani kakujaa ubongoni...utamuota sana na hata sometimes unaota unafanya nae sex, au umemuoa au kakukataa au mtu mwingine kamchukua....yoooote haya ni UBONGO WAKO.....!!! Hata ukiwa unasoma sanaaa kwa kuogopa mitihani, unaota mitihani au umefeli au umefaulu au smthng associated na hayo ya masomo mara nyingi...!!!

Kuna vitu vingine unaweza kuota vya kawaida tu..tht is normal mode of BRAIN....!!!

Sasa tunajifunza nn, UKIAMINISHWA KITU, KITAANZA KUKAA KTK UBONGO WAKO....kitakua na kukua ktk ubongo wako wakati huna USHAHIDI KABISA WA KILE UNACHOAMINI wala hukijui kabisa.....so utabaki kutoa USHUHUDA wa KUOTA NDOTO uotazo, kumbe ndicho kilicho ktk ubongo wako BILA KUKIJUA....

CHUNGA SANA MAISHA YAKO...JIJUE, USIFUNGWE KAMBA, UTAKUWA MTUMWA DUNIANI....

Mungu ni WW MWENYEWE...na SHETANI NI WW MWENYEWE...SIKU NJEMA...!!

Ndugu tafakari vizuri na soma vizuri unakosea mno na unapotea ndugu
 
Huoni kwamba ingekua bora zaidi ukaja moja kwa moja na hizo practical (kama unazo) moja kwa moja badala ya hii njia uliyokuja nao mkuu?

Lete hizo practical tuzipime ila hiyo near death experince hata usijaribu kudanganya watu wote walioexperince hiyo kitu wamekufa hawapo, kwa hiyo sitegemei kupata maelezo sahihi kutoka kwako.

near death experience ni sawa na kuchungulia kaburi mfano unaweza kupata ajali mbaya au ukaumwa sana watu wakasema jamaa kafa lakini kumbe hujafa hope umenielewa muwe mnaelewa hizi terminology na sio kukurupuka na kumshambulia mleta mada.
 
near death experience ni sawa na kuchungulia kaburi mfano unaweza kupata ajali mbaya au ukaumwa sana watu wakasema jamaa kafa lakini kumbe hujafa hope umenielewa muwe mnaelewa hizi terminology na sio kukurupuka na kumshambulia mleta mada.

Ingetosha kutoa maelezo, hapakua na haja ya kusema nakurupuka naomba kwanza tuliweke hilo sawa. Umefuatilia vizuri tumetokea wapi hadi kufikia hiyo kauli yangu?

Kwa hiyo wewe unaona sijaelewa hiyo maana ya near death experinces? Tatizo ni kwamba hiyo ni case by case, haimpati kila mtu na sio lazima impate japo kila mtu anakufa, na kila mtu anakufa kwa aina yake. Hiyo inamaanisha hatuwezi kupingana au kukubaliana nae zaidi ya kukubali tu kwa vile yeye ndio aliexperince hicho kitu ambacho kwa mtazamo wake anakiita near death experience!

Ndio maana nimemuomba alete hizo practical zake na near death experience yake tuijadili kitu ambacho ameahidi anajiandaa ili aje kamili kamili.
 
Inatokea automatically kivipi? Kwa mtu wa namna gani? Mbona mimi haijawahinitokea?

unaomba ikutokee?
jitundike kitanzi alafu me nitakuja kukata kamba!

wale wanaojinyonga wakiokolewa huwaga hawarudii tena!

usiombe roho ichukue muda kutoka bora ufe ghafla.
 
Naomba wanajamvi...mumuache mtoa mada atoe mada yake kwa kina...sana....badala ya counter-attack...kabla hajaweka ushahidi wakutosha....then baadae tutabainisha lip ni lip...kiukweli kabsa....ni wachache sana wanaweza kutetea dini zao kwa haki kabsa...ni sababu ni kwamba...wengi wetu hatujafanya tafti za kina kuhusiana na tunachoamini...tunaamini tu kwasbb kubwa mbili...ya kwanza..wazazi walitupeleka sunday school au madrasa wakati akili zetu zikiwa changa...zikapokea kila kitu kama kweli vile...na sbb ya pili ni woga kujaribu kufahamu upande wa pili wa unachoamini ....critism and facts....thats why hadi leo watafuata mambo bila kuhoji...kwa kifupi kabsa naomba wakristo wasome kitabu misquating jesus...na waislam wasome misquating mohamed...hawa ni wasomi mapro...walioandika hiz nondo....sasa Annael...uwanja ni wako...

Exactly;
 
naona umeongelea mabaya tuu vipi kuhusu yale mema yaliyotendwa japa duniani ambayo ni mengi kuliko hayo mabaya??

halafu huo ubongo ambao ni a very special organ kuliko zote unadhani ulitoka wapi ?

mr.presdent pole kwa kukata tamaa vitabu vingi vya Mungu viliharibiwa na mikono ya watu..come down and read qur'an page 2 page your heart will cool forever. Saiz zipo za swahili,english n xo on. Read it page to page when you complete it call me on 0712860468.
 
Wewe ulishawahi kutokewa na hali hiyo?

Tell us what have you been experienced on that state.

Na ndio maana nikasema kama hakimtokei kila mtu ina maana kwa muktadha huo, sisi wengine itabidi tusadiki tu kile atakachokisema yeye, hatutakua na uwezo wa kutia neno hapo!
 
Kama wewe ni mkristo. Ni kitu gani kinafanyika unapokuwa umefunga kwa maombi? Unapokuwa umefunga na kwaajili ya kuomba unakuwa unautisha mwili wako. Na ikitokea ukajifungia chumbani na kupata utulivu utakuwa unafanya meditation bila wewe kujua kuwa ile ni meditation.

Unapokuwa katika kipindi hicho cha maombi unakuwa na uwezo wa kuaccess consciousness yako. Yaani unajiunaganisha na uasili wako.

Kuhusu degree hizo 13 ni program maalum ya kwenda hatua kwa hatua kufikia lengo kuu la sisi kuja duniani. Kadir unavyozidi kufanya meditaiton utajua vitu vingi sana na utatamani uwafundishe watu wengine. Na hauwezi ukawafundisha mambo yote kwa mkupuo. Hatua ya kwanza unatakiwa ufundishe waweze kujitambua kisha wajue asili yao hala baada ya hapo wajue nguvu gani walizo nazo. Wajue uhusiano wao na watu wengine. Ni mambo mengi ya kujifunza. Na kuu kuliko yote lengo letu sisi hapa duniani ni nini? Na zaidi ya yote kufanya dunia better place for all human kind.

Nguvu ambayo uliyonayo wewe ni uchaguzi unataka uitumie kwa ajili ya nini Kama uchawi ni wewe kama mvuto ni wewe kama utawala ni wewe kama miujiza ni wewe. Haina mipaka.

satanism dogmatic doctrines at work.....
 
Capitalists, Missionaries na wapelelezi hao wote ni dini ya kikristo. Wameleta gape kubwa sana kwa aliyenacho na asiye nacho. Wameleta matumizi ya pesa kuwa kipimo cha maisha mazuri. Wamewapandikiza watu wao utumwa wa kifikra na kuamusha ari ya hasira ya kisasi kwa watu wanaokandamizwa.

Kutukana mila na tamaduni zingine kuwa ni za kishenzi na kuwaonesha watu kuwa utamaduni wao ambao ni wa kuunda kuwa ni wa ukweli. Nchi zinazojiita za kikristo kwa nini zinabagua dini zingine?

kasome vitabu vingi zaidi sio handout...dini ya kikristo haijaletwa na wamissionary wa kizungu, dini ya kikristo ilianza miaka mingi hata kabla ya kristo...soma histioria ya ukristo ghana, ethiopia, misri etc na hata baada ya kristo ukristo ulitoka Asia(Mesopotamia, canan, ) ukaja Africa baadae ukaenda Ulaya na ndipo ukaanza kusambaa duniani kote....ustupotoshe mpendwa.
 
Haya nayo ndio niliyoyafikiria baada ya kusoma post/maswali/hoja zako hasa humo kwenye blue mkuu,..

1.Sidhani kama ni kweli kwamba zaman hawakua na utalaamu wa kuhifadhi maiti-Wamisri walikua na hii taaluma toka enzi na enzi kipindi cha mafarao wa kale....wajuvi watatujuvya zaidi,

2.Hata hizo ahadi za mungu nazo kuhusu huyo farao zinazua maswali mengi kumhusu i.e kwanini amuache farao afanye ubaya wa kuwaua na kuwatesa/kuwatumikisha watu wa mungu bila kosa then aje na ahadi badala ya kuzuia maafa mkuu.

Anyway,...sijui kitu so far

Sidhani kwamba zamani kulikua na utaalamu wa kumuhifadhi mtu kiasi cha kufika karne 3 bila kuoza, tukiacha kesi ya Faraoh, hakuna ithibati nyengine yoyote inayoonesha kuna mtu alihifadhiwa at least karne 3 save wale watu wa pangoni wanaoelezwa kwenye vitabu, in fact hatuwezi kuthibitisha kisa kile coz hakuna mabaki, hata hivyo vitabu vinasema wale walifanywa vile kwa nguvu/uwezo wa Mungu like Faraoh's case.

Vizuri umesema huna uhakika, tungoje wanaujua huenda wakatoa maelezo tofauti.
...

Hapo kuhusu Mungu kushindwa kuzuia maasi ya Faraoh na badala yake akaamua kumueka tu ili vizazi vimuone, Sijui ni kwanini, but kiimani ni moja kati ya njia za kuamini uwepo wa Mungu.
 
Na ndio maana nikasema kama hakimtokei kila mtu ina maana kwa muktadha huo, sisi wengine itabidi tusadiki tu kile atakachokisema yeye, hatutakua na uwezo wa kutia neno hapo!

Mkuu tusubirie tu hiyo mada nyengine coz amesema ataelezea kwa upana.
 
Nimesoma vyema post from ⬆ to ⬇ but ningependa kukuuliza swali as follows " je nitamtambuaje kuwa huyu ni mtumishi wa MUNGU na huyu sio...? Koz kama sikosea YESU alisema watumishi wake ni kama miti mema na matunda yao ni mema Lakini wale watumishi waovu watumiao nguvu za Mwovu nao matunda yao pia yatakuwa mabaya.?

Mkuu ngoja nikusaidie,hata siku moja mti mzuri hauzai matunda mabaya na mbaya hauzai mazuri...mzabibu hauwezi kuzaa mitini n vice versa.

Hata siku moja usimwamini yule mtumishi anayekuambia eti usifuate matendo yangu ila fuata ninachokuambia.

-Pia njia rahisi ya kumtambua mtumishi yeyote wa uongo au mpenda pesa ni kwa wewe kulisoma na kushika vizuri neno la Mungu kwani hawezi kukupotosha.

-Pia ukiona yeye anasisitiza sana sadaka/matoleo badala ya kuimarisha roho za watu huyo ni kanjanja tu kwasababu huduma haiuzwi

ANGALIZO: Hao makanjanja watumishi wa uongo wapenda pesa ndio wapo wengi sana sikuhizi. Take care.
 
Mkuu ngoja nikusaidie,hata siku moja mti mzuri hauzai matunda mabaya na mbaya hauzai mazuri...mzabibu hauwezi kuzaa mitini n vice versa.

Hata siku moja usimwamini yule mtumishi anayekuambia eti usifuate matendo yangu ila fuata ninachokuambia.

-Pia njia rahisi ya kumtambua mtumishi yeyote wa uongo au mpenda pesa ni kwa wewe kulisoma na kushika vizuri neno la Mungu kwani hawezi kukupotosha.

-Pia ukiona yeye anasisitiza sana sadaka/matoleo badala ya kuimarisha roho za watu huyo ni kanjanja tu kwasababu huduma haiuzwi

ANGALIZO: Hao makanjanja watumishi wa uongo wapenda pesa ndio wapo wengi sana sikuhizi. Take care.

Absolutely kaka hapo nimekuelewa, hao makanjanja wanapena kuhubiri hasa kuhusu "POSSIBLITIES" wanasahau kuwa ipo siku ya hukumu na wanasahau kuhubiri Wokovu from the MOST HIGH.
 
Back
Top Bottom