Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Jinsi ya kufanya miujiza (Education is power)

Ninaheshimu dini ya mtu yeyote. Lakini ukweli lazima tuuseme (Hakuna kitu kinachoitwa mungu wala shetani).
Unajua kifungo cha dini ni kibaya sana kuliko vifungo vyote. Ningekuomba uwe na fikra huru.
Naweza kupata wapi private mawasiliano yako mkuu maana nataka ubongo wangu ufanye kazi
 
Anza kufanya meditation na baada ya kupata uwezo mkubwa utajua ukweli ni nini. Niwewe mwenyewe utajua what is your nature.
Pia naomba kujua uko level ya ngapi kwenye meditation. Na benefits ulizopata toka kwenye meditation
 
MUNGU siamini kabisaaaa..kabisaaaa kama yuko....i hv concrete scientific and social reasons.....before niliaminishwa yuko...but after i acquired, BRAIN POWER, A REAL KNOW HOW....nilikuja jua SIAMINI MUNGU YUKO....na usiwaze au kuona dhambi kukwambia Mungu hayuko...hukuna dhambi wala nn....acha hizo hisia za kujazwa na kudanganywa...!!

I hv reasons, na za wazii waziii....usije nipa stories za BIBLE or QURAN..!!!!

Mungu kama yuko hawezi IACHA DUNIA ITEKETEE KAMA TUONAVYO LEO.....HAIWEZEKANI WATU WABAYA WANAUA WATU WEMA KILA KUKICHA....

Haiwezekani Viongozi wauaji wawe hai, na Mungu anawaacha wanaua watu wake kwa njia mbali mbali...

Haiwezekani majanga makubwa makubwa duniani yanamaliza watu, huku Mungu yuko...

Haiwezekani Mungu ashindwe kutoa Neema kwa watu wenye laana ya UKOO wakipukutika, kizazi hadi kizazi...

Haiwezekani Mungu awe ktk kiti cha ENZI huku Duniani watu wake wanateseka huku anaona, ana kila kitu na ni watoto wake...ana kila nguvu, haiwezekani...

Mungu, kwangu is JUST FEAR OF UNKNOWNS....!!!!

Tumeaminishwa hivyo tu.....ILA UKITAKA KUJUA NASEMA KWELI.....ww TENDA MEMA, usichoke, jaribu kuwa mtu wa hekima, busara na BIDIII YA PEKEE kwa kila kitu, usichoke kujifunza ELIMU & UKWELI....jifunze kujitegemea sana....pambana na maisha yako yawe bora kwa njia njema...DUNIA ITAKULIPA VYOOOTE mema na UTAKUWA MTU TOFAUTI....!!!!

Ila KAA KANISANI AU MISIKITINI...ukeshe ukiomba, hutapata kitu, MM NAAMINI HIVI.....INGEKUWA MUNGU YUKO...DUNIA INGEBAKIA KAMA BUSTANI YA EDENI ambayo nayo ni ya kufikirika ktk biblia....

Haitakiwi mm au ww TUPATE TAABU HIVI KAMA MUNGU YUKO....haiwezekani...ndio maana mm nasali kwa meditation tu.....AU NI MKRISTO MFU TU.....nina jina na mkristo sbb wazazi wangu wametoka huko...!!!
Kanisani naenda kwa miaka mara kadhaaa hv sasa siendi kabisa...

DINI nachukulia ni ULEVI FULANI TU...Mungu huyu kama yuko HAWEZI KUACHAA KABISA KABISAA sisi wanadamu alietuumba kwa mfano na sura yake ASEMAVYO KTK VITABU VYAKE TUTESEKE....kwnn niteseka kama ANATUPENDAAA...!!?

I am a NO NOSENSE MAN...a no NOSENSE HUMAN BEING...MUNGU KAMA ANATUPENDA SANA KAMA WATOTO WAKE, HAIWEZEKANI TUTESEKE HV....sikubali hiyooo...ULISHAFIKA HOSPITALINI...au sehemu zenye majangaa..!?

SIKUBALI na haiingii akilini MUNGU KAMA YUKO, mwenye kila kituuu... ATUPENDE alafu ATUACHE KTK MATESO MAKALI HAYA YA DUNIA HII...

NAAMINI KABISA KABISAA...MUNGU HAYUKO...NA SITENDI dhambi kusema haya kwa mtu au HATA kwa HUYO MUNGU KAMA ANANISIKIA....

Haiwezekani WATU WATUMIE NGUVU ZA GIZA...huku wakijiita WACHUNGAJI...MITUME...NABII...huku wameshika biblia MUNGU ASIWAADHIBU pale pale, ili watu wake WASIPOTEE...

MM nimetembea mabara karibu yote, NORTH AMERICA, SOUTH AMERICA, ASIA, EUROPE...african countires nyingi nimeenda...CJAWAHI ONA KUNA KILEMA AU MTU KAPONYWA....au kiziwi kasikia kama HAWA WACHUNGAJI MATAPELI NA WENYE KUTUMIA NGUVU ZA GIZA wanavyodanganya watu..tena kwa kutumia maneno ya Biblia...ILA UKIANGALIAAAAA KWA AKILI NDOGO TU...KUMBE NI WATAFUTA FEDHAAAAA.....wooote ni wafanya biashara...maisha yao ni ya FAHARI KUTISHA...MUNGU angekuwepo angewamaliza hawa..sbb wanawapoteza watu wake....

Unajua UBONGO WAKO ni kitu cha ajabu sana, usipoujua huu ubongo utapata shida sana, sbb ndio unakupa data zote na fikira....ILA HIZO DATA ZINATOKA WAPI . !!? NI hv...ukiwa unasaliiiiii sanaaaa, ubongo wako unajaaa salaaaa, hizo ndio DATA...utaota sana tu UNAMUONA YESU AU MTUME MUHAMAD kila muda au UNAKEMEA MAPEPO NA YANATII AMRI...sb ndio DATA ZAKO ULIZO JAZA HUKOO....sasa kwa kutoelewa UTAANZA HADITHIA wenzako, ulivyotokewa na YESU ktk ndoto, ulivyokemea mapepo ktk ndoto...yoooote sbb HUUJUI UBONGO UNAOKUONGOZA....likewise UKIWA UNAWAZAAAA sana sanaa jambo, mfano umefiwa na mpendwa wako au mama, UTAMUOTA KILA MARA NA KUMUONA KTK NDOTO ZAKO....sbb ndio memory iliyo nyingi ktk ubongo wako, ila SIO KWELI KUWA UMEONGEA NA MAMA AU MPENDWA WAKO ALIYEKUFA....tht is brain memory inaji retrive itself...!!!

So, Ukijaza au ukijazwa ubongo UJINGA UTAKUWA MJINGA NA KUWAZA UJINGA TU na hata kutenda ujinga kabisa, ukiwaza sex sanaaa, utaota unafanya mapenzi ktk ndoto au unampendaaaaa msichana fulani kakujaa ubongoni...utamuota sana na hata sometimes unaota unafanya nae sex, au umemuoa au kakukataa au mtu mwingine kamchukua....yoooote haya ni UBONGO WAKO.....!!! Hata ukiwa unasoma sanaaa kwa kuogopa mitihani, unaota mitihani au umefeli au umefaulu au smthng associated na hayo ya masomo mara nyingi...!!!

Kuna vitu vingine unaweza kuota vya kawaida tu..tht is normal mode of BRAIN....!!!

Sasa tunajifunza nn, UKIAMINISHWA KITU, KITAANZA KUKAA KTK UBONGO WAKO....kitakua na kukua ktk ubongo wako wakati huna USHAHIDI KABISA WA KILE UNACHOAMINI wala hukijui kabisa.....so utabaki kutoa USHUHUDA wa KUOTA NDOTO uotazo, kumbe ndicho kilicho ktk ubongo wako BILA KUKIJUA....

CHUNGA SANA MAISHA YAKO...JIJUE, USIFUNGWE KAMBA, UTAKUWA MTUMWA DUNIANI....

Mungu ni WW MWENYEWE...na SHETANI NI WW MWENYEWE...SIKU NJEMA...!!
Kaka nimekupata sana umefunguka kwa yale ulio nayo nafsini . swalu kwako, kwa nini unaomba kupitia meditation??? Kuna faida zipi unapata? Na kwa nini unaona ni vyema uendelee kuwa mwema tu na sio mwovu? Je kuna ubaya gani mimi nikiua au kulipa visasi kwa wengine? Its a free world no limit in your actions
 
i usually don't answer people of ur type....!!! I just ignore you....!!!
When you ignore someone's question it means you failed to defend your point. And this shows that you said what you heard somewhere but not within you. Pia huna ushahid wa kutosha kwamba Mungu hayupo but you just say to entertain your brain. Everything has a source. Where is yours?????????
 
Unaongelea mungu yupi huyo mwenye upendo? mungu gani huyo unayemwongelea anawaacha watu wa africa ya kusini kuuwa wenzao. Upendo gani huo anasema eti atawahukumu watu milele wakati maisha ya kuishi duniani ni chini ya miaka mia. Huoni kuwa ni kipindi kidogo sana cha kuishi?
mungu unayemtaja hapa hayupo ni elimu uliyolishwa na waleeee ili wakutawale vizuri.
Mungu amekwisha uhukumu ulimwengu huu na ndio maana mabaya yanatokea na yeye amekaa kimya tu isipokua kwa wale waliokombolewa kwa damu ya Yesu hawataingia hukumuni. Moto wa Jehanum upo na utawachoma wengi tu hasa wale wasiojihusisha kuzishika amri za Mungu. Ukifanya meditation Mungu huwa anaongea unasikia sauti yake. Cha kushangaza nyie mnafanya meditation halafu mnakataa hamna Mungu. Unapoingia meditation unaingia spiritual world, so who do you think is the master of spiritual world? Who overcome all these wicked powers? That is God. Shetani mwenyewe anakiri uwepo wa Mungu wewe ni nani ukatae kwamab hakuna Mungu.

Watu wamekwenda underworld serving lucifer wanajua siri nyingi sana za dunia hii na wako super power of doing anything in this world they can be everywhere at one time. But there is a master who control the underworld and is Lucifer.

Ushauri wangu ni kwamba unafanya meditation but you should know that there is 2 rulling spiritual powers over humans but the overcoming power is from God himself. You can not see him but you can hear him through meditation based on his word. Mefitation away from the word of God is satanic and is the doorway to hell. Accept it or Not.
 
Mungu amekwisha uhukumu ulimwengu huu na ndio maana mabaya yanatokea na yeye amekaa kimya tu isipokua kwa wale waliokombolewa kwa damu ya Yesu hawataingia hukumuni. Moto wa Jehanum upo na utawachoma wengi tu hasa wale wasiojihusisha kuzishika amri za Mungu. Ukifanya meditation Mungu huwa anaongea unasikia sauti yake. Cha kushangaza nyie mnafanya meditation halafu mnakataa hamna Mungu. Unapoingia meditation unaingia spiritual world, so who do you think is the master of spiritual world? Who overcome all these wicked powers? That is God. Shetani mwenyewe anakiri uwepo wa Mungu wewe ni nani ukatae kwamab hakuna Mungu.

Watu wamekwenda underworld serving lucifer wanajua siri nyingi sana za dunia hii na wako super power of doing anything in this world they can be everywhere at one time. But there is a master who control the underworld and is Lucifer.

Ushauri wangu ni kwamba unafanya meditation but you should know that there is 2 rulling spiritual powers over humans but the overcoming power is from God himself. You can not see him but you can hear him through meditation based on his word. Mefitation away from the word of God is satanic and is the doorway to hell. Accept it or Not.
Hivi meditation hiyo haina madhara?
 
Nawasalimia wana JF wote.

Leo nipo hapa kuongelea swala hili la kufanya miujiza na uponyaji.
Kwanza awali ya yote ningepeda kutoa utangulizi kama ifuatavyo.

UTANGULIZI
Sisi binadamu tuko na nguvu kubwa sana ndani yetu. Ni kitendo cha kujua jinsi ya kuitumia. Nguvu tuliyonayo ni nguvu ya kiroho ambayo huwezi ukaiona kwa macho ya damu na nyama lakini unaweza ukaitumia na ikaleta matokeo katika ulimwengu wetu huu.

Nguvu tuliyonayo sisi haijui kuwa hiki chema au kibaya ni mtu tu atakavyo amua kuitumia. Wengine wanaitumia kufanya uchawi lakini wengine wanaitumia kufanya miujiza ya uponyaji. Ni wewe tu utakavyoamua kuitumia hiyo nguvu. Yenyewe ipo.

NAMNA GANI WAWEZA KUIPATA HIYO NGUVU.
Watu wengi sana duniani wamekuwa hawajui hawa watu wanaofanya miujiza au wanaofanya uchawi wanapata wapi nguvu? Je hao watu ni special one? Mimi nina sema hapa ni kwamba tumesahau au tumekataa maarifa na tukakubali kuwa tunasimuliwa na kuwa sio watendaji.
Kwa wale mnaosoma biblia (Hosea 4:6 inasema "Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa....."). Inamaana watu wamekosa maarifa ndio maana waenda tu bila kujua nini cha kufanya.

Nguvu yetu ya kufanya makubwa ipo ndani ya nafsi zetu (Consciousness). Au ninaweza kusema sisi watu tunaishi katika ulimwengu wa aina mbili(Ulimwengu wa damu na nyama pia Ulimwengu wa kiroho). Sasa ulimwengu wa kiroho ndio unaguvu na ndio chanzo za nguvu zote. Na ndio uhalisia wetu sisi na ndio reality yetu sisi.

Sasa basi kiwango cha kutumia nguvu au kuwasiliana na nafsi zetu unapungua kadri umri wetu unaposogea. Mtoto anapozaliwa asilimia kubwa sana anakuwa yupo pamoja na nafsi ya ili tatizo lake anakuwa ni mgeni duniani hajui kuongea hajui chochote kilichopo duniani. Kwamaana hiyo hawezi akafikisha ujumbe wowote. Lakini kwakuwa tumekosa maarifa mtoto anapoanza kukua tunaanza kumfundisha vitu vya dunia tu na kusahau asili ya ni nini. Jambo hilo ninamfanya huyo mtoto awe mbali na nafsi yake. Kadri anavyo zidi kukua anazidi kuwa mbali.

Njia yakuweza kuwasiliana na nafsi zetu ni kuhakikisha tunafunga milango ya fahamu ya miili yetu (macho, masikio, mawazo, ngozi nk). Tunapofunga milango hiyo ya fahamu ndio tunakuwa na uwezo wa kuanza kuwasiliana na nafsi zetu.
Kwa wale wasomaji wa biblia: (mathayo 6:6 "
Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.")

Jambo kubwa ninalojaribu kuongea hapa ni kuwaweka sawa waumini wa dini ya kikristo waelewe ni mambo gani yameandikwa kwenye kitabu chao na kwanini hawayafuati.

Njia ili uweze kuwasilina na nafsi yako kwa ufupi ni kufanya meditation (Sina neno zuri la kiswahili). Hii ndio njia bora ya kuweza kuwasilian na nafsi. Kadir unavyozidi kufanya meditation unzidi kupata uwezo mkubwa wa kufanya mambo hapa duniani.
Asilimia zote za watu waliofanikiwa au wanaofanikiwa hapa duniani wanafanya meditation.
Joshua 1:8
This Book of the Law shall not depart from your mouth, but you shall meditate on it day and night, so that you may be careful to do according to all that is written in it. For then you will make your way prosperous, and then you will have good success.
Genesis 24:63 And Isaac went out to meditate in the field toward evening. And he lifted up his eyes and saw, and behold, there were camels coming.
Psalms 119:97 Oh how I love your law! It is my meditation all the day.

Kwa hiyo meditation ndio njia nzuri ya kuweza kuwasilina na nafsi zetu.
Unajua sisi tunauwezo wa uungu ndani yetu? Unajua tunauwezo wakufanya mambo makubwa na dunia yetu ikawa sehemu nzuri ya kuishi? Sisi ni gods na tuna nguvu ya kuitwa gods na ni kweli sisi ni gods Zaburi 82:6 "
Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia."

Utafanya nini ukikaa katika nchi ya watu walio na uwezo na unaona kabisa wanauwezo lakini wanalia shida? Je utawaacha tu hivyo au utawafundisha namna gani walivyo na uwezo? Ni mawili hapo. Ukiwafundisha watajitambua na utakosa watumwa kwa sababu unafurahia wao kuwa watumwa wako. Utawajaza vitu vingi vya ajabu na kuwafanya wakutegemeewewe. Jambo la pili utawafundisha ili waweze kujitambua na kuleta amani katika jamii hiyo kwa kuwa hakutakuwa na tofauti maana watu wanajitambua na wanaelewa wao ni nani.

Je hili jambo la pili linafanyika sasa. La hasha hawataki kabisa wanatufundisha makanisani kuhusu utoaji wa sadaka na kuwa waadilifu ilituweze kwenda mbiguni. Jambo ambalo ni tofauti lkabisa na inavyotakiwa.

Ninayo mengi sana ya kuweza kuongea nanyi rafiki zangu. Lakini hebu niweke kalamu yangu chini na niwaache nanyie muweze kuusoma waraka huu na kuniuliza maswali. Na mimi nitakuwa tayari kujibu inaweza kuwa siyo yote nitajimbu maswali yaliyo ya msingi.

By Annael
EDUCATION IS POWER
safi
 
Ina madhara kama huna neno la Mungu kwa wingi. Maana unapoanza kufanya meditation kuna kipindi utaanza kutawasiliana na spirits ambazo zaweza kukupeleka mahali pabaya.
Mi napata wasiwasi Na hizo meditation kwani waanzisha nyuzi za aina hiyo karibia wote nawaona wanapinga uwepo wa Mungu waziwazi
 
Mi napata wasiwasi Na hizo meditation kwani waanzisha nyuzi za aina hiyo karibia wote nawaona wanapinga uwepo wa Mungu waziwazi
Ni kweli zina utatanishi maana asili yake ni hawa wanaojiita wabudha. Budha wanaabudu miungu ndio wanafanya sana hiyo mefitation mpaka wanaponya magonjwa kwa kutafakari tu. Wanafanya miujiza kwa kutafakari tu sasa Mungu wao ndio anawapa hizo nguvu kwenye meditation
 
Sasa ni nn mwanzo wa binadamu? Nani aliyewaumba binadamu? How about causes and effects of human being?
 
Habar wadau. Muanziha uzi naomba kujua kama kunauwezekano wa kutumia meditation kupata mafanikio ya kifedha pil kuweze kujenga mawazo na mbinu za shughul au biashara ya kufanya ambayo itakuwana return kubwa.
Kama hilo linawezekana then how
 
Back
Top Bottom